Nani anaongoza nchi?

Nani anaongoza nchi?

Hili ni swali kila mtanzania inabidi ajiulize.

Unakuwa na Rais anasema polisi waache kuonea watu, hapo hapo anasema ameruhusu mikutano ya ndani ila haya maagizo yake yanakaidiwa na watu ambao inabidi wamtii kama Amri Jeshi Mkuu.

Tunaona polisi wakiendelea kuzuia wanasiasa kufanya mikutano yao na kuwakamata hovyo hata wakiwa makanisani.

Leo Mbatia amesema walipozuiwa kufanya mikutano yao ya ndani, aliwauliza polisi nani amewatuma, akaambiwa kuwa ni maagizo kutoka juu.

Mbatia akasema akawapigia simu IGP na Simbachawene kuwauliza kuhusu nani kaagiza, wakamwambia kuwa hilo sio sawa na polisi wamekosea na hayo maagizo hayakutoka kwao.

Sasa yanayoka wapi? Kwa Rais? Rais ambae alishasema jukwaani kuwa waruhusiwe kufanya mikutano ya ndani? Je Rais ni mnafki?

Kama Rais sio mnfafki kuna kikundi cha watu kinachokaidi maagizo yake. Ninkikundi gani hili tusichokijua. Tundu Lissu na Zitto Kabwe walishadokeza mara kadhaa kuwa kuna watu kwenye "security na political establishment" hawataki mabadiliko, ni kina nani hawa wenye nguvu zaidi ya Rais?

Mi nilisikia sehemu kuwa Samia "sio Rais" na yupo pale kwa maonyesho tu, kufanya uzinduzi, kutoa hotuba nk, ila kuna watu nyuma ndio wanafanya maamuzi. Kama ni kweli ni kina nani hawa?

Hawa "watu" naskia wameenda mbali na kumpunguzia Samia mawasiliano na watu waliomuingiza madarakani. Rais sa hizi hana uhusiano na mawasiliano wa karibu na MaRais wastaafu na baadhi ya viongozi wa upinzani waliokuwa wakimshauri katika miezi ya mwanzoni.

Samia asikubaki kupelekeshwa, atambue kuwa yeye ni Rais na mamlaka yote ni yake. Kama alivyosema Zitto kwenye mahojiano na Star TV juzi, "hakuna Rais nusu".

Akilitambua hili, ataanza fanya maamuzi anayoyaamini yy sio yale wengine qanaotaka ayafanye. At the end of the day sisi wananchi tunajua ni YEYE ndio anasimamia ukandamizwaji huu sio watu hao nyuma. She needs fo protect her image. Kama anaona yamemshinda ajiuzulu.


Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Tatizo letu wa Africa hatujazoea delegation of power au chain of command tumezoea kila kitu Rais akiaddress

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hili ni swali kila mtanzania inabidi ajiulize.

Unakuwa na Rais anasema polisi waache kuonea watu, hapo hapo anasema ameruhusu mikutano ya ndani ila haya maagizo yake yanakaidiwa na watu ambao inabidi wamtii kama Amri Jeshi Mkuu.

Tunaona polisi wakiendelea kuzuia wanasiasa kufanya mikutano yao na kuwakamata hovyo hata wakiwa makanisani.

Leo Mbatia amesema walipozuiwa kufanya mikutano yao ya ndani, aliwauliza polisi nani amewatuma, akaambiwa kuwa ni maagizo kutoka juu.

Mbatia akasema akawapigia simu IGP na Simbachawene kuwauliza kuhusu nani kaagiza, wakamwambia kuwa hilo sio sawa na polisi wamekosea na hayo maagizo hayakutoka kwao.

Sasa yanayoka wapi? Kwa Rais? Rais ambae alishasema jukwaani kuwa waruhusiwe kufanya mikutano ya ndani? Je Rais ni mnafki?

Kama Rais sio mnfafki kuna kikundi cha watu kinachokaidi maagizo yake. Ninkikundi gani hili tusichokijua. Tundu Lissu na Zitto Kabwe walishadokeza mara kadhaa kuwa kuna watu kwenye "security na political establishment" hawataki mabadiliko, ni kina nani hawa wenye nguvu zaidi ya Rais?

