Nani huwazalisha wanawake vichaa?

Nani huwazalisha wanawake vichaa?

Kama yule mama mwenye watoto wengi pale chini ya nje ya uzio wa viwanja wa Gymkanah. Huwa najiuliza mpaka leo hivi anazaa na nani vile vitoto vidogo vidogo vingi namna ile.

Sisi wanaumme hatulingani akili na starehe hutofautiana....Ndiyo maana kuna wabakaji; kuna wapenda changu-doa...Na sasa naamini kuna wapenda VICHAA pia:embarrassed1:
 
Kwa maana hiyo wanaume akili zao hazipo sawa. Mbona sijasikia mwanamke mwenye akili zake timamu amejipeleka kwa mwanamke kichaa?
 
Pleasure!

Okay umejibu vyema, ingawaje hiyo si nia bali ni matokeo baada ya ngono...ila nilipenda zaidi ungelijibu neno kama "matamanio" au "tamaa ya kupata pleasure"...

Sasa kwa kuwa tunatambua kuwa kuwa matamanio ndio hupelekea mtu kutaka kushiriki ngono na mtu mwingine (awe amepewa ridhaa au hajapewa ridhaa)...

Basi hata hao wanaume wanaongonoka na wanawake vichaa nao huingiwa na mataminio na huwa rahisi zaidi kwani hukosa ukinzani ukilinganisha na mwanamke ambaye ana akili timamu.
 
Kwa maana hiyo wanaume akili zao hazipo sawa. Mbona sijasikia mwanamke mwenye akili zake timamu amejipeleka kwa mwanamke kichaa?

Simba anapotaka kula nyama huwa hajiulizi kuwa swala fulani ana mtindio wa akili au hana pia huwa haangalii rangi ya swala wala pembe zake, bali huangalia ni swala gani dhaifu na kanona kwa ajili ya kitoweo.
 
Okay umejibu vyema, ingawaje hiyo si nia bali ni matokeo baada ya ngono...ila nilipenda zaidi ungelijibu neno kama "matamanio" au "tamaa ya kupata pleasure"...

Sasa kwa kuwa tunatambua kuwa kuwa matamanio ndio hupelekea mtu kutaka kushiriki ngono na mtu mwingine (awe amepewa ridhaa au hajapewa ridhaa)...

Basi hata hao wanaume wanaongonoka na wanawake vichaa nao huingiwa na mataminio na huwa rahisi zaidi kwani hukosa ukinzani ukilinganisha na mwanamke ambaye ana akili timamu.

Asante kwa maelezo ila bado sijaridhika nayo. Nadhani matamanio huja baada ya kuona kitu na kuvutiwa nacho na yote hayo yanatawaliwa na ubongo ambao tunaamini kwa mwanaume mwenye akili timamu ubongo wake uko sawa kabisa! Ivi kweli unaweza kumtamani mwanamke mchafu asijeoga wala kufua nguo zake na mwenye harufu? Unatamani nini hasa kwa kumtazama tu mtu wa aaina hiyo?
 
Simba anapotaka kula nyama huwa hajiulizi kuwa swala fulani ana mtindio wa akili au hana pia huwa haangalii rangi ya swala wala pembe zake, bali huangalia ni swala gani dhaifu na kanona kwa ajili ya kitoweo.

Kwa hiyo unataka kusema akili za simba, mbwa, punda na wanyama wenfine ni sawa na za binaadamu mwanaume au!!
 
Asante kwa maelezo ila bado sijaridhika nayo. Nadhani matamanio huja baada ya kuona kitu na kuvutiwa nacho na yote hayo yanatawaliwa na ubongo ambao tunaamini kwa mwanaume mwenye akili timamu ubongo wake uko sawa kabisa! Ivi kweli unaweza kumtamani mwanamke mchafu asijeoga wala kufua nguo zake na mwenye harufu? Unatamani nini hasa kwa kumtazama tu mtu wa aaina hiyo?

Kutamani huwa hakuna mipaka rafiki na sio lazima upendezwe na kitu ndipo utamani...

Ushawahi kujiuliza kwa nini wapo wanaume wanaotamani kufanya ngono lakini huishia kujichua tu!

Kumbuka mwanaume huyo sio lazima aone maungo ya mwanamke kutimiza azma hiyo...bali ushawishi wa matamino( au kwa kifupi kitu pekee kinachoplelekea kufanya hivyo ni kule kujenga picha kubwa akilini ya raha atayoipata yenye kulingana na tendo la ngono)...

Huo uchafu wa nguo, harufu n.k kibailojojia ni ninyi wanawake ndio huwa inawa-disturb....kwa mawanaume kidogo ipo tofauti...once you desire immediately una-strike(kama hutajifikirisha sana)...

Ndio maana unasikia wanaume wanabaka watoto wachanga ambao hata meno hawajaota...
 
Kwa hiyo unataka kusema akili za simba, mbwa, punda na wanyama wenfine ni sawa na za binaadamu mwanaume au!!

Dah!...hivi lugha ninayoiandika huwa ni ngumu eeh...wakati mwingine huwa natumia sana mbinu za kifasihi kufikisha ujumbe hivyo usihadaike na aina ya maneno nitumiayo...muhimu zingatia ujumbe!!
 
Acha lugha ya udhalilishaji.Hawa si vichaa ila wana ulemavu wa akili.
Kama ambavyo huwezi kumwita mlemavu wa macho kipofu

Mlemavu wa macho,masikio,ngozi nk ni ufafanuzi tu,majina sahihi ndio hayo kama mdau alivyoandika,kipofu,kiziwi nk.
 
