Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
Umbea gani wakati kauliza swali la msingi? Na wewe lazima utakuwa 'HAMNAZO'!
Wewe unajua kabisa, dr shein ndio atapigiwa mizinga, halafu unaleta swali kama hili. maana yake nini? haya ni maswali ya wanawake kwenye kitchen party au salon.