Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,562
Binadamu yeyote ni kichaa ila tunawaona vichaa wamezidi kiwango cha ukichaa.....ukitaka kuamini angalia matendo ya binadamu tunayesema siyo kichaa utakubaliana na mimi...mfano kunajisi/kubaka watoto wachanga, kubaka/kulawiti binadamu mwenzie, kulipa kisasi kwa kuuwa, kumkasirikia/kumnununia binadamu mwenzio bila sababu za msingi, kumtesa/kumnyanyasa binadamu mwenzio, kuzaa mtoto na kumtupa, n.k mifano ni mingi inayodhihirisha binadamu wote ni vichaa ila tunazidiana kiwango kama ilivyo wagonjwa wa maleria utasikia nina maleria 1, 2, 3, 4, 5, ..............ila wooooooooooote wana ugua maleria.