Kwa sasa mambo yote ya ovyo yamerudi nchini ni huzuni kwakweli

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Yaani sahv Tanzania mambo yote ya hovyo yamerudi

Serikali isiyojali

Utawala wa wenye nchi na wala nchi

Viongozi wasiojali tena na wasio na hofu ya Mungu

Serikali isiyojali wananchi

Rushwa, ufisadi na ukwepakodi

Kila kitu kimeharibiwa kuanzia Tanesco, reli, maji kila miradi imevurugwa yaani


Uzembe umepanda hadi asilimia 10000%


Nchi ni kama haina rais tu nchi imekua kama kuku anayetembea huku amekatwa kichwa

Taifa limepoteza mwelekeo

Sahivi dira,mikakati, na malengo na utekelezaji hamna tena.

Wananchi wamejikatia tamaa wamepuuzwa, wamebezwa, hawasikilizwi, hata wale wa upinzani wengi wao walokua tumaini lao wamegeuka walamba asali

Sasa hivi wakubwa wanajijazilishia mifuko yao tu hii inaitwa chukua chako mapema!! Khee mwashangaa nini si nchi ipo chini ya mama?washaambiwa wale kwa akili kujipimia lakini wasivimbiwe!!

Sasahiv wahuni wanapita na V8 hadi kwenye barabara za mwendokasi na kuchomekea na kusababisha ajali, ukihoji unaulizwa "unanijuwa mimi ni nani?"

Sasa hiv kuna wananchi wenye nchi na wala nchi, nyakati za kusimangwa mkale nyasi ndo hizi nyie kufeni kwa tozo na mfumuko wao wanajipandishia mishahara safari na matozo

Hakuna anayejali tena sahivi watu wanagawana mbao tu kila mtu apite hivi, watu wanakopa wanapiga cha juu hawajali tena hatma....Nyie fieni kwenye hosptali za umma kitanda kimoja watu watatu wao hata mafua tu wanaenda kutibiwa nje

Wana bima za maisha kupitia mkataba wa mwitongo kwamba hadi vizazi vyao vitapewa nchi..

Hii ndo Tanganyika, nchi iliyobarikiwa kila kitu ikalaaniwa kwa kukosa watawala na viongozi wenye akili.
 
Yaani sahv Tanzania mambo yote ya hovyo yamerudi

Serikali isiyojali

Utawala wa wenye nchi na wala nchi

Viongozi wasiojali tena na wasio na hofu ya Mungu

Serikali isiyojali wananchi

Rushwa, ufisadi na ukwepakodi

Kila kitu kimeharibiwa kuanzia Tanesco, reli, maji kila miradi imevurugwa yaani


Uzembe umepanda hadi asilimia 10000%


Nchi ni kama haina rais tu nchi imekua kama kuku anayetembea huku amekatwa kichwa

Taifa limepoteza mwelekeo

Sahivi dira,mikakati, na malengo na utekelezaji hamna tena.

Wananchi wamejikatia tamaa wamepuuzwa, wamebezwa, hawasikilizwi, hata wale wa upinzani wengi wao walokua tumaini lao wamegeuka walamba asali

Sasa hivi wakubwa wanajijazilishia mifuko yao tu hii inaitwa chukua chako mapema!! Khee mwashangaa nini si nchi ipo chini ya mama?washaambiwa wale kwa akili kujipimia lakini wasivimbiwe!!

Sasahiv wahuni wanapita na V8 hadi kwenye barabara za mwendokasi na kuchomekea na kusababisha ajali, ukihoji unaulizwa "unanijuwa mimi ni nani?"

Sasa hiv kuna wananchi wenye nchi na wala nchi, nyakati za kusimangwa mkale nyasi ndo hizi nyie kufeni kwa tozo na mfumuko wao wanajipandishia mishahara safari na matozo

Hakuna anayejali tena sahivi watu wanagawana mbao tu kila mtu apite hivi, watu wanakopa wanapiga cha juu hawajali tena hatma....Nyie fieni kwenye hosptali za umma kitanda kimoja watu watatu wao hata mafua tu wanaenda kutibiwa nje

Wana bima za maisha kupitia mkataba wa mwitongo kwamba hadi vizazi vyao vitapewa nchi..

