Nani analihujumu Taifa? Tusipozinduka sasa...

Nani analihujumu Taifa? Tusipozinduka sasa...

Yericko Nyerere kajenga hoja zake, zinaweza kuwa sahihi au potofu
Hoja si nini au nani amesoma nini, hoja zake zipo wazi. Tafadhali zibomoe kwa hoja , zijibu kwa hoja
Ninachosema aluchoongea Yeriko katumia term ya ujasusi wa kiuchumi ana outdated knowledge !!!

Hicho alichoandika kwa elimu ya sasa kiko kwenye somo la marketing mfano mama Samia alifanya Marketing ya utalii wa ndani Royal Tour ile kwenye somo la Marketing Inaitwa Marketing Tanzania economy au advertising Tanzania economy kama nchi baada ya kufanya market research na kujua utumie strategy ipi uwe na competitive advantage

Haya maneno kama ujasusi wa kiuchumi ni maneno outdated ya documentary na novel na movie za enzi za cold war!!!
 
Ninachosema aluchoongea Yeriko katumia term ya ujasusi wa kiuchumi ana outdated knowledge !!!

Hicho alichoandika kwa elimu ya sasa kiko kwenye somo la marketing mfano mama Samia alifanya Marketing ya utalii wa ndani Royal Tour ile kwenye somo la Marketing Inaitwa Marketing Tanzania economy au advertising Tanzania economy kama nchi baada ya kufanya market research na kujua utumie strategy ipi uwe na competitive advantage

Haya maneno kama ujasusi wa kiuchumi ni maneno outdated ya documentary na novel na movie za enzi za cold war!!!
Sawa sawa sina tatizo na 'outdated info''. Nilichokisoma ni hoja zake

Je, katika hoja zake, wapi amekosea, wapi amepotosha, wapi amepatia !

Labda nikusaidie kidogo, katika hoja ya bandari ya Bagamoyo nini mtazamo wako?
 
Kama umeamua kuwa mchambuzi basi tumia SWOC katika kujadili kwako. Mijadala ya kuelezea weaknesses tu inakuwa biased. Ikiwa biased basi inakuexpose wewe Yeriko uonekane;
1. Unachambua kichadema
2. Unachambua kuuza kitabu chako.
Kuna strengths za Tanzania na kuna challenges.
Usiandike kama vile ni Taifa lilofeli au ambalo halijawahi kufanikiwa katika sera yoyote au kana kwamba hayo mataifa mengine hayajawahi kufeli mahali.
Tusaidie kuzibaini 'strength na Weakness' kutoka katika mada ya Yericko Nyerere
 
Hii story yako Wala sijaielewa,unapigia kampeni kitabu chako Cha "ujasusi"au unaeleza tatizo la kiuchumi la TZ na sababu zake?wewe hujawahi kuwa jasusi,hata ufahamu wako na masimulizi are like any normal next guy,ni yakawaida sana,sie tunaosoma novel za ujasusi kutoka kwa waandishi mahili duniani,wewe Bado ni bwana mdogo,
Fair enough!

Tunaomba upitie hoja zake moja baada ya nyingine uzibomoe kwa mantiki. Utatusaidia sana
 
Mkuu voicer naunga mkono hoja zako zote kasoro pale ulipoanza kumtaja Magufuli. Utanisamehe kwa hilo. Magufuli ndiye aliyekwamisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa kuwa tu mkataba umesainiwa na Kikwete na siyo kwa ubaya wa mkataba
Vema
Hapa ndipo tunapata swali, je, tuna sera za nchi au za watu?

Mradi kama wa Bagamoyo ni 'sera' ya nchi, iweje mtu aje na kuweka tu kama JK au kufuta kama JPM bila kuwasiliana na vyombo.

Je, tatizo ni nini, hawa watu waliopewa madaraka makubwa ya kufanya hivyo au mifumo mibaya inayowawezesha kufanya watakavyo?
 
Sawa sawa sina tatizo na 'outdated info''. Nilichokisoma ni hoja zake

Je, katika hoja zake, wapi amekosea, wapi amepotosha, wapi amepatia !

Labda nikusaidie kidogo, katika hoja ya bandari ya Bagamoyo nini mtazamo wako?
Mtazamo tu je pesa nyingi zitaenda nje kwa foreigners au zitabaki ndani?

