Nani fundi zaidi hapa?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,906
Reaction score
31,690


A- Ronaldo de lima

B-Christiano Ronaldo

C-Ronaldinho Gaucho

Leo nataka tumalize ubishi tusibakishe kitu
Yupi fundi zaidi hapo?

Nani anafuata?

Yupi wa mwisho katika hii list?
 
Aisee Gaucho ni hatari kama Kichuya vile
 
Gaucho alizaliwa ili afanye vitu uwanjani watu waupende mpira wa miguu na Christian kaja kutajirisha mpira kwa kufunga magoli tu huyu di Lima simjui
 
Mleta mada,, achana na huyo namba "C" ni balaa. Usimlinganishe na vitu vya kijinga.
 
Ronaldinho gaucho is the futbol god najivunia kumshuhudia alipokua kwny ubora wake
 
Katika dunia hii ni mchezaji bora mmoja tu ambaye hajawahi kuwa mchezaji bora wa dunia (RONALDINHO).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…