Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,236
- 1,257
Nimekutana na tangazo la dawa za nguvu za kiume huko Instagram lililotolewa na Wema Sepetu. Katika tangazo hilo lenye lengo la kujiingizia kipato kupitia biashara hiyo ya dawa za nguvu za kiume, kuna mtu ametolewa kama mfano, wanamuita CK wa ikulu sijui kwa jinsi nilivyosikia humo, lengo likiwa ni kunogesha tangazo hilo la biashara.
Sasa je, endapo mtu anadhalilishwa kwenye umma kwa malengo ya kibiashara, hawezi akatumia sheria ya defamation ili walau faida iliotokana na mauzo ya dawa hizo za nguvu za kiume waweze kugawana nusu kwa nusu au pengine pawe tu na fidia lumpsum ya walau bilioni kadhaa ili kumpooza machungu? Wataalam wa sheria, hii imekaaje?
NB: Sisemi kwamba Wema Sepetu amedanganya, la hasha, ila tu, kuna udhalilishaji umefanyika kwa malengo ya kibisahara.
Video ipo chini.
Sasa je, endapo mtu anadhalilishwa kwenye umma kwa malengo ya kibiashara, hawezi akatumia sheria ya defamation ili walau faida iliotokana na mauzo ya dawa hizo za nguvu za kiume waweze kugawana nusu kwa nusu au pengine pawe tu na fidia lumpsum ya walau bilioni kadhaa ili kumpooza machungu? Wataalam wa sheria, hii imekaaje?
NB: Sisemi kwamba Wema Sepetu amedanganya, la hasha, ila tu, kuna udhalilishaji umefanyika kwa malengo ya kibisahara.
Video ipo chini.