Nani hasa anaimiliki na kuitawala dunia tunayoishi?

Ohoo kiswahili kigumu...pengine wewe ni mwalimu mzuri wa kiswahili lakini kwenye mambo mengine hujui....binafsi sifahamu vizuri lugha hii ya kiswahili labsa ndo pengine nakosea specifically spelling zake lakini kama umegeuka tena kwenye spelling basi utakuwa na shida brooo...sio bure...

huwezi ukakosa cha kujitetea ha ha ha...

Ila nimekupa Airtime ya maana si ndio mkuu ha ha ha nikuache basi mwalimu wangu wa kiswahili ila naamini nachotemaga kuna watu huwa wanakielewa ndo mana wanalike ila watu wanaofuatilia spelling kama nyie ndo mnaokosea...

nahisi ni kutokana na lugha ya Kiswahili kuwa ngumu kwa baadhi ya watu kama sisi ndo mana nakosea sna...ila nadhani nimekupa airtime ya kutosha japo umeshindwa kutetea unachotaka kujua


Nacheka sana. Inaonekana hujakaa na watu wenye elimu ndio maana ulisema kwamba hakuna mtu ambaye unampelekea....

Kaa na watu wa elimu ujue nini maana ya elimu,watu wako makini mpaka unapotakiwa kuweka kituo.

Elimu ni amana mzee na elimu haina mwenyewe bali ina watu wake.

Kukosa kwako umakini kumekufikisha hapa. Soma kaka tena usome hasa,ibakie tu ule udhaifu wa kibadamu na sio uzembe.

Mpaka hapa kazi yangu imeisha yaani nimemaliza.
 
Hakuna anayetawala per say... (Tumu-exclude Mungu katika conversation hii)

Ila kuna watu kadhaa/wachache wenye influence kubwa ambao wana uwezo wa kupeleka mambo katika mwelekeo fulani.

Ila hakuna ambaye kiujumla exclusively ana influence katika kila nyanja. Ni kwamba wamegawana gawana. Wengine wanaelewana wengine hawaelewani.

Hivyo, ndio kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kuchochea jambo fulani lakini kiuhalisia, hakuna wenye exclusive power ya kuweza kufanya chochote kile.
 
Ohoo kiswahili kigumu...pengine wewe ni mwalimu mzuri wa kiswahili lakini kwenye mambo mengine hujui....binafsi sifahamu vizuri lugha hii ya kiswahili labsa ndo pengine nakosea specifically spelling zake lakini kama umegeuka tena kwenye spelling basi utakuwa na shida brooo...sio bure...

huwezi ukakosa cha kujitetea ha ha ha...

Ila nimekupa Airtime ya maana si ndio mkuu ha ha ha nikuache basi mwalimu wangu wa kiswahili ila naamini nachotemaga kuna watu huwa wanakielewa ndo mana wanalike ila watu wanaofuatilia spelling kama nyie ndo mnaokosea...

nahisi ni kutokana na lugha ya Kiswahili kuwa ngumu kwa baadhi ya watu kama sisi ndo mana nakosea sna...ila nadhani nimekupa airtime ya kutosha japo umeshindwa kutetea unachotaka kujua

Hivi hujasahau cha kuongezea kweli katika maoni yako haya ?

Elimu haiongopi na ukitaka kuijua HAKI waangalie wenye haki kina nani.

Ila kaa ukijua hili deni umeliacha hapa.

NIMEMALIZA ....
 
Kiongoz mmiliki ni mungu ila mtawala ni nguvu za kiroho ambapo kuna nguvu za giza na roho ya yesu kristo. Kwahiyo mtawala inategemea kwako ww mwanadam umechagua yupi atawale maisha yako.
Kuna baadhi ya maswali huwa nakosa majibu yake. Naomba waelewa waweke mambo wazi; hii dunia tunaishi inatawaliwa na nani?

Je ni Mungu, Taifa fulani au ni MTU mwenyewe?
 
You can not understand the universe specifically the way way how it works in lowest dimension form....

Kila siku nasema kuwa mwanadamu upo katika lowest level ya frequency dimension...

lower life forms can not understand the total realm mpaka uingie katika highest life form dimension (quantum) na kutokana na habitat yetu kuwa katika lower dimension ndo mana tunashindwa kusynchronize na higher dimension of reality..