Hii ndo Tanganyika, nchi iliyobarikiwa kila kitu ikalaaniwa kwa kukosa watawala na viongozi wenye akili.
Mtanikumbuka
 
Ndo Huwa najiuliza ambao mlikuwa mnamsifia jiwe kwamba alikuwa anafanya mambo ya maana sana na kwamba ni mzalendo wa taifa, angekuwa mzalendo angeleta katiba mpya ila yeye akaamua kujiandalia mbinu za kuongoza maisha ,Kama angekuwa rais Bora angeweka mikakati Bora ambayao itakuwepo hata asipokuwepo duniani.

Hapo kikwete atabaki kuwa best president mana alionyesha uthubutu wa kutuletea katiba mpya.
 
Yaani sahv Tanzania mambo yote ya hovyo yamerudi

Serikali isiyojali

Utawala wa wenye nchi na wala nchi

Viongozi wasiojali tena na wasio na hofu ya Mungu

Serikali isiyojali wananchi

Rushwa, ufisadi na ukwepakodi

Kila kitu kimeharibiwa kuanzia Tanesco, reli, maji kila miradi imevurugwa yaani


Uzembe umepanda hadi asilimia 10000%


Nchi ni kama haina rais tu nchi imekua kama kuku anayetembea huku amekatwa kichwa

Taifa limepoteza mwelekeo

Sahivi dira,mikakati, na malengo na utekelezaji hamna tena.

Wananchi wamejikatia tamaa wamepuuzwa, wamebezwa, hawasikilizwi, hata wale wa upinzani wengi wao walokua tumaini lao wamegeuka walamba asali

Sasa hivi wakubwa wanajijazilishia mifuko yao tu hii inaitwa chukua chako mapema!! Khee mwashangaa nini si nchi ipo chini ya mama?washaambiwa wale kwa akili kujipimia lakini wasivimbiwe!!

Sasahiv wahuni wanapita na V8 hadi kwenye barabara za mwendokasi na kuchomekea na kusababisha ajali, ukihoji unaulizwa "unanijuwa mimi ni nani?"

Sasa hiv kuna wananchi wenye nchi na wala nchi, nyakati za kusimangwa mkale nyasi ndo hizi nyie kufeni kwa tozo na mfumuko wao wanajipandishia mishahara safari na matozo

Hakuna anayejali tena sahivi watu wanagawana mbao tu kila mtu apite hivi, watu wanakopa wanapiga cha juu hawajali tena hatma....Nyie fieni kwenye hosptali za umma kitanda kimoja watu watatu wao hata mafua tu wanaenda kutibiwa nje

Wana bima za maisha kupitia mkataba wa mwitongo kwamba hadi vizazi vyao vitapewa nchi..

Hii ndo Tanganyika, nchi iliyobarikiwa kila kitu ikalaaniwa kwa kukosa watawala na viongozi wenye akili.
Hakuna kiongozi hapa ni bomu Tena la kienyeji
 
....mpenzi naumiaaa....hakikaaa...katika yanayonisibuu....hakuna mwingine zaidi yakoo...
 
Ndo Huwa najiuliza ambao mlikuwa mnamsifia jiwe kwamba alikuwa anafanya mambo ya maana sana na kwamba ni mzalendo wa taifa, angekuwa mzalendo angeleta katiba mpya ila yeye akaamua kujiandalia mbinu za kuongoza maisha ,Kama angekuwa rais Bora angeweka mikakati Bora ambayao itakuwepo hata asipokuwepo duniani.

Hapo kikwete atabaki kuwa best president mana alionyesha uthubutu wa kutuletea katiba mpya.
Watanzania wengi wajinga ukiwaletea mazingaombwe kidogo kama ya Jiwe yale ya "Nitumbuee, nisitumbueee...?" . Wanakujibu "Tumbuaaa...." wanakushangilia.

Ushamaliza habari.

Wewe huoni mpaka leo Makonda bado anawachota akili eti?
 
