Nani aolewe?

pole kwa msala huo, ila kama maelezo yako ni ya kweli, basi oa huyo wa kwanza kuwa kuwa suala la kukojoa kitandani linatibika kwa wataalamu hata wa tiba za asili, pia hilo sio tatizo la nje ambalo kila mtu anakuwa analijua, bali ni la ndani sana, kuliko hao wengine na miharufu yao itakuwa aibu hata kwa watu wanaowazunguka huko, na huyo muongo ndio majanga zaidi...u know what I mean! so huyo wa kwanza safi, ni marekebisho madogo sana...na wewe mwenyewe una kasoro au kero gani maana umeongea ya wenzako tu yako vipi? au wewe umekamilika?inawezekana unaendana na mmojawapo kati ya hao na mkaunda kapo bomba sana...lol!
 
... ni vigumu sana kukushauri ukiwa umekalia kiti cha jaji, nirahisi kukushauri kama ungekuwa unaangalia faida zaidi kuliko makosa, maana weakness zote ni sawa, in any way kila mtu anamapungufu yake. so the biggest problem here ni kwamba bado huna msimamo...
 
usihalalishe chain
kwa kua ana kojoa kitandani ungefanya utaratibu wa kumuamsha anakojoa huo usiku[
hakuna alie mkamilifuQ
sasa na hao wengine?UOTE=julius mahinya;7180242]Nilitaka ujifunze kupitia mfano huu wa kweli kuwa mapungufu yako yanaweza kumfanya mwanaume/mwanamke atoke nje ya mahusiano na kuwa kwenye chain!
watu wengi wanawalaumu watu bila kujua kuwa huenda alitumbukia kwenye wrong choice? mapungufu sikuyatumia kama sababu haja yangu ya penzi haikutimia mfano mnalala na mtu usiku anakuomba tupumzike tutafanya later na wewe unajua kweli mwenzangu amechoka unaamka saa kumi/tisa unajikuta uko baharini na maanisha umelowana una hamu na kufanya mapenzi tena mapenzi ni starehe si karaha sawa usinione wa ajabu hata wewe kuishi na kijana kikojozi sijui?[/QUOTE]
 
acha zote hizo bana, tafuta nyingine, hapo hutakuwa na amani labda km ukiamua kutafuta dawa ya hao wagonjwa, ila ukikosa hutakaa kwa amani na utatoka nje ya ndoa km ulivyofanya sasa kutokana na matatizo hayo...

mkojo wa mtu mzima ngumu sana bana, labda km tatizo lenyewe lingeanzia akiwa kwako ungemvumilia lkn anakuja nalo, ni ngumu sana kucoup, japo ukimuoa huyu na kuamua kumvumilia kukojoa kwake bas atakuheshimu sana na ww utaishi maisha ya ndoa ya amani sana, na huyo mwanamke hatakusumbua...

huyo mwenye kikwapa na kunuka mdomo ni ngumu kuishi nae km hajapata tiba kwani huezi kuinjoi kumsogelea na mapenzi hayako hivyo.. ni mtu utakayelala nae kitanda kimoja na mtakuwa karibu lazima umuhitaji kwa hivyoo kero ni ngumu aisee..mimi nina ndugu yangu ananuka kikwapa enzi hizo tukiwa nyumbani akivaa nguo yako mara moja tu unaitupa kwa jinsi inavyonuka jasho hilo hata uifue mara 10 haliishi
 
[/QUOTE]
Kweli lakini ukumbuke siku ya kwanza alidai kapitiwa, baadaye aliniambia ni tatizo la kuzaliwa, nilijitia kujua nika peleka kila aina ya hospital marufu hapa jijini lakini wapi! waganga wa kubandika vibao ndio usiseme lakini wapi? sasa nimetua mikono chini yeye mwenyewe nilichokuwa nafanya wazazi walisha fanya ikashindikana nikawa napita mle mle sisi wahandisi wa mawasiliano tunasema kama wewe una ujumbe ninao kuletea ntakapo kueleza kiasi cha ujumbe niliokupa ni sifuri(if the receiver has all the information to be transmitted by transmiter the amount of information received is zero) na mimi kazi nilio fanya ilikua ni zero kwa sababu alishafanywa bila mafanikio!
 
Nimiongoni mwa ushauri nilioorodhesha kwenye diary ili nikitulia niufanyie kazi! thax mkuu!
 
nilisema kasoro zangu japo sitarudia niliwajibu watu walitaka kujua! thax kwa ushauri!
 
Last edited by a moderator:
duh!..uko juu na sample space yako

n bado sijakata tamaa...namtafuta..if not today,tomoro atarudi
 
duh!..uko juu na sample space yako

n bado sijakata tamaa...namtafuta..if not today,tomoro atarudi
Wewe mwenyewe naamini hao watatu ulivuka muda tu! labda unachonizidi mimi uliwamiliki muda tofauti tofauti! tena nyie wasichana?
 
duh!..uko juu na sample space yako

n bado sijakata tamaa...namtafuta..if not today,tomoro atarudi

Hayawee ngojea tu viliwe na nyenyere...

Kwaiyooo...sample space nzuri ni ipi mimisa kwa mtazamo wako!??
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…