Nani anamfahamu mwenye namba hii 0769779533?

Nani anamfahamu mwenye namba hii 0769779533?

kama wewe ni mwanaume, kwa nini namba yako isajiliwe kwa jina la mwanamke? Acha kutuzingua, hapo ni mulika mwizi tu...
 
Umenipotezea mda wangu kusoma hii thread.
Aidha we ni mwizi au tabula rasa!
Tungetegemea ungekua ushaiblock line yako na kuswap upate line ingine yenye namba yako hiyo uendelee na maisha.
Ila inavyoonekana unapenda hiyo hali au labda unamtaka huyo mwanamke unaeongea nae ukipiga simu yako hiyo.
Acha kutuzingua!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habari,
Kuna mtu anatumia namba hiyo hapo juu, kila nikipiga hapokei, namba hii ilikuwa yangu iliibiwa pamoja na simu yangu yapata miezi 3 iliyopita cha ajabu tangu jana nikipiga inapatikana lakini mhusika hataki kupokea simu, nimfanyaje?

kama hilo ni fumbo jibu lake ni,.."mwenye namba ni wewe, na alienayo sasa hv ni mwizi.. Umfanyeje? UMKAMATE.. Over!
 
Jamani mbona unauliza swali la ajabu? Mwenye hiyo namba si ni wewe mwenyewe? Huyo anayeitumia sasa hivi ni mwizi tu!!! Kama kweli namba ni ya kwako baada ya line kuibiwa pamoja na simu ulichukua hatua gani? Je ulikuwa umeisajili hiyo namba? Kama kweli ni ya kwako just go and block it!!! Period!!! Jamani si kila kitu lazima kiletwe hapa JF!!!

Tiba

Mmmh, umejibu kwa jazba, anyways hope kakusoma)))
 
Signature yako inasomekaje?. Kuna wengine lazima tuishi katika hali hii ili nyie kina Slave muache kuendelea kuwa Slaves. Huwezi kujuwa kila kitu.

Wewe utakuwa nawe ni mwizi.jamaa zako wamekuzunguka 1 unasema line yako ulii pin swali kwanini uipin unaogopa nani na kwanini ui divert? 2 unasema wewe ni mwanaume wakati line yako ni ya mary auma je wewe ni mwanamke au mwanaume? Wewe mwambie ukweli mke wako hiyo line unajua kabisa ilipo kama kweli wewe sio mwizi kwanini huku swap ili uendelee kuwa hewani? Kwa nini tena una line zaidi ya moja tena za kampuni moja vodacom.
 
Jamani mbona unauliza swali la ajabu? Mwenye hiyo namba si ni wewe mwenyewe? Huyo anayeitumia sasa hivi ni mwizi tu!!! Kama kweli namba ni ya kwako baada ya line kuibiwa pamoja na simu ulichukua hatua gani? Je ulikuwa umeisajili hiyo namba? Kama kweli ni ya kwako just go and block it!!! Period!!! Jamani si kila kitu lazima kiletwe hapa JF!!!

Tiba

Hapa ni mahali tunasaidiana na si kila mtu anafahamu kila kitu.
 
bongo daresalamu hiyo, mara nyingi watu wanaoweka pin no ni matapeli, hasa anadaiwa au yupo na hawara anaogopa kupigiwa na mkewe. samehe tu bro! tengeneza line nyingine ya magendo
Kinachoshangaza hapa ni kuwa line hii (0769779533) wakati inapotea nilikuwa nimei-pin yaani mtu akiipiga itaaandika ''Call ended'' muda wote utaona kama sipatikani ila mimi naweza kukupigia, naweza kukutumia sms pia unaweza kunitumia sms pia (kama unajuwa), sasa namba ninayotumia sasa 0769****** wakati
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=5231113
 
Kweli nimeamini,bange za utotoni zinadumu kichwani hadi uzeeni.Mbona mimi simwelewi huyu mtu.Kwani shida yake nini?
Kama ni line,anazo za kutosha tu. Kama ni kupata simu yake iliyoibiwa,inaonekena is not his concern,kama ni kujua mmiliki ameishamjua. Halafu kama ni kublock,hakuna haja maana hata jina alilosajilia ni feki,so tabu iko wapi?

Wewe mtu unataka tukusaidie vipi sasa? Hebu jiweke wazi bwana,usihanye hanye.
 
MDADA: Unakunywa pombe?
MKAKA: Hapana
MDADA: Unavuta?
MKAKA: Hapana
MDADA: Una mademu?
MKAKA: Hapana MDADA: Sasa unajichanganyaje na washkaji?
MKAKA: Mi muongo ile mbaya

Sasa unaboa,kila mahali ni hii post,haya basi tumekuona kapumzike!
 
Habari,
Kuna mtu anatumia namba hiyo hapo juu, kila nikipiga hapokei, namba hii ilikuwa yangu iliibiwa pamoja na simu yangu yapata miezi 3 iliyopita cha ajabu tangu jana nikipiga inapatikana lakini mhusika hataki kupokea simu, nimfanyaje?
achana nae
 
Back
Top Bottom