Hance Mtanashati JF-Expert Member Joined Sep 7, 2016 Posts 23,906 Reaction score 31,690 Mar 4, 2017 #1 A- Ronaldo de lima B-Christiano Ronaldo C-Ronaldinho Gaucho Leo nataka tumalize ubishi tusibakishe kitu Yupi fundi zaidi hapo? Nani anafuata? Yupi wa mwisho katika hii list?
A- Ronaldo de lima B-Christiano Ronaldo C-Ronaldinho Gaucho Leo nataka tumalize ubishi tusibakishe kitu Yupi fundi zaidi hapo? Nani anafuata? Yupi wa mwisho katika hii list?
Facilitator JF-Expert Member Joined Oct 30, 2010 Posts 2,279 Reaction score 1,772 Mar 4, 2017 #2 Gaucho ni noma asee. Cheki balaa yake hapa
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,563 Reaction score 15,962 Mar 4, 2017 #5 Gaucho balaa lake sio la kitoto
kelao JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 8,132 Reaction score 5,808 Mar 4, 2017 #7 Aisee Gaucho ni hatari kama Kichuya vile
kuseranasera JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 622 Reaction score 390 Mar 4, 2017 #8 Gaucho alizaliwa ili afanye vitu uwanjani watu waupende mpira wa miguu na Christian kaja kutajirisha mpira kwa kufunga magoli tu huyu di Lima simjui
Gaucho alizaliwa ili afanye vitu uwanjani watu waupende mpira wa miguu na Christian kaja kutajirisha mpira kwa kufunga magoli tu huyu di Lima simjui
Jcoder JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 500 Reaction score 313 Mar 4, 2017 #9 MO11 said: Messi Click to expand... We bashite nn?
PAGAN JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 13,335 Reaction score 22,285 Mar 4, 2017 #10 Gaucho hata Messi atasubiri mpaka siku ya kufa. Kwenye football hakuna kama yeye
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 18,426 Reaction score 24,148 Mar 4, 2017 #11 Facilitator said: Gaucho ni noma asee. Cheki balaa yake hapa Click to expand... Aiseeeee kwa sie tuliozaliwa miaka ya 80 gaucho ni dunia nyingine
Facilitator said: Gaucho ni noma asee. Cheki balaa yake hapa Click to expand... Aiseeeee kwa sie tuliozaliwa miaka ya 80 gaucho ni dunia nyingine
Itzmusacmb JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 1,531 Reaction score 1,138 Mar 4, 2017 #12 Ronaldinho Gaucho
ShyaRuwa JF-Expert Member Joined May 30, 2015 Posts 8,253 Reaction score 14,798 Mar 4, 2017 #13 Triple Ronaldo's ..........Ila umemdhalilisha Gaucho kwa kumchanganya na vitu vya ajabu ajabu.
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,624 Reaction score 39,996 Mar 4, 2017 #14 Mleta mada,, achana na huyo namba "C" ni balaa. Usimlinganishe na vitu vya kijinga.
Ulamaa mswati Member Joined Mar 2, 2017 Posts 14 Reaction score 6 Mar 4, 2017 #15 gaucho alikuwa ni fundi wa mpira ' de lima alikuwa
Pharm D JF-Expert Member Joined Feb 17, 2017 Posts 1,238 Reaction score 3,016 Mar 4, 2017 #16 Ronaldinho gaucho is the futbol god najivunia kumshuhudia alipokua kwny ubora wake
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,624 Reaction score 39,996 Mar 4, 2017 #18 Katika dunia hii ni mchezaji bora mmoja tu ambaye hajawahi kuwa mchezaji bora wa dunia (RONALDINHO).
Hance Mtanashati JF-Expert Member Joined Sep 7, 2016 Posts 23,906 Reaction score 31,690 Mar 4, 2017 Thread starter #19 Bila bila said: Katika dunia hii ni mchezaji bora mmoja tu ambaye hajawahi kuwa mchezaji bora wa dunia (RONALDINHO). Click to expand... Ronaldinho amewahi kuwa mchezaji bora wa dunia kama mara 3 hivi kama sikosei
Bila bila said: Katika dunia hii ni mchezaji bora mmoja tu ambaye hajawahi kuwa mchezaji bora wa dunia (RONALDINHO). Click to expand... Ronaldinho amewahi kuwa mchezaji bora wa dunia kama mara 3 hivi kama sikosei
Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 7,936 Reaction score 10,561 Mar 4, 2017 #20 Gaucho