Bagamoyo investor mchina,na mjenzi wa project mchina ,architect mchina,Project Manager mchina ,Mwendesha mradi mchina.Mradi gani huo usio na segregation of duties? Akikuzidishia cost mara elfu moja utambishiaje? Halafu anakwambia nitaendesha Mia elfu moja ku recover cost zangu wewe uko wapi kwenye huo mradi?
Mradi hopeless sana huo
 
Mtazamo tu je pesa nyingi zitaenda nje kwa foreigners au zitabaki ndani?

Bagamoyo investor mchina,na mjenzi wa project mchina ,architect mchina,Project Manager mchina ,Mwendesha mradi mchina.Mradi gani huo usio na segregation of duties? Akikuzidishia cost mara elfu moja utambishiaje? Halafu anakwambia nitaendesha Mia elfu moja ku recover cost zangu wewe uko wapi kwenye huo mradi?
Mradi hopeless sana huo
Naona unajibu kimhemko zaidi..
Walisema wataendesha mradi miaka elfu?
 
Mtazamo tu je pesa nyingi zitaenda nje kwa foreigners au zitabaki ndani?

Bagamoyo investor mchina,na mjenzi wa project mchina ,architect mchina,Project Manager mchina ,Mwendesha mradi mchina.Mradi gani huo usio na segregation of duties? Akikuzidishia cost mara elfu moja utambishiaje? Halafu anakwambia nitaendesha Mia elfu moja ku recover cost zangu wewe uko wapi kwenye huo mradi?
Mradi hopeless sana huo
Serikali ya CCM ya JK na JPM kama waziri tena wa ujenzi ilisaini !
Je, hawakutumia wataalam kubaini mapungufu?
Je, kulikuwa na grand corruption?

Je, Yericko Nyerere anaposema mifumo yetu ya ''ujasusi' haipo sawa anakosea wapi?
Je, vyombo vya ulinzi kama TISS vilikuwa na wajibu gani? Kama havihusiki nani aliwajibika?
Kwanini mkataba haukupekekwa Bungeni kujadiliwa kwa mradi mkubwa kama ule?
 
Je!
Mleta bandiko amewahi kuisaidia nini Chadema kiushauri kama jasusi na kada mtiifu.

Mbona anawaacha viongozi wake wakifoka foka majukwaani bila sera zaidi ya Piiipoooziii!

Hatuwaoni wakisimama kidete kuipinga CCM kwa hoja na sera.

Badala yake ni kudandia matukio kila uchao na kujadili watu binafsi huku wakiwaombea vifo opponents wao!
Mkuu voicer! Labda tuzungumzie kuhusu mada ya mtoa hoja na siyo itikadi yake ya chama, kama watanzania ni nini kinachotukwamisha na kuturudisha nyuma kimaendeleo?
Nani anatukwamisha kwasababu hatua za maendeleo ni chache ukilinganisha na rasilimali tulizonazo. Tuna mikakati gani ya kukuza uchumi wetu, huko nje tunatambulikaje, wawakilishi wetu wanaitangazaje nchi yetu. Tujikite hapa na tuachane na uchadema na uccm.
 
Vema
Hapa ndipo tunapata swali, je, tuna sera za nchi au za watu?

Mradi kama wa Bagamoyo ni 'sera' ya nchi, iweje mtu aje na kuweka tu kama JK au kufuta kama JPM bila kuwasiliana na vyombo.

Je, tatizo ni nini, hawa watu waliopewa madaraka makubwa ya kufanya hivyo au mifumo mibaya inayowawezesha kufanya watakavyo?
Mtazamo tu je pesa nyingi zitaenda nje kwa foreigners au zitabaki ndani?

Bagamoyo investor mchina,na mjenzi wa project mchina ,architect mchina,Project Manager mchina ,Mwendesha mradi mchina.Mradi gani huo usio na segregation of duties? Akikuzidishia cost mara elfu moja utambishiaje? Halafu anakwambia nitaendesha Mia elfu moja ku recover cost zangu wewe uko wapi kwenye huo mradi?
Mradi hopeless sana huo
Kuna bandiko la ndugu Chige humu niliwahi kupitia nikaona lina udadavuzi ambao ni objective na linaelimisha vizuri juu ya hili suala la Bandari ya Bagamoyo..
 