Mi nilisikia sehemu kuwa Samia "sio Rais" na yupo pale kwa maonyesho tu, kufanya uzinduzi, kutoa hotuba nk, ila kuna watu nyuma ndio wanafanya maamuzi. Kama ni kweli ni kina nani hawa?

Hawa "watu" naskia wameenda mbali na kumpunguzia Samia mawasiliano na watu waliomuingiza madarakani. Rais sa hizi hana uhusiano na mawasiliano wa karibu na MaRais wastaafu na baadhi ya viongozi wa upinzani waliokuwa wakimshauri katika miezi ya mwanzoni.

Samia asikubaki kupelekeshwa, atambue kuwa yeye ni Rais na mamlaka yote ni yake. Kama alivyosema Zitto kwenye mahojiano na Star TV juzi, "hakuna Rais nusu".

Akilitambua hili, ataanza fanya maamuzi anayoyaamini yy sio yale wengine qanaotaka ayafanye. At the end of the day sisi wananchi tunajua ni YEYE ndio anasimamia ukandamizwaji huu sio watu hao nyuma. She needs fo protect her image. Kama anaona yamemshinda ajiuzulu.


Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Nami naongeza swali ,hivi Kama Samia anakandamiza wananchi ni kwa faida gani hasa???

N a Kama sivyo nini anakiamini ktk utawala wake???
 
Yeye mwenyewe amejichafua tayari maana haeleweki, hasimamii hata anachokiamini yeye kama yeye.
Unajua mwangwi, haaaa! Hili ni tatizo kama saayansi ya mwangwi huijui. Kila ukigeuka, ukisema, ukinong'ona mbaya zaidi ukipaza sauti! Imepasa kuishinda bila hivyo tutayumba.


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kama hivi
b372408465232005eedb0732d8cf6031.jpg
 
Hivi watu si hawataki Rais aingilie mifumo mingine. Yaani Rais aache mifumo ifanye kazi. Sasa wanalia nini? .

Kilio chenu mtakipata kwa Samia, Mzanzibar hataki kujichosha.
 
Wanamchafua Halafu Rais anafurahia kazi zao😎

Au unataka kutuambia Rais hajui lolote wala hana maamuzi🙄

Hebu Jiongezage buana
They want to hear what they desire.....Wanatamani wasikie nchi haina kiongozi; wamesahau maneno yale ya uthabiti.."Aliyesimama mbele yenu ni Rais wa JMT"...Ushirika wa wachawi haudumu, soon they will start fighting amongst themselves...Walichokitegemea hakitokei kama walivyotamani!
 
Hivi watu si hawataki Rais aingilie mifumo mingine. Yaani Rais aache mifumo ifanye kazi. Sasa wanalia nini? .

Kilio chenu mtakipata kwa Samia, Mzanzibar hataki kujichosha.
Shangaa mwenyewe, Rais ameacha kila mwenye nafasi apate nafasi ya kufanya bila kuingiliwa then mara imeshakuwa tatizo...Kuna watu wana self denial...Hawakutegemea things will turn out against their favour....Matatizo ya kuwa obsessed na madaraka
 
Hili ni swali kila mtanzania inabidi ajiulize.

Unakuwa na Rais anasema polisi waache kuonea watu, hapo hapo anasema ameruhusu mikutano ya ndani ila haya maagizo yake yanakaidiwa na watu ambao inabidi wamtii kama Amri Jeshi Mkuu.

Tunaona polisi wakiendelea kuzuia wanasiasa kufanya mikutano yao na kuwakamata hovyo hata wakiwa makanisani.

Leo Mbatia amesema walipozuiwa kufanya mikutano yao ya ndani, aliwauliza polisi nani amewatuma, akaambiwa kuwa ni maagizo kutoka juu.

Mbatia akasema akawapigia simu IGP na Simbachawene kuwauliza kuhusu nani kaagiza, wakamwambia kuwa hilo sio sawa na polisi wamekosea na hayo maagizo hayakutoka kwao.

