Nani anaweza kukisia huyu ninani?????

Manzi ya Nairobi hiyo, Malia Obama. Under 18, ole wenu mliosema ooh mke wangu, dem wangu CIA wamesha wasoma jiandaeni kuelekea Guantanamobay.
 
Manzi ya Nairobi hiyo, Malia Obama. Under 18, ole wenu mliosema ooh mke wangu, dem wangu CIA wamesha wasoma jiandaeni kuelekea Guantanamobay.

Wewe...Malia ni yule mdogo. Huyu ni dadake Malia. Wanakuwa kama wamegawana sura hivi. Kadogo kamechukua sura ya Kenya, dada kabaki amerika.
 
Back
Top Bottom