Kuna bandiko la ndugu Chige humu niliwahi kupitia nikaona lina udadavuzi ambao ni objective na linaelimisha vizuri juu ya hili suala la Bandari ya Bagamoyo..
YEHODAYA nadhani utakuwa umepitia hoja nyingine za Chige

Nilishangaa sana Rais JPM akizusha uongo kuhusu Bandari ya Bagamoyo! ironically kuna madudu ya Airport ya Chato, anyways hiyo ni mada nyingine tusitoke huko.
 
Vema
Hapa ndipo tunapata swali, je, tuna sera za nchi au za watu?

Mradi kama wa Bagamoyo ni 'sera' ya nchi, iweje mtu aje na kuweka tu kama JK au kufuta kama JPM bila kuwasiliana na vyombo.

Je, tatizo ni nini, hawa watu waliopewa madaraka makubwa ya kufanya hivyo au mifumo mibaya inayowawezesha kufanya watakavyo?
Nisipokosea kwenye enzi za BWM iliandikwa Blue Print inayoitwa Tanzania Busion 2025. Ambayo ni mpango kazi wa maendeleo wa wa muda mrefu. Ukihusisha miundombinu hani ijengwe, kilimo kifanyike vipi, wlimu iendeshweje nk
 
Nisipokosea kwenye enzi za BWM iliandikwa Blue Print inayoitwa Tanzania Busion 2025. Ambayo ni mpango kazi wa maendeleo wa wa muda mrefu. Ukihusisha miundombinu hani ijengwe, kilimo kifanyike vipi, wlimu iendeshweje nk

Hapo ndipo hoja ya Yericko Nyerere inapopata nguvu, kwamba, lazima tuwe na mikakati na tujue tunafanya nini na kwasababu gani!

Hatuwezi kuishi kwa hisia tu kama ilivyotokea Bandari ya Bagamoyo ambayo JPM aliikataa kwa chuki na kuzusha uongo(rejea bandiko la Chige)
Kinyume chake tukatumia mabilioni kujenaga uwanja wa Chato usio na tija kiuchumi

Tukisema tunajenga viwandatuanishe tunajenga viwanda gani na kwasababu gani.

Tunaweza kujenga kiwanda cha Mawese Kigoma kikawa na tija kuliko ''viwanda 3000 vya cherehani' kama ilivyokuwa kwa JPM

Tukijenga kiwanda cha Magunia Morogoro lazima tujue mshindani wetu ni yupi na tunashindania soko gani.

Tanzania tumelala sana, kwa ardhi tuliyo nayo sisi tungekuwa Giant ndani ya EA na SADC

Tatizo letu ni kuendekeza siasa tu bila tija.
Tazama Kenya wanavyochangamkia fursa huko Bangui na Kinshasa. Tazama Uganda n.k.

Lazima tuwe na mikakati na vitengo pamoja na sera
Ni wakati tufumue mfumo wetu tusuke upya-Katiba

Hii ya mwaka 1977 ndiyo inatupa Marais wawili wasiojua nani kafanya nini, Bagamoyo ya JK na JPM tena wote wakiwa katika baraza moja.

Ni katiba isiyojenga mifumo ya nchi na taasisi zake bali mifumo ya watawala.

Tunatumia muda mwingi kufikiria vitu visivyo na maana. Taasisi zinakimbizana na vijana waliovaa sare za katiba mpya badala ya kutumia muda kufikiria fursa zilizopo DRC

Kuna kamati imeundwa kuangalia watu wanafanyaje mikutano utadhani hilo ni tatizo kubwa sana. Hakuna kamati ya kufikiria tunaendelezaje kilimo cha Mpunga Mbarali!

Hakuna kamati inayotazama kwanini hatuna kiwanda kama Tanganyika packers ikiwa tuna ng'ombe.

Kuna kamati inayotoa maoni ya katiba mpya wakati Tume ya Warioba ina majibu kutoka kwa wananchi miaka 12 iliyopita . Kwanini hakuna kamati ya kutazama ni vipi irrigation schemes zinaweza kutusaidia. Ni vipi tunaweza kutumia umeme wa upepo au jua.
 
Yericko Nyerere.

Kazi yenu kubwa chadema ni kusifia nchi jirani bila Tafakuri.
Mkiamini katika nyinyi pekee kuyaona maono hayo.

Na kudharau wasio upamde wenu ki itikadi.

