Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Kitendo cha waziri mkuu wa Uingereza kutulazimisha tuwe mashoga kimenitia kichefuchefu. Hivi Cameroun anataka watanzania au waafrika wawe mashoga ili nani awaoe? Jamani hawa wazungu wametudharau kiasi kwamba wameona wanaweza kumuoa yeyote Afrika hata kama ni mwanaume? Pumbavu kabisa.
Mimi najiuliza kama kweli Cameroun aliwaeleza viongozi wa Afrika akiwemo Kikwete, Je raisi wetu alilipokeaje, kwanza kitendo cha mwanaume mwenzako kukaapproach na kuanza kukushawishi ukubaliane na habari za kugongwa ni dharau kubwa, na pili kitendo cha wewe kukubali kusikiliza upumba​vu wa namna hii kinampa matumaini ya kwamba hata wewe unaweza kuja kuwa shoga kama sio shoga. Haya ndiyo madhara ya kujitembeza kwenye majukwaa ya kimataifa kama mwalimbwende tukihubiri umasikini wetu.
Nawatahadharisha viongozi wetu hasa wale wanaopenda sana kuwatembelea hawa jamaa, wasishangae siku wakiombwa.....au kwa sababu sisi ni nchi ya kununuliwa mpaka suti ndio wanatufikiria kipumbavu hivi...sh..t
Mimi najiuliza kama kweli Cameroun aliwaeleza viongozi wa Afrika akiwemo Kikwete, Je raisi wetu alilipokeaje, kwanza kitendo cha mwanaume mwenzako kukaapproach na kuanza kukushawishi ukubaliane na habari za kugongwa ni dharau kubwa, na pili kitendo cha wewe kukubali kusikiliza upumba​vu wa namna hii kinampa matumaini ya kwamba hata wewe unaweza kuja kuwa shoga kama sio shoga. Haya ndiyo madhara ya kujitembeza kwenye majukwaa ya kimataifa kama mwalimbwende tukihubiri umasikini wetu.
Nawatahadharisha viongozi wetu hasa wale wanaopenda sana kuwatembelea hawa jamaa, wasishangae siku wakiombwa.....au kwa sababu sisi ni nchi ya kununuliwa mpaka suti ndio wanatufikiria kipumbavu hivi...sh..t