Unaweza kushea picha mkuu? Na hiyo bei inashuka hadi ngapi?
Mkuu unataka old model au new model? Kama old model ipo namba B bei 3.9m
Ha ha siyo mwenye kisu kikali ndiye mla nyama?Aweke picha lakini mie ndio mteja niliyewahi.. Usije leta ujanja mkuu ukanizidi kete
Tulia mtoto mzuri kwa hio hela gari hio utaipata bila wasiwasi..wewe tulia kama unanyolewa.Aweke picha lakini mie ndio mteja niliyewahi.. Usije leta ujanja mkuu ukanizidi kete
Ipo mwanza inataka 5.5MAweke picha lakini mie ndio mteja niliyewahi.. Usije leta ujanja mkuu ukanizidi kete
Nywele za wapi?Tulia mtoto mzuri kwa hio hela gari hio utaipata bila wasiwasi..wewe tulia kama unanyolewa.
Ipo mwanza inataka 5.5M
Afadhali umeona, 5.5 hiyo kubwa sana anyway labda kuna wateja MwanzaBORA WEWE MKUU UMEWEKA PICHA,MAANA WENGINE UJANJA UJANJA KIBAOOO,
HAYA WATEJAA WAJE,ILA BEI IPO JUU MKUU,
Siku zote mkuu huwa kuna room kwa ajili ya mazungumzoBORA WEWE MKUU UMEWEKA PICHA,MAANA WENGINE UJANJA UJANJA KIBAOOO,
HAYA WATEJAA WAJE,ILA BEI IPO JUU MKUU,
Sio kwa gari hili,endelea kutafuta,ila kwa bei hiyo utapata gari itanidi uwe na urafiki na mafundi gari,maana kila mara utakuwa unakwenda waonaMkuu mie nipo Dar, ila bajeti yangu ni 3.5M