Sasa yanayoka wapi? Kwa Rais? Rais ambae alishasema jukwaani kuwa waruhusiwe kufanya mikutano ya ndani? Je Rais ni mnafki?

Kama Rais sio mnfafki kuna kikundi cha watu kinachokaidi maagizo yake. Ninkikundi gani hili tusichokijua. Tundu Lissu na Zitto Kabwe walishadokeza mara kadhaa kuwa kuna watu kwenye "security na political establishment" hawataki mabadiliko, ni kina nani hawa wenye nguvu zaidi ya Rais?

Mi nilisikia sehemu kuwa Samia "sio Rais" na yupo pale kwa maonyesho tu, kufanya uzinduzi, kutoa hotuba nk, ila kuna watu nyuma ndio wanafanya maamuzi. Kama ni kweli ni kina nani hawa?

Hawa "watu" naskia wameenda mbali na kumpunguzia Samia mawasiliano na watu waliomuingiza madarakani. Rais sa hizi hana uhusiano na mawasiliano wa karibu na MaRais wastaafu na baadhi ya viongozi wa upinzani waliokuwa wakimshauri katika miezi ya mwanzoni.

Samia asikubaki kupelekeshwa, atambue kuwa yeye ni Rais na mamlaka yote ni yake. Kama alivyosema Zitto kwenye mahojiano na Star TV juzi, "hakuna Rais nusu".

Akilitambua hili, ataanza fanya maamuzi anayoyaamini yy sio yale wengine qanaotaka ayafanye. At the end of the day sisi wananchi tunajua ni YEYE ndio anasimamia ukandamizwaji huu sio watu hao nyuma. She needs fo protect her image. Kama anaona yamemshinda ajiuzulu.


Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Mbatia Mwongo anaisafisha serikali yake ya ccm kuwa haihusiki na kile kinachofanywa na Polisi
 
Shangaa mwenyewe, Rais ameacha kila mwenye nafasi apate nafasi ya kufanya bila kuingiliwa then mara imeshakuwa tatizo...Kuna watu wana self denial...Hawakutegemea things will turn out against their favour....Matatizo ya kuwa obsessed na madaraka
sukuma gang et al naona kama unachanganyikiwa hata unanvyoandika havieleweki.
 
Mwandishi kasoma sheria ya vyama vingi na sheria ya polisi na wasaidizi wake kuhusu mikusanyiko inayolenga minajili ya kisiasa kwamba lazima wapate kibali wakieleza kikao chao kinalenga nini lakini kilichopo vikao vyao hao jamaa ni kusambaza chuki dhidi ya wananchi na serikali yao kuhusu madai ya katiba mpya kitu ambacho hakina haraka yoyote wala umuhimu wowote kwa sasa hakuna kikao ambacho hao jamaa kinacholenga maendeleo ya mwananchi kama barabara, huduma za maji,huduma za afya zaidi ya kujadili mambo yao binafsi ya siasa za upinzani kiukweli mkulima, machinga, mfanyakazi na wananchi kiujumla katiba iliyopo haina tatizo lolote kwao lakini hao jamaa wana mambo yao binafsi.
Watu vilaza kama wewe hata mkiambiwa mara ngapi hamuwezi kuelewa chochote zaidi ya kuimba ..."katiba iliyopo haina tatizo lolote" kwa vile inawahakikishia CCM kubaki madarakani milele kwa kutumia mabavu!

Kilichobaki sasa ni kuwafurumusha vilaza wote kama wewe na wenzako huko CCM.
Hamponi safari hii!
 
Kuna matatizo ya Corona. Uganda shule zimefungwa miaka mitatu,watoto wanakaa nyumbani mpaka leo.
Kenya shule zilifungwa wasichana elfu tano wakapata mimba. Sasa tunabishana nini?
 
Kuna matatizo ya Corona. Uganda shule zimefungwa miaka mitatu,watoto wanakaa nyumbani mpaka leo.
Kenya shule zilifungwa wasichana elfu tano wakapata mimba. Sasa tunabishana nini?

Kumbe Corona ina miaka 3 tangu ianze?Labda kwa calendar ya huko Chato.
 
