Kwenye jamii zetu za kibantu, NI MARUFUKU! ...binafsi sithubutu kumwita mw'mke kwa majina hayo mbele ya 'mywife' wangu, na wala yeye hathubutu kutamka hayo kwa mw'ume mwingine nikayasikia, kwani inaleta tafsiri tofauti
Well...humu kwenye forum tupo tupo na tunaenda kichwa kichwa tu bila hata kujua. Watu wako anonymous na hujui nani ni nani. Mtu anaweza akaji position kama mwanamke huku ni mwanamme.
Sasa kumwita mtu darling, sweetheart ama dear bila kujua jinsia yake ni makosa. But then again, this only a forum where many social laws can and are broken on a day to day basis.
Maneno kama mpenzi, asali wa moyo, sweetheart ni maneno yatumiwapo mara kwa mara baina ya watu.Siyo ajabu hata kidogo kusikia marafiki wakiitana "mpenzi".... hasa marafiki wa kike ni kawaida sana.Wazazi nao huweza kuita watoto wao hasa wale wadogo kabisa "sweetie", "darling" n.k.na mara nyingi akina mama ndio hupenda sana kuwadekeza watoto wao wa umri wowote kwa neno lolote lenye kuashiria upendo.
Je kwenye mazingira yasiyo ya nyumbani, ni nani anapaswa kuita mwingine kwa majina hayo na jamii inatafsiri vipi?
Sema usikike ndugu yangu.
mimi ukiniita hivyo nitakuangalia mara 2, 2. kwa nini wanawake huitana hivyo?
mara mbilimbili meaning what?
Wanawake hatuogopi kujieleza na hata kuonyesha hisia au upendo baina yetu wenyewe kwa wenyewe.
Wos; it so much depends on your background;
Sometimes we call our parents by first names or even DOGO, it makes them laugh so much.
I call my Sisters and Mom all kind of names, Sweethert, Dear, Darling, Sister, Sweet etc and it makes sense to all of us.
I stay with my wife and because we are only two I call her all names, Sweety, baby, Mom, Ant, Mshikaji, Honey, Mywife etc. She calls me back similar names.
It is all depends with background, upbringing, and how confortable everyone is. . . .
Haya tupe Background yako Mkuu na hiyo upbringing tutajaza wenywe tukisha elewa Background yako,by the way huwa mnatumia lugha gani kuitana hayo majina Kiswahili au za kimakabila?
Thubuutuuu...achana na hayo maneno matamu matamu, ukitaka kupata joto la jiwe thubutu kumwambia mw'mke mwingine "sweet dreams." Yaani hiyo kasheshe yake.... Hawa maiwaifu wetu bana....
...Na yeye akimwambia njemba njozi tamu utajisikiaje?
Ndiyo maana ni vema kutumia the 4 way test all the time!inategemeana hiyo njozi njema inatamkwaje, ikitamkwa kwa sauti 'ya mikogo na mitego' hatalala mtu wala atayeoteshwa njozi tamu!
Asante Buswelu,
Kwanini wanaume hawaonyeshani kushibana au upendo wa moyoni?
Asante kwa mchango wako mzuri.
Unadhani kwanini haya maneno hayakuwepo kwenye kawaida yetu au huko vijijini? Ina maana waafrika/Watanzania hawana au hawataki kuonyesha hisia za upendo?
Kwanini sasa tunaiga utamaduni wa kigeni ilahali kila binadamu ana hulka ya kupenda na kupendwa - awe mtoto, mzazi, rafiki?
Ndiyo maana ni vema kutumia the 4 way test all the time!
...hiyo ni nini tena yarabi?
WoS
Kuitana majina kama darling,sweetheart,mpenzi n.k. ni vionjo katika mapenzi kati ya watu. Japokuwa siyo lazima mwingine anaweza kutumia la'aziz na mengineyo.
Pia wengine kama wameoana wanaweza kuitana majina yao halisi au baba/mama naa..Inategemea na walivyozoea,wengine wanatumia wife/husband.
WoS
Kuitana majina kama darling,sweetheart,mpenzi n.k. ni vionjo katika mapenzi kati ya watu. Japokuwa siyo lazima mwingine anaweza kutumia la'aziz na mengineyo.
Pia wengine kama wameoana wanaweza kuitana majina yao halisi au baba/mama naa..Inategemea na walivyozoea,wengine wanatumia wife/husband.