Dawa ya, kuokoa hii nchi, ni, kipigo kama cha Hamas kwa Israel, I wish ingetokea mapinduzi, ya ki jeshi, kanali au, sagent mmoja, alianzishe, teka maccm yote, chapa risasi, yatakayobaki, taifisha Mali zao, mengine tupa jera!
Haya, majitu hayapo tayari kuiachia, hii nchi, yanafaidika, na, yanaogopa kwa madhambi waliyoyatenda, wataenda wapi!
Kizimkazi, uwezo, wake ni, mdogo,hakupaswa, kuwa, Rais, uwezo wake, ni, mkuu wa, wilaya, tu,
 
Yaani sahv Tanzania mambo yote ya hovyo yamerudi

Serikali isiyojali

Utawala wa wenye nchi na wala nchi

Viongozi wasiojali tena na wasio na hofu ya Mungu

Serikali isiyojali wananchi

Rushwa, ufisadi na ukwepakodi

Kila kitu kimeharibiwa kuanzia Tanesco, reli, maji kila miradi imevurugwa yaani


Uzembe umepanda hadi asilimia 10000%


Nchi ni kama haina rais tu nchi imekua kama kuku anayetembea huku amekatwa kichwa

Taifa limepoteza mwelekeo

Sahivi dira,mikakati, na malengo na utekelezaji hamna tena.

Wananchi wamejikatia tamaa wamepuuzwa, wamebezwa, hawasikilizwi, hata wale wa upinzani wengi wao walokua tumaini lao wamegeuka walamba asali

Sasa hivi wakubwa wanajijazilishia mifuko yao tu hii inaitwa chukua chako mapema!! Khee mwashangaa nini si nchi ipo chini ya mama?washaambiwa wale kwa akili kujipimia lakini wasivimbiwe!!

Sasahiv wahuni wanapita na V8 hadi kwenye barabara za mwendokasi na kuchomekea na kusababisha ajali, ukihoji unaulizwa "unanijuwa mimi ni nani?"

Sasa hiv kuna wananchi wenye nchi na wala nchi, nyakati za kusimangwa mkale nyasi ndo hizi nyie kufeni kwa tozo na mfumuko wao wanajipandishia mishahara safari na matozo

Hakuna anayejali tena sahivi watu wanagawana mbao tu kila mtu apite hivi, watu wanakopa wanapiga cha juu hawajali tena hatma....Nyie fieni kwenye hosptali za umma kitanda kimoja watu watatu wao hata mafua tu wanaenda kutibiwa nje

Wana bima za maisha kupitia mkataba wa mwitongo kwamba hadi vizazi vyao vitapewa nchi..

Hii ndo Tanganyika, nchi iliyobarikiwa kila kitu ikalaaniwa kwa kukosa watawala na viongozi wenye akili.
Hata mimi nilimwandikia SSH kuhusu tatizo ambalo hata Afisa wa Serikali ngazi ya Mwangalizi wa Ofisi angeweza kulitolea uamuzi, lina ufisadi ndani yake. Lakini huu mwaka wa tatu hakuna suluhu. Najilaumu kwa nini nilipoteza muda wangu na imani yangu kumwandikia! Sielewi kwa nini watu wanataka U Rais kama dhamira ya kuwatumikia wananchi hao haipo. Hivi kweli mtu anaweza tamani kuwa Rais kwa ajili ya mbwembwe za U Rais peke yake! Mwenyezi Mungu Atuepushe.
 
Yaani sahv Tanzania mambo yote ya hovyo yamerudi

Serikali isiyojali

Utawala wa wenye nchi na wala nchi

Viongozi wasiojali tena na wasio na hofu ya Mungu

Serikali isiyojali wananchi

Rushwa, ufisadi na ukwepakodi

Kila kitu kimeharibiwa kuanzia Tanesco, reli, maji kila miradi imevurugwa yaani


Uzembe umepanda hadi asilimia 10000%


Nchi ni kama haina rais tu nchi imekua kama kuku anayetembea huku amekatwa kichwa

Taifa limepoteza mwelekeo

Sahivi dira,mikakati, na malengo na utekelezaji hamna tena.

