run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,824
- 3,131
Yohana 14:30 Sitasema nanyi tena mambo mengi, kwa maana mtawala wa ulimwengu anakuja, naye hana uwezo juu yangu.The lord God of Israel!
(Hayo ni maneno ya Yesu nani huyo hana uwezo juu ya Yesu?)
Mathayo 4:8 Tena Ibilisi akampeleka Yesu kwenye mlima mrefu sana, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na utukufu wazo. 9 Naye akamwambia: “Nitakupa vitu hivi vyote ukianguka chini na kunifanyia tendo la ibada.”
(Shetani angawezaje kumuhaidi Yesu vitu ambayo hana)
1Yohana 5:19 Tunajua tunatokana na Mungu, lakini ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu.