Nimesikia kwenye vyombo vya habari jumatatu ni sherehe ya mapinduzi zanzibar na mh sana jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar atakuwepo swali je nani atapigiwa mizinga ya mkuu wa majeshi?naombe msaada nijue
rais wa wazanzibar ki amri jeshi mkuu wa vikozi maalumu na mkuu wa nchi ya zanzibar hivyo kwa mantiki hiyo zanzibar nchi kama zilivyo nchi zingine acheni bla bla za ccm
Napigiwa mimi pamoja na wakuu wangine watakaokuwepo kwenye uwanja.
Zanzibar ipi?
Kwani KATIBA ya Zanzibar inasemaje?Nimesikia kwenye vyombo vya habari jumatatu ni sherehe ya mapinduzi zanzibar na mh sana jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar atakuwepo swali je nani atapigiwa mizinga ya mkuu wa majeshi?naombe msaada nijue
Nimesikia kwenye vyombo vya habari jumatatu ni sherehe ya mapinduzi zanzibar na mh sana jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar atakuwepo swali je nani atapigiwa mizinga ya mkuu wa majeshi?naombe msaada nijue
Nimesikia kwenye vyombo vya habari jumatatu ni sherehe ya mapinduzi zanzibar na mh sana jakaya mrisho kikwete rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar atakuwepo swali je nani atapigiwa mizinga ya mkuu wa majeshi?naombe msaada nijue
Umbeya mtupu. Kama huna topic ya maana, nyamaza kimya forever and ever