At higher dimension za quantum realm( scale) kila kitu kimewekwa wazi, and it's fraction of second to understand how particles of nature interact under supersonic speed of reality with no illusion..

Hivi unalazimishaje uelewe mfumo ulivyo wakati upo ndani ya dimension ndogo wakati mfumo unaokutawala upo katika dimension scale kubwa...?? Insane....

Yani nasema tena na kurudia tena elimu zetu za biblia ni ndogo sana kuelezea how everything is processed kwa sababu watu wake wapo katika low level ya quatum scale( Realm ) na huwezi ukaelewa katika quantum scale ndogo mfumo ulio katika high quantum scale...ndo mana hata waliotutangulia maarifa wapo katika kufaiti wajue kuinterprete things under higher dimension in quantum realm state make huko vitu vipo wazi ,tunawaita wenye ulimwengu kwa sababu wamewahi kuelewa maarifa flani jinsi mfumo katika lower dimension ulivyo na dimension za reality zipo katika scale flani na kufanya mgawanyo wa quantun realm katika level tofauti . ..

The universe has offered a number of quantum realm posibilities za frequency dimensions entity tofauti ili kila kiumbe chenye uelewe wowote kiweze kusavaivu kulingana na uelewa wako ..

The universe is more flux,it offers higher number of quantum posibility ya kila kiumbe kusaivu under different levels za dimensions,the more unaingia katika dimension kubwa ndipo ulimwengu unakuweka kwenye level zingine za uhalisia wa maisha and vice versa

Hapo ulipofikia leo na uliyoyafahamu hukutegemea kama ungefika hapo na hata kama ulitegemea kufika hapo lakini kwa perception tofauti ,meaning that the universe is more flux,it offers more options kwa kila kiumbe kutokana na quantum realm scale uliyoascend na haina upendeleo na mtu,kila kiumbe atasavaivu kutokana na quantum scale alipofikia na utakufa katika quantum awareness ulipokuwa umefikia, hata perception ni tofauti kwa sababu the magneto frequency ya awareness inashift kwa speed kubwa sana ,so we have to interprete the magneto quantum scale frequency inayotushikilia wote ,but in oreder to understand ,we have to reach as higher as possible katika higher dimension entity za quantum realm..


Kuna watu wamefanikiwa kuwa katika dimensions flani za juuu na hao ndo tunawaita wenye ulimwengu huu simply because they can manipulate any reality na kuwa illusion kupitia quantum scale inversions of reality...

Wanatusubject kwenye quantum illusion state ambayo inaprovide magneto frequency kadhaaa ya kukushikilia uendelee kucheza na frequency quantum scale flani katika hiyo hiyo low dimension yako na hutaweza kamwe kufikia au kuascent into higher dimension kiasi cha kumanipulate reality..

You can not identify the owner of the universe katika low quantum realm state au lower dimension wakati inhabitation yake ipo katika higher dimension za quantum level..
you need to ascent to break up the lower forces ambazo zimekusubject kwenye illusion of reality ..

Hakuna mtu katika lower dimension state atakayekuja hapa kujifanya kuelezea jinsi owner wa universe alivyo kwa sababu you can not describe the higher quantum superposion wakati wew upo katika lower life forms...

Ndo mana kuna watu kama kina Werner Karl Heisenberg na Schrödinger wamejaribu kulitolea hili swala kwa ufafanuzi wa kimafumbo kuwa ni ngumu sana kupredict the true value au uwepo wa kitu bila kuwa eneo husika katika dimension flani...unless utakuwa uongo..

Ndo mana jamaaa anasema kuwa kuna kitu kinaitwa the observer effect, which notes that measurements of certain systems cannot be made without affecting the systems, that is, without changing something in a system. Heisenberg utilized such an observer effect at the quantum level as a physical "explanation" of quantum uncertainty kama ilivyo ngumu kujua sehemu( position ya kitu kilipo) pamona na speed yake kwa pamoja...

Hawa watu walikuwa wanatolewa ufafanuzi haya mambo kwa madumbo sana ndo mana hata watu waliosoma physics mpaka leo ukimuliza maana ya maneno yale atakimbilia kukwambia jamaaa walikuwa wanazungumzia electron,probably it is electron katika quatum awareness yako wew but in higher dimension analysis inaongelea mfumo mzima katika quatum scale ya juu snaa..

