Anaitwa Antony KapolaNani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo?
Kwanini atulii kanisani kwake ?Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja.
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Unajua wito wake ulivyo?Kwanini atulii kanisani kwake ?
Waumini wake wanachungwa na nani?
Kwanini haubili mavazi?
Duuh sina hata 2% ya mafanikio yake. 🤣Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja.
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Ni tapeli m1 hivi mjini.Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo?
Wewe ni nani mpaka umpangie namna ya kueneza injili yake? Acha wivu mtoto wa kiume.Kwanini atulii kanisani kwake ?
Waumini wake wanachungwa na nani?
Kwanini haubili mavazi?
Kama mwalimu kama mwakasege sawa.Wewe ni nani mpaka umpangie namna ya kueneza injili yake? Acha wibu mtoto wa kiume.
Mwenzako jana amekuja na mada ya kijinga kama ya kwako. Kwani huyu kapola amepora bwana zenu?
Ndo mm nimeshangaa ...na mimiTony yuko vizuri ila niliamua kumpuuza baada ya kuona anapenda KISWANGLISH. Mahubiri yake ni kwa wenye hela na wasomi. Nimemweka kundi moja na kina Masanja. Pia kujiunga na tapeli wa Zimbabwe inapoteza imani kabisa. Haiwezekani uwe unapiga madili yaliyokaa kimafia halafu hapohapo uwe mchungaji.
Mbona Mwakasege hatuhoji.Kizazi cha nyoka kinapingana na injili ya kristo. Haha haha haha hahah hahah hahah halafu wanajiona wanauliza maswali ya hekima kumbe ni upumbavu machoni kwa Mungu.
Hahaha haha haha haha haha
Nani kampangia..?Wewe ni nani mpaka umpangie namna ya kueneza injili yake? Acha wibu mtoto wa kiume.
Mwenzako jana amekuja na mada ya kijinga kama ya kwako. Kwani huyu kapola amepora bwana zenu?
Acha wivu tafuta hela. Wamissionari walitoka huko mpaka huku kutafuta kondooKama mwalimu kama mwakasege sawa.
Ila kama mchungaji inabidi uache kuzurura ukae uchunge kanisa lako.
Watu wake wa morogoro wanachungwa na nani?
Anafuata Hela tu kutwa Dad,dodoma si aende njombe ,iringa ,ruvuma
Haya majibu haya hapa. Kapola anatii maagizoNani kampangia..?
Mnaulizwa maswali mepesi, mnaleta hisia, mnaishia kupanic