Nani anaongoza nchi?

Nani anaongoza nchi?

Kwani mkuu we unataka maamuzi yanayokufurahisha tu ndo ujue rais yuko serious au la!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwandishi kasoma sheria ya vyama vingi na sheria ya polisi na wasaidizi wake kuhusu mikusanyiko inayolenga minajili ya kisiasa kwamba lazima wapate kibali wakieleza kikao chao kinalenga nini lakini kilichopo vikao vyao hao jamaa ni kusambaza chuki dhidi ya wananchi na serikali yao kuhusu madai ya katiba mpya kitu ambacho hakina haraka yoyote wala umuhimu wowote kwa sasa hakuna kikao ambacho hao jamaa kinacholenga maendeleo ya mwananchi kama barabara, huduma za maji,huduma za afya zaidi ya kujadili mambo yao binafsi ya siasa za upinzani kiukweli mkulima, machinga, mfanyakazi na wananchi kiujumla katiba iliyopo haina tatizo lolote kwao lakini hao jamaa wana mambo yao binafsi.
Unaiga au kweli ww ni vuvuzela?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Salam wanajukwaa!

Sisi wengine tuko vijijini, hivyo, tunaishia kusikia sikia tu kutoka kwenu 'maborn town'.

Tunasikia kuwa eti wao ndio waliomtoa shujaa na kumuweka Masiah wa Fey toto.

Kwamba wao ndio wanateua kuanzia Cabinet members hadi maCEO.

Kwamba wao ndio wako nyuma ya mikataba yote mikubwa.

Kwa ufupi wao ndio huassamble parts zote za chapa hii ya TV, na hata zipatapo hitilafu, ni kiwanda cha pale pale msoga ndio huweka spare parts zingine. Inadaiwa remote wao ndio hubaki nayo, na hupendelea TV ikae Dar kwani ni karibu zaidi kwa remote kufanya kazi na haihitaji dish bali Antena tu kuliko Dodoma.

Shida haya yamekaa kizushi tu. Ushahidi uko wapi? Msoga wanasemwa lakini ushahidi sifuri! Hebu nyie 'maborn town' mtusaidie sisi 'mabush star' ili tupate elewa ukweli wa haya maneno..
 
Salam wanajukwaa!

Sisi wengine tuko vijijini, hivyo, tunaishia kusikia sikia tu kutoka kwenu 'maborn town'.

Tunasikia kuwa eti wao ndio waliomtoa shujaa na kumuweka Masiah wa Fey toto.

Kwamba wao ndio wanateua kuanzia Cabinet members hadi maCEO.

Kwamba wao ndio wako nyuma ya mikataba yote mikubwa.

Kwa ufupi wao ndio huassamble parts zote za chapa hii ya TV, na hata zipatapo hitilafu, ni kiwanda cha pale pale msoga ndio huweka spare parts zingine. Inadaiwa remote wao ndio hubaki nayo, na hupendelea TV ikae Dar kwani ni karibu zaidi kwa remote kufanya kazi na haihitaji dish bali Antena tu kuliko Dodoma.

Shida haya yamekaa kizushi tu. Ushahidi uko wapi? Msoga wanasemwa lakini ushahidi sifuri! Hebu nyie 'maborn town' mtusaidie sisi 'mabush star' ili tupate elewa ukweli wa haya maneno..
Ikimsikiliza vizuri huyu mwamba utaelewa kuwa yote usamayo yeye ameyasema kabla yako👇🏾
 
Umbea utaku cost mkuu.
Mzee Corleone alinikosha sana pale alipomuita mwanaye na kumuambia[kwa sauti ya karipio];
"tatizo lako nini? Kukaa sana huyo mwanamke kumekufanya akili yako iwe laini?". Bado hii ni moja ya Novel ya kibabe ukiacha Kane and Abel. Username yako imenikosa.

Sasa mkuu umbea wangu uko wapi? Kutaka uthibitisho ni umbea?
 
Mzee Corleone alinikosha sana pale alipomuita mwanaye na kumuambia[kwa sauti ya karipio];
"tatizo lako nini? Kukaa sana huyo mwanamke kumekufanya akili yako iwe laini?". Bado hii ni moja ya Novel ya kibabe ukiacha Kane and Abel. Username yako imenikosa.

Sasa mkuu umbea wangu uko wapi? Kutaka uthibitisho ni umbea?
Kanye ukalale Mzee Giza lishaingia
 
Back
Top Bottom