Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Okay umejibu vyema, ingawaje hiyo si nia bali ni matokeo baada ya ngono...ila nilipenda zaidi ungelijibu neno kama "matamanio" au "tamaa ya kupata pleasure"...
Sasa kwa kuwa tunatambua kuwa kuwa matamanio ndio hupelekea mtu kutaka kushiriki ngono na mtu mwingine (awe amepewa ridhaa au hajapewa ridhaa)...
Basi hata hao wanaume wanaongonoka na wanawake vichaa nao huingiwa na mataminio na huwa rahisi zaidi kwani hukosa ukinzani ukilinganisha na mwanamke ambaye ana akili timamu.
Nyama tamu ni ile uliyoikimbiza shem...!!! Hata simba hali kibudu...