BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,021
...it's 'Weird' pale mtu miaka nenda rudi alikuwa anakuita Darling, mkishaachana tu anakuita "lijanaume!"
We unasema kuachana,wengine wakigombana tu utasikia jina lako halisi badala ya la kimahaba kama ilivyokuwa mazoea yenu ya vionjo.
Well mwanamke kukuita lijanaume labda akiwa anaongea na watu ila hawezi kufanya straight kwa mwanaume hivyo!..Hisia yangu