Nani huwazalisha wanawake vichaa?

Nani huwazalisha wanawake vichaa?

Mipango Ya Mungu....

Kwa Wakati Huu, Jicho Lako Litajikita Kwenye Upande Hasi, But in a long run, NI FAIDA KWAKE.
 
Ni Kweli, Nimesha Wahi Kuona Interview Zake Mbili, Ya Kwanza alifanya Na Joyce Kiria Kwenye Kipindi Cha Wanawake Live, Na Ya Pili Alifanya Na Hoyce Temu, Kwenye Kipindi Cha Mimi Na Tanzania Cha Chanel Ten, Na Ni Kweli Alithibitisha Kuwa Alikuwa Mwalimu.... Kama Sikosei Ni Kigoma
Duuh yani walimu wetu wanachanganywa na serikali mpaka inafikia wanachanganya ma-folders namna hii!
 
nimewahi soma habari yake the citizen ambayo iliandika habari zake kwa urefu.ni kweli alikuwa mwalimu,na watoto wake anawafundisha mwenyewe,wanajua kiingereza vizuri na kifaransa kiasi, pia binafsi nimewahi kukumkuta kaweka ubao mdogo ambao alikuwa akiwafundishia watoto wake
Mkuu hapo kwenye bold ni kweli kabisa, hata mimi niliwahi kuukuta ubao mbele yao, sikuelewa matumizi yake. Kwa hiyo anaweza kufundisha watoto wake mwenyewe mpaka kifaransa! basi serikali imepoteza nguvu kazi ya ukweli.

Je kwenye hiyo makala waliandika sababu ya kuwa katika hali ile?
 
Sisi wanaumme hatulingani akili na starehe hutofautiana....Ndiyo maana kuna wabakaji; kuna wapenda changu-doa...Na sasa naamini kuna wapenda VICHAA pia:embarrassed1:
Mkuu kuna tetesi mitaa ya posta kwamba hata waheshimiwa wwakubwa kabisa nchii hii wanahisa pale. Na kuna wakati huwa magari mazito mazito huwa yanasimamishwa pale kutoa hela ya matumizi.
 
Nilishawahi kumsikia akihojiwa na ITV siku moja akasema alikuwa mwalimu ila I doubt kwani huwa hamalizii story ya maisha yake na kuishia kulia. Hapo ndio huwa nahakikisha kuwa ana ulemavu wa akili (UA)
Pengine analia kila akikumbuka yaliyompata mpaka kuwa katika hali ile. Hiyo wakati mwingine hutokea hata kwa mtu mzima wa akili.
 
Ni Kweli, Nimesha Wahi Kuona Interview Zake Mbili, Ya Kwanza alifanya Na Joyce Kiria Kwenye Kipindi Cha Wanawake Live, Na Ya Pili Alifanya Na Hoyce Temu, Kwenye Kipindi Cha Mimi Na Tanzania Cha Chanel Ten, Na Ni Kweli Alithibitisha Kuwa Alikuwa Mwalimu.... Kama Sikosei Ni Kigoma
Anaitwaje?Nat amanikuonahz oi nterview .Maskin iduniahii inam ambo.
 
Ni kweli mkuu huyo anaitwa mwenye changamoto ya uoni.

Ni sawa na aliyeiibia serikali mabilioni haitwi mwizi bali anaitwa Mbadhirifu/Fisadi. Mwizi ni aliyeiba kuku tu. Haaaaahahahaaaaaaaa
Au ametumia vibaya madaraka yake
 
Kuna kichaa mmoja alikuja bar huku kabeba katoto,,akaja kwenye meza yetu,,tulikuwa vidume 5,,akatuomba pesa,,mmoja wetu,,akaropoka kwa sauti ya ukali,,ebu toka hapa na kichaa chako,,yule kichaa alikasirika sana,,akamwambia yule jamaa,,wewe sindio huwa unanifata usiku na gari unanipeleka kunifanya,,tena mtoto wako huyu hapa na ninamuacha hapa juu ya meza,,watu tukaduwaa,,kweli yule mtoto alikuwa anafanana sana na huyu jamaa yetu,,ikabidi tumwambie jamaa aombe msamaa ili yule kichaaa aondoke na mtoto wake,,kweli alikubali akaondoka,,lakini siri ikawa imefichuka,,,ni wanaume wengi sana wana hizo tabia,,sikuamini kwakweli maana jamaa ni tozi balaa.
 
Hivi wana jf ninani aliyewahi kumuona mlemavu wa akili wa kike aka kichaa akiwa anaoga??? Mimi nilibahatika sikumoja,,alikuwa anaoga barabarani,,kwakweli alikuwa ameumbika,,nikaanza kuingia tamaa ghafla ,,lakini niliposema "mshinde shetani tamaa zote zikatoweka"sasa niwangapi wasioweza kusema hivyo,,ndio matokeo yake tunakuta wana watoto kibao
 
Kuna kichaa mmoja alikuja bar huku kabeba katoto,,akaja kwenye meza yetu,,tulikuwa vidume 5,,akatuomba pesa,,mmoja wetu,,akaropoka kwa sauti ya ukali,,ebu toka hapa na kichaa chako,,yule kichaa alikasirika sana,,akamwambia yule jamaa,,wewe sindio huwa unanifata usiku na gari unanipeleka kunifanya,,tena mtoto wako huyu hapa na ninamuacha hapa juu ya meza,,watu tukaduwaa,,kweli yule mtoto alikuwa anafanana sana na huyu jamaa yetu,,ikabidi tumwambie jamaa aombe msamaa ili yule kichaaa aondoke na mtoto wake,,kweli alikubali akaondoka,,lakini siri ikawa imefichuka,,,ni wanaume wengi sana wana hizo tabia,,sikuamini kwakweli maana jamaa ni tozi balaa.

Haya sasa!! ni kweli inawezekana jamaa yako nae ni kichaa sio bure
 
Mkuu hapo kwenye bold ni kweli kabisa, hata mimi niliwahi kuukuta ubao mbele yao, sikuelewa matumizi yake. Kwa hiyo anaweza kufundisha watoto wake mwenyewe mpaka kifaransa! basi serikali imepoteza nguvu kazi ya ukweli.

Je kwenye hiyo makala waliandika sababu ya kuwa katika hali ile?

alipokonywa nyumba na mali zingine za mume wake na ndugu wa mume baada ya mume wake kufariki akiwa na watotot wadogo,na hii ndiyo ilichangia kumfanya insane
 
Chezea mkuyati wewe, na ndo maana kuna dunga dunga wengi sana mtaani na kwenye dala dala.
 
Back
Top Bottom