Hili ni swali kila mtanzania inabidi ajiulize.

Unakuwa na Rais anasema polisi waache kuonea watu, hapo hapo anasema ameruhusu mikutano ya ndani ila haya maagizo yake yanakaidiwa na watu ambao inabidi wamtii kama Amri Jeshi Mkuu.

Tunaona polisi wakiendelea kuzuia wanasiasa kufanya mikutano yao na kuwakamata hovyo hata wakiwa makanisani.

Leo Mbatia amesema walipozuiwa kufanya mikutano yao ya ndani, aliwauliza polisi nani amewatuma, akaambiwa kuwa ni maagizo kutoka juu.

Mbatia akasema akawapigia simu IGP na Simbachawene kuwauliza kuhusu nani kaagiza, wakamwambia kuwa hilo sio sawa na polisi wamekosea na hayo maagizo hayakutoka kwao.

Sasa yanayoka wapi? Kwa Rais? Rais ambae alishasema jukwaani kuwa waruhusiwe kufanya mikutano ya ndani? Je Rais ni mnafki?

Kama Rais sio mnfafki kuna kikundi cha watu kinachokaidi maagizo yake. Ninkikundi gani hili tusichokijua. Tundu Lissu na Zitto Kabwe walishadokeza mara kadhaa kuwa kuna watu kwenye "security na political establishment" hawataki mabadiliko, ni kina nani hawa wenye nguvu zaidi ya Rais?

Mi nilisikia sehemu kuwa Samia "sio Rais" na yupo pale kwa maonyesho tu, kufanya uzinduzi, kutoa hotuba nk, ila kuna watu nyuma ndio wanafanya maamuzi. Kama ni kweli ni kina nani hawa?

Hawa "watu" naskia wameenda mbali na kumpunguzia Samia mawasiliano na watu waliomuingiza madarakani. Rais sa hizi hana uhusiano na mawasiliano wa karibu na MaRais wastaafu na baadhi ya viongozi wa upinzani waliokuwa wakimshauri katika miezi ya mwanzoni.

Samia asikubaki kupelekeshwa, atambue kuwa yeye ni Rais na mamlaka yote ni yake. Kama alivyosema Zitto kwenye mahojiano na Star TV juzi, "hakuna Rais nusu".

Akilitambua hili, ataanza fanya maamuzi anayoyaamini yy sio yale wengine qanaotaka ayafanye. At the end of the day sisi wananchi tunajua ni YEYE ndio anasimamia ukandamizwaji huu sio watu hao nyuma. She needs fo protect her image. Kama anaona yamemshinda ajiuzulu.


Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Huyo now ni MC tu Nchi inaongozwa na wasiojulikana now jiwez regimen imetamalaki

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Mwandishi kasoma sheria ya vyama vingi na sheria ya polisi na wasaidizi wake kuhusu mikusanyiko inayolenga minajili ya kisiasa kwamba lazima wapate kibali wakieleza kikao chao kinalenga nini lakini kilichopo vikao vyao hao jamaa ni kusambaza chuki dhidi ya wananchi na serikali yao kuhusu madai ya katiba mpya kitu ambacho hakina haraka yoyote wala umuhimu wowote kwa sasa hakuna kikao ambacho hao jamaa kinacholenga maendeleo ya mwananchi kama barabara, huduma za maji,huduma za afya zaidi ya kujadili mambo yao binafsi ya siasa za upinzani kiukweli mkulima, machinga, mfanyakazi na wananchi kiujumla katiba iliyopo haina tatizo lolote kwao lakini hao jamaa wana mambo yao binafsi.
Wapumbaf bado mko wengi sana! zaidi ya Miaka 60 ya Uhuru bado mnaongea ujinga wa maji

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Kuna akili za wana wa uji na wavaa napi. Akitamka tuu Katba si kipaumbele, maana yake utawala wake na maafisa wote wajue suala linalo husu katiba yeye hataki .
Hayo tosha kuwa maelekezo.

Wanaume wako kazini wanatekeleza amri ya Mama Samia.
 
Back
Top Bottom