Nani anaweza kukisia huyu ninani?????

Nani anaweza kukisia huyu ninani?????

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
xxxxxxxxxx.jpg
Leta maneno yako kuhusu mtoto huyu

Loh............................................................!!!
Mungu mwache aitwe Mungu. anajua kuumba dah.....!!
Nimekufa hapa mimi wanajf.....
 
umekosaaaaaa................................mwingine.
 
Nami ni mnyakyusa but sijaona kumwyetu nkamu.....katoto haka ni kazuri mwee.......
 
Aaagh...,huyu ni mwalingwe kalambwe wa kule ngokolo.ni jirani yangu pale kijijini tena ni mtoto wa mjumbe.
 
atambe.......................awe hv
 
mbona ni mke wangu picha yake umeipata wapi leo atanikoma ngoja ni print niende nayo home
 
Kuna mtu katoa kidokezo kwa kusema ' First daughter'. Naona kapata. Huyu binti bwana ukimtazama sana anafanana na mama yake Michelle. Kwa hiyo huyu binti ni mtoto wa Barack Obama.
 
Hahahaaaaaaaa................................................
 
Kaka wewe ni nomaaa.......huyu ni first born wa obama anaitwa malia, bonge la mtoto, second born wake anaitwa sasha katoto nako kapo kwenye list ya uzuri, katoto haka ka sasha kanaaminika katakuwa kamwansiasa nako kama baba yake....pia kapo vizurisana darasani kuliko hata dada yake malia....:A S 465:
 
safi kabiisa......anaitwa malia, uko sawa kingkong
 
Back
Top Bottom