Hawana impact yoyote kwenye maamuzi ya utawala bora ni bora lienda its not an issue so far. They aren't ready to be counted.
CJ wa Tanzania?Nchi haina uhuru wa Mahakama hata kidogo.
Mahakama zimeshindwa kumtupa fisadi hata mmoja KEKO!
Wenzetu kama USA ,wateuzi wa RAIS lazima wawe confirmed na Senate!!
Kama CJ ,wataangalia rulings/kazi zake tangu akiwa magistrate etc.
Lakini Tanzania,ni kupeta tu.I dont think CJ anasaidia chochote Tanzania.
Mtu wa kijijini anaweza kusihi bila ya huyu mteule wa RAIS
Kwenye nafasi nyeti kama hizi za dola huwa hakuna conflict of interest. Kwa mfano bahati mbaya ibilisi akiwaingilia hawa mabwana mbao mnasema ni ndugu wakaamua kuside against rais katika jambo fulani rais atakuwa katika wakati gani. Au tuseme hivi afisa wa tiss akipewa kazi na boss wa tiss ya kumchunguza cj ambaye ni mdogo wa boss ataweza kumsemea mdogo wa boss kwa kaka yake na akabaki salama si lazima ndugu watalinda. kama ni kweli busara inahitajika sana katika kufanya maamuzi yeyote kuhusu hili.
HUU NI WAKATI WETU SASA WAKRISTO MSAHAU KUHUSU HII NI NAFASI HII NI NAFASI NYETI SANA NA NI LAZIMA APEWE MUISLAM MWENZETU ,ANAEONDOKA ALIKUWA KIKWAZO PIA KWENYE ISSUE YA MAHAKAMA YA KADI SASA MAHAKAMA HII ITAKUJA jk NAKUAMINI MKUU WEWU TUCHAGULIE WALE MMOJA KATI YA WALE MABOLD TIMOR WA KIISLAM WALIOPO PALE PLS PLS
Japokuwa nakula nguruwe(kitimoto) na bia, lakini ni zamu yetu waislamu...!!!!!!!!asalam aleykhum wallahktubal wabarakat.....
He was a puppet!thanks God ramadhani anaondoka maana kavuruga waanglicana zenji na sasa kaingia mahakama yetu:teeth:
anayekuja ni muislamu aisee.... huhu:whoo:
muache kumsingizia kuhusu anglican zanzibar ametoa ushauri na si lazma kufatwa hamna mahali ambapo kanisa liko binded kufuata ushauri wake! kama waliopendekezwa woote ni vilaza mnataka achague tu ilimradi kuwaridhisha? hataa kila mtu si mbayuwayu ati...He was a puppet!
The best Judge everybody knows is Misss Munuo but because she is a woman!!!
Tehe tehe Mr President.....
Niwakumbushe kuwa Tanzania kuna ujinga mwingi wa aina hii umewahi kufanyika, kuna wakati Waziri aliteuliwa kuongoza wizara na mdogo wake akawa katibu mkuu, wakati wa utawala wa Mkapa.Mnakumbukaaa??????