Wananchi wamejikatia tamaa wamepuuzwa, wamebezwa, hawasikilizwi, hata wale wa upinzani wengi wao walokua tumaini lao wamegeuka walamba asali

Sasa hivi wakubwa wanajijazilishia mifuko yao tu hii inaitwa chukua chako mapema!! Khee mwashangaa nini si nchi ipo chini ya mama?washaambiwa wale kwa akili kujipimia lakini wasivimbiwe!!

Sasahiv wahuni wanapita na V8 hadi kwenye barabara za mwendokasi na kuchomekea na kusababisha ajali, ukihoji unaulizwa "unanijuwa mimi ni nani?"

Sasa hiv kuna wananchi wenye nchi na wala nchi, nyakati za kusimangwa mkale nyasi ndo hizi nyie kufeni kwa tozo na mfumuko wao wanajipandishia mishahara safari na matozo

Hakuna anayejali tena sahivi watu wanagawana mbao tu kila mtu apite hivi, watu wanakopa wanapiga cha juu hawajali tena hatma....Nyie fieni kwenye hosptali za umma kitanda kimoja watu watatu wao hata mafua tu wanaenda kutibiwa nje

Wana bima za maisha kupitia mkataba wa mwitongo kwamba hadi vizazi vyao vitapewa nchi..

Hii ndo Tanganyika, nchi iliyobarikiwa kila kitu ikalaaniwa kwa kukosa watawala na viongozi wenye akili.
Mkuu;

Ingependeza kama kwa kila mada ndani ya hoja, ungetoa mifano dhahiri na mlinganyo au tofauti dhidi ya awamu angalau mbili zilizopita ili tupembue ukweli na matango pori!

Vinginevyo ni chuki zako binafsi dhidi ya awamu iliyopo, ambayo sio nzuri kwa afya yako!
 
Yaani sahv Tanzania mambo yote ya hovyo yamerudi

Serikali isiyojali

Utawala wa wenye nchi na wala nchi

Viongozi wasiojali tena na wasio na hofu ya Mungu

Serikali isiyojali wananchi

Rushwa, ufisadi na ukwepakodi

Kila kitu kimeharibiwa kuanzia Tanesco, reli, maji kila miradi imevurugwa yaani


Uzembe umepanda hadi asilimia 10000%


Nchi ni kama haina rais tu nchi imekua kama kuku anayetembea huku amekatwa kichwa

Taifa limepoteza mwelekeo

Sahivi dira,mikakati, na malengo na utekelezaji hamna tena.

Wananchi wamejikatia tamaa wamepuuzwa, wamebezwa, hawasikilizwi, hata wale wa upinzani wengi wao walokua tumaini lao wamegeuka walamba asali

Sasa hivi wakubwa wanajijazilishia mifuko yao tu hii inaitwa chukua chako mapema!! Khee mwashangaa nini si nchi ipo chini ya mama?washaambiwa wale kwa akili kujipimia lakini wasivimbiwe!!

Sasahiv wahuni wanapita na V8 hadi kwenye barabara za mwendokasi na kuchomekea na kusababisha ajali, ukihoji unaulizwa "unanijuwa mimi ni nani?"

Sasa hiv kuna wananchi wenye nchi na wala nchi, nyakati za kusimangwa mkale nyasi ndo hizi nyie kufeni kwa tozo na mfumuko wao wanajipandishia mishahara safari na matozo

Hakuna anayejali tena sahivi watu wanagawana mbao tu kila mtu apite hivi, watu wanakopa wanapiga cha juu hawajali tena hatma....Nyie fieni kwenye hosptali za umma kitanda kimoja watu watatu wao hata mafua tu wanaenda kutibiwa nje

Wana bima za maisha kupitia mkataba wa mwitongo kwamba hadi vizazi vyao vitapewa nchi..

Hii ndo Tanganyika, nchi iliyobarikiwa kila kitu ikalaaniwa kwa kukosa watawala na viongozi wenye akili.
Tarehe 24, ingieni road muirudishe nchi yenu.
 
Back
Top Bottom