Watu wa dini na unajimu wataendela kukazia mambo yao hapa na hakuna atakaetoa jibu la maana hapa unless uingie katika quantum scale kubwa ndipo utaweza kujua mfumo mzima wa jinsi ulimwengu unavyooperate ndipo unaweza ukatoa jibu la mwisho kuwa kuna mtu anaiendesha au ni self operating kwa reason inayoijua yenyewe..
Mkuu ina maana sisi Tanzania hatuna mtu aliyefikia hizo level za juu iki tukamuulize hili swali LA mtoa mada?
 
You can not understand the universe specifically the way way how it works in lowest dimension form....

Kila siku nasema kuwa mwanadamu upo katika lowest level ya frequency dimension...

lower life forms can not understand the total realm mpaka uingie katika highest life form dimension (quantum) na kutokana na habitat yetu kuwa katika lower dimension ndo mana tunashindwa kusynchronize na higher dimension of reality..

At higher dimension za quantum realm( scale) kila kitu kimewekwa wazi, and it's fraction of second to understand how particles of nature interact under supersonic speed of reality with no illusion..

Hivi unalazimishaje uelewe mfumo ulivyo wakati upo ndani ya dimension ndogo wakati mfumo unaokutawala upo katika dimension scale kubwa...?? Insane....

Yani nasema tena na kurudia tena elimu zetu za biblia ni ndogo sana kuelezea how everything is processed kwa sababu watu wake wapo katika low level ya quatum scale( Realm ) na huwezi ukaelewa katika quantum scale ndogo mfumo ulio katika high quantum scale...ndo mana hata waliotutangulia maarifa wapo katika kufaiti wajue kuinterprete things under higher dimension in quantum realm state make huko vitu vipo wazi ,tunawaita wenye ulimwengu kwa sababu wamewahi kuelewa maarifa flani jinsi mfumo katika lower dimension ulivyo na dimension za reality zipo katika scale flani na kufanya mgawanyo wa quantun realm katika level tofauti . ..

The universe has offered a number of quantum realm posibilities za frequency dimensions entity tofauti ili kila kiumbe chenye uelewe wowote kiweze kusavaivu kulingana na uelewa wako ..

The universe is more flux,it offers higher number of quantum posibility ya kila kiumbe kusaivu under different levels za dimensions,the more unaingia katika dimension kubwa ndipo ulimwengu unakuweka kwenye level zingine za uhalisia wa maisha and vice versa

Hapo ulipofikia leo na uliyoyafahamu hukutegemea kama ungefika hapo na hata kama ulitegemea kufika hapo lakini kwa perception tofauti ,meaning that the universe is more flux,it offers more options kwa kila kiumbe kutokana na quantum realm scale uliyoascend na haina upendeleo na mtu,kila kiumbe atasavaivu kutokana na quantum scale alipofikia na utakufa katika quantum awareness ulipokuwa umefikia, hata perception ni tofauti kwa sababu the magneto frequency ya awareness inashift kwa speed kubwa sana ,so we have to interprete the magneto quantum scale frequency inayotushikilia wote ,but in oreder to understand ,we have to reach as higher as possible katika higher dimension entity za quantum realm..


Kuna watu wamefanikiwa kuwa katika dimensions flani za juuu na hao ndo tunawaita wenye ulimwengu huu simply because they can manipulate any reality na kuwa illusion kupitia quantum scale inversions of reality...

Wanatusubject kwenye quantum illusion state ambayo inaprovide magneto frequency kadhaaa ya kukushikilia uendelee kucheza na frequency quantum scale flani katika hiyo hiyo low dimension yako na hutaweza kamwe kufikia au kuascent into higher dimension kiasi cha kumanipulate reality..

You can not identify the owner of the universe katika low quantum realm state au lower dimension wakati inhabitation yake ipo katika higher dimension za quantum level..
you need to ascent to break up the lower forces ambazo zimekusubject kwenye illusion of reality ..

Hakuna mtu katika lower dimension state atakayekuja hapa kujifanya kuelezea jinsi owner wa universe alivyo kwa sababu you can not describe the higher quantum superposion wakati wew upo katika lower life forms...

Ndo mana kuna watu kama kina Werner Karl Heisenberg na Schrödinger wamejaribu kulitolea hili swala kwa ufafanuzi wa kimafumbo kuwa ni ngumu sana kupredict the true value au uwepo wa kitu bila kuwa eneo husika katika dimension flani...unless utakuwa uongo..

