Kelvin A. Mtoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 208
- 187
Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Wamekula 600 yanguWameshakula 800 yangu
Waroge kiongozi...Wameshakula 800 yangu
Mimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Wahusika saidia hiyo Heading isomeke baada ya KUTOA
Nasubiria hesabu kamili ngoja ifike bukuWaroge kiongozi...
NIDA kupitia huduma ile Ni utapeli mtupu....sijawahi kupata majibu zaidi ya kuliwa pesa kila siku...Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Wahusika saidia hiyo Heading isomeke baada ya KUTOA
Washtaki tcra ili huduma ifungiweNaomba utaratibu wa ku claim 300 yangu iliyoliwq maana huu ni wizi kama wizi mwingine
wamekula yangu 600Wamekula 600 yangu