Nani baba lao?

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
[WIKIPEDIA],Najua kila kitu.....................................[GOOGLE]=>Nina kila kitu.....................................[FACEBOOK]=>Ninamjua kila mtu.....................................[INTERNET]=>Bila mimi nyote msingekuepo!................................................................[TANESCO]=>Enhee,nyie endeleeni na u.s.e.n.g.e wenu!
 
[WIKIPEDIA],Najua kila kitu.....................................[GOOGLE]=>Nina kila kitu.....................................[FACEBOOK]=>Ninamjua kila mtu.....................................[INTERNET]=>Bila mimi nyote msingekuepo!................................................................[TANESCO]=>Enhee,nyie endeleeni na u.s.e.n.g.e wenu!

....................[GENERATOR]=> madogo msihofu, kama TANESCO akileta upuuzi mi nipo kwa ajili yenu
 
JUA.........mi nina mengi sana .....nyie tu mnashindwa kunitumia vema....
eti mkinianikia nguo ndo mnaona mmenitumiiiiaaa................nikiwaka kidogo
tu mara TANESCO anaanza kulalama maji yamepungua ...........
 
UPEPO......mi ndo baba lao... napatikana 24 hrs tofauti na bwana mdogo jua 12hrs.
mi sina mgao wala masharti... usiku na mchana napatikana
 
Back
Top Bottom