Nani awaoe MASHOGA wa Tanzania?

Nani awaoe MASHOGA wa Tanzania?

Ground Zero

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
342
Reaction score
95
Kitendo cha waziri mkuu wa Uingereza kutulazimisha tuwe mashoga kimenitia kichefuchefu. Hivi Cameroun anataka watanzania au waafrika wawe mashoga ili nani awaoe? Jamani hawa wazungu wametudharau kiasi kwamba wameona wanaweza kumuoa yeyote Afrika hata kama ni mwanaume? Pumbavu kabisa.

Mimi najiuliza kama kweli Cameroun aliwaeleza viongozi wa Afrika akiwemo Kikwete, Je raisi wetu alilipokeaje, kwanza kitendo cha mwanaume mwenzako kukaapproach na kuanza kukushawishi ukubaliane na habari za kugongwa ni dharau kubwa, na pili kitendo cha wewe kukubali kusikiliza upumba​vu wa namna hii kinampa matumaini ya kwamba hata wewe unaweza kuja kuwa shoga kama sio shoga. Haya ndiyo madhara ya kujitembeza kwenye majukwaa ya kimataifa kama mwalimbwende tukihubiri umasikini wetu.

Nawatahadharisha viongozi wetu hasa wale wanaopenda sana kuwatembelea hawa jamaa, wasishangae siku wakiombwa.....au kwa sababu sisi ni nchi ya kununuliwa mpaka suti ndio wanatufikiria kipumbavu hivi...sh..t
 
Naona David Cameroon ameamua kushika masaburi ya waafrika kwa kupenda penda misaada.
Chagueni moja mwendelee kutembeza bakuri kwao au mruhusu waje wawashikishe ukuta watoto wenu wa kiume.
 
Naona David Cameroon ameamua kushika masaburi ya waafrika kwa kupenda penda misaada.
Chagueni moja mwendelee kutembeza bakuri kwao au mruhusu waje wawashikishe ukuta watoto wenu wa kiume.
hahahha nimecheka hadi basi ..hapa underlined inabidi aanze na masaburi ya huyo huyo anayependa kusaafiri safiri kuomba misaada.
 
mwenyekiti wa chama cha kijani sijui anasemaje kujitetea na ubaradhuli huu

Huyo kwa jinsi tunavyo mjua atapitisha tu la sivyo itabidi apunguze kuzurura majuu.
Lakini alisha sema mwenyekiti kuwa **^^+..Ukikubali kula kubali kuliwa..+^^**:cheer2:
 
@Gaijin.. Wanaume wakiolewa wanawake watafanyaje?
 
Hakika tunaishi katika kipindi cha siku za mwisho. Hii yote ni kazi ya shetani. Shetani anataka kuwashika watu wote waenende sawa sawa na ushetani wake. Umasikini wetu utatuponza, maana tutaburuzwa kufanya yale tusiyoyataka.

Bado tunauwezo wa kujitegemea. Nchi yetu ni tajiri sana. Tufunguke tufanye kazi kwa bidii kwa maslahi ya wananchi. Kipindi cha kukumbatia viongozi wanaotupeleka na kutudidimiza kwenye umaskini kimekwisha. Watanzania tuamke sasa, bado hatujachelewa.

Eeeee mungu, tuwezeshe watu wako!
 
hahahha nimecheka hadi basi ..hapa underlined inabidi aanze na masaburi ya huyo huyo anayependa kusaafiri safiri kuomba misaada.

Haha!si ajabu tayari kashamaliza na siyo kuanza!jiulize kwanini kila kukicha yuko ng'ambo?
 
Naona David Cameroon ameamua kushika masaburi ya waafrika kwa kupenda penda misaada.
Chagueni moja mwendelee kutembeza bakuri kwao au mruhusu waje wawashikishe ukuta watoto wenu wa kiume.

hahaha mkuu umenifanya nicheke ... dah !kuna ukweli ndani yake
 
hahaha mkuu umenifanya nicheke ... dah !kuna ukweli ndani yake

Ndo maanake viongozi wetu wanatia aibu kila siku misaada misaada alafu misaada yenyewe inawaneemesha wao sisi wanyonge tunaendelea kuwa maskini sasa wameamua kuja na gia ya kuwashika masaburi kwa ujinga wao watakubali wewe subiri
 
Ubatili mtupu, pumbavu zenu wa UK mnaopenda ushoga,
 
hivi kumbe hii ishu ni siriaz jamani.............mi nlidhani chai
 
Huyo kamerun aanze yeye kushika ukuta
asituletee ufirauni wake hapa!!!
 
Kama tumeshindwa kujitegemea na midhahabu yote hii, nadhani tumeumbwa kushika ukuta, baaaaasi!
 
Hiyo misaada wakae nayo na ushoga wao hukohuko.Sehemu za kutolea ma.vi mnataka ziwe halali kwa tendo la ndoa!Wa.se.nge wakubwa.Eti haki!Kulawiti au Kulawitiwa ni haki?Mnataka mtuharibie vijana we2 wawe wanatutingishia ma.tak.o mtaani.Mnawatafutia soko eeh?Kwa vle mnajua kuna viafrika vinapenda watasha?
 
CDM itisheni maandamano ya kulaani Uingereza kwa kutoa masharti yasiyokuwa ya kibinadamu.
 
Naona David Cameroon ameamua kushika masaburi ya waafrika kwa kupenda penda misaada.
Chagueni moja mwendelee kutembeza bakuri kwao au mruhusu waje wawashikishe ukuta watoto wenu wa kiume.
Naona hawa wazungu walikuwa wanagongwa mashuleni na wanataka kuhalalisha ujinga huu kwa pesa walizo nazo.
Wakiwapenda mashoga wape uraia huko huko kwao
 
Kuna siku niliwahi kuandika Neno kamili kama Biblia ilivyoandika kwenye Kitabu cha 1 WAKORINTHO:Mlango wa 6: Mstali wa 9:Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

Hivyo neno Wafiraji ni Neno Halali na Kama JF ni zaidi ya BIBLIA sawa!
 
Back
Top Bottom