Ndo mana jamaaa anasema kuwa kuna kitu kinaitwa the observer effect, which notes that measurements of certain systems cannot be made without affecting the systems, that is, without changing something in a system. Heisenberg utilized such an observer effect at the quantum level as a physical "explanation" of quantum uncertainty kama ilivyo ngumu kujua sehemu( position ya kitu kilipo) pamona na speed yake kwa pamoja...

Hawa watu walikuwa wanatolewa ufafanuzi haya mambo kwa madumbo sana ndo mana hata watu waliosoma physics mpaka leo ukimuliza maana ya maneno yale atakimbilia kukwambia jamaaa walikuwa wanazungumzia electron,probably it is electron katika quatum awareness yako wew but in higher dimension analysis inaongelea mfumo mzima katika quatum scale ya juu snaa..

Watu wa dini na unajimu wataendela kukazia mambo yao hapa na hakuna atakaetoa jibu la maana hapa unless uingie katika quantum scale kubwa ndipo utaweza kujua mfumo mzima wa jinsi ulimwengu unavyooperate ndipo unaweza ukatoa jibu la mwisho kuwa kuna mtu anaiendesha au ni self operating kwa reason inayoijua yenyewe..
Uko sahihi kiasi fulani, nimeshawahi kuandika humu kuwa binadamu kujua kwa nini yupo hapa duniani ni mtihani. Na nikatoa mfano wa karanga na mkulima.
Ila story tulizokaririsha zinatufariji na kuona hatuko hapa tu burebure.
 
Tusubiri kuna watu wanalifanyia kazi hili swala...kupitia CERN project watawaweza kutoa ufafanuzi zaidi japo kinachotolewa kinakuwà kina 1/3 ya ukweli ,sasa hapo sijui ukweli utawekwa wazi lini....hata mimi naumiza akili sana kutaka kujua kwanini hawatushirikishi
wakishawashirikisha...itakuwa hakuna jipya tena ..
 
We are not the only most Intelligent beings ever...kama unakataa leta facts tutashusha facts ..


And what is the supreme being are you after...??

Where did ya get solution explaining the precence of the supreme being as an Individual like you?? does the supreme entity look like home sapiens as you...??

If not.....
How about if we speak about the supreme entity being as higher as the highly interconnected energy grid encoded within the dark energy that processes everything and can be explained by quantum reality at high dimension realm ,can't col it as supreme ??
Uhmmm...
Biblical inspired, Man's purpose was to rule and conquer the world.

I don't know alot about other origin stories but I believe that's the purpose,to make great impacts to this world and pass it on to the next generation...(DNA?)

I wasn't there when life on earth begun but religions do carry some truth..

What if we are just the remains of a great world before us from a different galaxy,or just right here in our solar system....saved as small compact seeds in corpuscles all together with other living things and happened to survive on earth..maybe failed in others...what if?

Cause that's what Man would exactly do if the world was ending....wait there are sperm bank already..we are getting there..

Well dolphins have quite an impressive frequency range,brain use...tell me why they aren't building rockets or tryna survive on land as man? Weak as we look we have built submarines and rockets and planes....we might have been destructive on the way but oh...im impressed by our race.

Surrounded by all powers,energy,entities
On earth or in space... the human race has been brave and has conquered and controlled...

So pleeeease name me a mortal as successful as man, I'll wait.
 
Uhmmm...
Biblical inspired, Man's purpose was to rule and conquer the world.

I don't know alot about other origin stories but I believe that's the purpose,to make great impacts to this world and pass it on to the next generation...(DNA?)

I wasn't there when life on earth begun but religions do carry some truth..

What if we are just the remains of a great world before us from a different galaxy,or just right here in our solar system....saved as small compact seeds in corpuscles all together with other living things and happened to survive on earth..maybe failed in others...what if?

Cause that's what Man would exactly do if the world was ending....wait there are sperm bank already..we are getting there..

Well dolphins have quite an impressive frequency range,brain use...tell me why they aren't building rockets or tryna survive on land as man? Weak as we look we have built submarines and rockets and planes....we might have been destructive on the way but oh...im impressed by our race.

Surrounded by all powers,energy,entities
On earth or in space... the human race has been brave and has conquered and controlled...

So pleeeease name me a mortal as successful as man, I'll wait.
Human being as the only Intelligent being existing with no co- existance of other Intelligent beings?.....Damn

Is human being responsible with the Artificial Intelligence ?
 
Back
Top Bottom