Bennzine godfrey
Member
- Feb 22, 2014
- 25
- 18
Nahitaji msaada kidogo wana JF. Nataka kujua kuhusu mamlaka ya principles wa vyuo mbalimbali.
Je wana mamlaka yakuwaajiri lectures? Au ni wizara? Pia wanaweza kuwafukiza lectures wakitaka?
Naombeni majibu jamani.
Je wana mamlaka yakuwaajiri lectures? Au ni wizara? Pia wanaweza kuwafukiza lectures wakitaka?
Naombeni majibu jamani.