Zanzibar ni nchi, si nchi?!Nimesikia kwenye vyombo vya habari jumatatu ni sherehe ya mapinduzi zanzibar na mh sana jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar atakuwepo swali je nani atapigiwa mizinga ya mkuu wa majeshi?naombe msaada nijue
Zanzibar ipi?Zanzibar ni nchi, si nchi?!
Mchambawima.Zanzibar ipi?
Nimesikia kwenye vyombo vya habari jumatatu ni sherehe ya mapinduzi zanzibar na mh sana jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar atakuwepo swali je nani atapigiwa mizinga ya mkuu wa majeshi?naombe msaada nijue
Ni ile ndondocha ambayo haikuwahi kuota kuwa rais.ccm dodoma ikampa shavu.
Kwani miaka yote anapigiwa nani
Rais wa nchi ya Zanzibar na rais bandia wa Tanganyika atakuwemo kwani yeye ni miongoni mwa marais aloalikwa kuwakilisha nchi zao.Zanzibar ipi?
Jibuni maswali ya msingi nani atapigiwa mizinga kama mkuu wa majeshi?