Nimesikia zamani alikuwa mwalimu, je ni kweli mkuu?
nimewahi soma habari yake the citizen ambayo iliandika habari zake kwa urefu.ni kweli alikuwa mwalimu,na watoto wake anawafundisha mwenyewe,wanajua kiingereza vizuri na kifaransa kiasi, pia binafsi nimewahi kukumkuta kaweka ubao mdogo ambao alikuwa akiwafundishia watoto wake
 
Habari wana MMU,

Nadhani mtakubaliana na mimi kwamba wanawake wasio na akili timamu wanaongoza katika suala zima la uzazi holela. Kuna wamama hapa mjini vichaa, yaani after 2 years ukimkuta hana kichanga basi ni bahati sana. Wengi wao wanazaa sana na nadhani sio kosa lao huenda wangekuwa na akili timamu wangeweza kujizuia.

Kinachonitatiza mimi, ivi nani huwapa ujauzito wanawake hawa? Ni vichaa wenzao wa jinsia ya kiume au ni wanaume wenye akili timamu? Kama ni vichaa wenzao wa kiume, kwa nini wakati mwingine unaweza kuta hapo mtaani hakuna chizi mwanaume lakini unamkuta chizi mwanamke ana mimba?? Hivi inawezekana kweli mwanaume mwenye akili timamu akafanya mapenzi na mwanamke kichaa?

Wanaowapa ujauzito ni wanaume wenye akili timamu kabisa

Nadhani wakati unajiuliza haya ungejiuliza wale wanaobaka vichanga huwa ni vichaa au ni wazima ukipata jibu unganisah na hili

Kuna siku tulijadili hili suala pamoja na wanaume watatu, mmoja akiwa mtu mzima na yule baba alidai kuwa eti kuna dakika fulani chache za uchizi kwa wanaume, na dakika hizo ndizo hupelekea kufikia hatua ya kufanya mapenzi na kichaa, je ni kweli?

Si kweli !!!!

Alitoa mfano kwamba ukimuweka mwanaume mwenye akili timamu na mwanamke kichaa sehemu 1 kwa muda wa masaa 24, uku yule mwanamke chizi akifanya vitendo vyake vya uchizi mbele ya uyo mwanaume mwenye akili timamu kuwa uwezekano mkubwa sana wa ngono kufanyika. Anadai kwamba mfanya icho kitendo kwa dakika hizo chache huwa hajielewi na fahamu humjia pale anapomaliza kile kitendo, je ni kweli?

Kuna jamaa ninamfahamu ni mzima kabisa na aliwahi kufanya ngono zaidi ya mara moja na vichaa tofauti tofauti
Hya mabo ya kusingizia kuwa hawa wanaowapa ujauzito hawa watu nao wana matatizo ya akili ni upotoshaji!

Wanaofanya hivi vitendo ni wazima na wana akili timam kabisa!!!!!
 
Binafsi niliwahi kushuhudia jambo hilo.Ilikuwa Nyegezi-Mwanza,jamaa watatu wanapokezana na wahudumu wa bar wanashangilia(ilikuwa koridoni),nilichofanya ni kutembeza mikanda kuanzia kwa wale jamaa,wahudumu hadi manager wao.Jamaa walikuwa wamelewa lakini nilisikia ni tabia yao kumlewesha yule dada kisha wanamEva.
 
Kwa maana hiyo wanaume akili zao hazipo sawa. Mbona sijasikia mwanamke mwenye akili zake timamu amejipeleka kwa mwanamke kichaa?

we we we wapo, kuna mama àlivunja ndoa kwa kumpa uroda kichaa. Alikuwa ànasubiri mmewe yupo safarini, anamchukua kichaa ànayeswmwa àlikuw na mashine babkubwa basi anampa. Yule kichaa àkakaa muda mrefu hajatafutwa, akamtafta hadi nyumban, alifika na kudai nipe ile kitu. Kichaa mpaka àlilia, akipewa hela ànagoma, ikabidi mama aondoke ghafla.
 
Kuna mzee mmoja meshimiwa sana alitembea na kichaa; kwa kawaida baada ya kugegedana yule kichaa alikuwa anadai fedha, inavyoonekana baada ya 'kazi' mzee hakutoa 'mshiko'. Sasa alipoondoka bila kutoa mshiko, kichaa yule alimfuata kwa nyuma hadi nyumbani kwake. Mzee alipofika nyumbani aliingia moja kwa moja chumbani. Kichaa alipofika home alilakiwa na mkewe na kwa sababu tabia ya yule chizi inajulikana mama alitambua mara moja kuwa mzee amegegeda bila kutoa fedha.

Mzee alijulishwa kuwa nje kuna mgeni wake, na alipotoka kutahamaki akamuona yule chizi. Ilikuwa bonge la soo!
 
Nimesikia zamani alikuwa mwalimu, je ni kweli mkuu?



Ni Kweli, Nimesha Wahi Kuona Interview Zake Mbili, Ya Kwanza alifanya Na Joyce Kiria Kwenye Kipindi Cha Wanawake Live, Na Ya Pili Alifanya Na Hoyce Temu, Kwenye Kipindi Cha Mimi Na Tanzania Cha Chanel Ten, Na Ni Kweli Alithibitisha Kuwa Alikuwa Mwalimu.... Kama Sikosei Ni Kigoma
 
Back
Top Bottom