Kwa akili zao fupi, wanadhani foleni ya Aal hadan Mwinyi road inasababishwa na sarenda bridgeHata Mimi huwa sipati picha watawala wetu wanawaza nini? Hivi Kuipanua Ally Hassani Mwinyi kuwa njia nne kila upande si ingekuwa option nzuri zaidi kuliko kujenga hili Daraja uchwara?tena daraja lenyewe ni two lanes