Nani atatusaidia kujibu maswali haya kwenye Voice Note ya Steven Nyerere na mama Wema Sepetu?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
  1. Je Wema Sepetu anavuta Bangi?
  2. Je Steven Nyerere ndiye aliyesimamisha Bunge kwa siku moja kumjadili Paul Makonda?
  3. Je Nape Nnauye ndiye aliyempa mafuta Steven Nyerere ya kuweka kwenye gari lake na kurejea Dar?
  4. Je Stephen Nyerere alikutana na Mbowe na Zitto kwa pamoja kupanga mikakati ya kumsulubu Makonda?
  5. Je ni kweli kwamba watu wanamkomoa Paul Makonda kumzushia tuhuma kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na masogange?
  6. Je ni kweli Stephen Nyerere anataka kuzaa mtoto na Mama yake Wema Sepetu?
  7. Je ni kweli Wema Sepetu anahamia CHADEMA kwa kununuliwa?
  8. Je ni kweli kwamba CHADEMA walikuwa wanamlipa Wema Sepetu dola laki mbili uchaguzi mkuu wa 2015
  9. Je ni kweli kwamba Steven Nyerere anatishwa na Paul Makonda?
 
Maswali ya kijinga kupindukia

Kama CCM wanakulipa kwa kazi hii wanapoteza fedha zao bure
GT wa JF anatuaminisha Steven Mengele ana ushawishi mkubwa bungeni kiasi cha kuwaunganisha wapinzani na watawals
Pure drivel
 
  1. Je Wema Sepetu anavuta Bangi?
  2. Je Steven Nyerere ndiye aliyesimamisha Bunge kwa siku moja kumjadili Paul Makonda?
  3. Je Nape Nnauye ndiye aliyempa mafuta Steven Nyerere ya kuweka kwenye gari lake na kurejea Dar?
  4. Je Stephen Nyerere alikutana na Mbowe na Zitto kwa pamoja kupanga mikakati ya kumsulubu Makonda?
  5. Je ni kweli kwamba watu wanamkomoa Paul Makonda kumzushia tuhuma kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na masogange?
  6. Je ni kweli Stephen Nyerere anataka kuzaa mtoto na Mama yake Wema Sepetu?
  7. Je ni kweli Wema Sepetu anahamia CHADEMA kwa kununuliwa?
  8. Je ni kweli kwamba CHADEMA walikuwa wanamlipa Wema Sepetu dola laki mbili uchaguzi mkuu wa 2015
  9. Je ni kweli kwamba Steven Nyerere anatishwa na Paul Makonda?

hiyo voice ni fake , wameigiza hao. Huyo aliyepiga simu kajirecord mwenyewe hii recording imefanyika kutoka kwa End User equipment, kwa sababu:
-Imerecord hadi signalling pamoja na payload.
-Mwanzo tu utasikia kibatoni cha recording.

Harafu huyo Jamaa aliweza je kukutana na watu wote hao? hayo majina aliyotaja ni selectively picked kulingana na tukio la nyuma. Ni mchezo wa kuigiza, ili kuwagombanisha watu. Ni mchezo uleule kama wa Makamba na Muitaliano.
 
Back
Top Bottom