Umeisifia sana Msumbiji ya Philipo Nyusi iliyojaza majasusi Dunia nzima ila imeshindwa kupigana na kundi la Islamic state walioivamia na kulikalia jimbo la Cabo Delgado.

Nchi yenye majasusi Duniani kote ila imeshindwa kulinda uwekezaji mkubwa wa uchimbaji gesi uliowekezwa nchini kwake.

Nchi yenye majasusi kote duniani lakini imepigwa na magaidi hadi ikaomba msaada wa nchi ndogo ya Rwanda ili kujiokoa.

Umeisifia Rwanda kwa kujenga kiwanda cha uchenjuaji madini wakati haina madini yoyote ardhini kwake.

Ila hukutaka kuutumia ujasusi wako kueleza kwamba kiini cha machafuko nchini Congo DRC.

Ni kwa sababu Rwanda inatumika na mataifa makubwa ya nje ili kupora madini ya Congo DRC!.

Umeshindwa kutumia ujasusi wako kutueleza kiini cha majeshi ya kulinda amani nchini Congo DRC (Monusco).

Yamekuwa yakijiingiza kwenye utoroshaji wa madini ya nchi hiyo kwa miongo kadhaa,badala ya kutimiza wajibu wao uliowapeleka huko.

Pia umesifia majasusi wa Kagame walivyojaa Dunia nzima.
Lakini hukutwambia jinsi anavyowatumia kuwaua political opponents wake pamoja na kuwateka popote pale Duniani.

Huku hao mabingwa wa Demokrasia wa Dunia wakikaa kimya.
Sababu ya kutotaka kumuudhi mtoto wao Kagame anayewasaidia kuiba raslimali za Congo DRC!

Umeisifia Uganda kwa uwekezaji mkubwa ilioufanya kwa kuanza kutengeneza magari yenye teknolojia ya Solar nk.

Lakini umesahau kutuambia ni kwa nini waganda hao hao wanavyomkataa museveni kwa ukiukaji mkubwa wa Demokrasia nchini mwake huku mataifa hayo makubwa yakifumbia macho.

Tofauti na wanavyotupigia kelele sisi Tanzania kwa mambo ambayo kimsingi ni madogo kabisa kulinganisha na kinachotokea Rwanda na Uganda.

Umesifia Kenya kwa kuikaribisha Microsoft kuwekeza nchini humo,lakini hujatuwekea mfano hata mmoja wa faida ilizozipata Kenya kwa kuwa mnufaika mkuu wa uwekezaji huo.

Umesifia uwekezaji uliokuwa umepangwa wa Bandari ya Bagamoyo na ukasitishwa na Magufuli kwa sababu ambazo umeziita za kipuuzi.

Sasa ebu tumia Ujasusi wako mkubwa kwa sasa na umshawishi mama Samia aulete Bungeni huo mkataba ujadiliwe kipengele kwa kipengele na ikibidi wananchi tuupigie kura kabla ya kuingizwa mkenge kama tulivyofanywa kwenye Gesi na Mafuta.

Niishie kukupa taarifa kwamba,hata Magufuli aliona mbali kuhusu madini yetu na ndio maana aliamua kujenga masoko ya madini nchi nzima nahivyo kuondoa urasimu katika sekta ya wachimbaji wadogo wadogo wamadini..

Ili wananchi wauze madini kwa kulipa kodi halali na kwa bei halali ya Soko huku akiondoa utoroshaji wa madini kwenda nchi kama Rwanda na Kenya uliokuwa umekithiri.
Kwa kupitia walanguzi haramu wa Madini nchini kwa ushirika na mtandao wa nje.

Pia Magufuli aliona mbali kwa kuanza kujenga hizo refineries sehemu mbalimbali nchini na baadhi tayari zinafanya kazi.
Ikiwemo mojawapo kubwa iliyoko mwanza na inachenjuwa dhahabu kwa kwenda mbele.

Pia umesahau kutumia ujasusi wako kutufahamisha kwamba Angola inafanyauwekezaji mkubwa.

Katika jimbo la Cabinda kwa kutumia bandari ya Lobito,wanajenga reli ya kisasa ambayo itakuja mpaka kusini mwa Congo DRC.

commonmwananchi
10101.
Umembana jasusi pumbu zake awezi kuanalyse maswal hayo

Mm mwenye nilivyo fika kutaja msumbiji kuisifia eti Ina majasusi duniani kote nilichoka na rwanda pia kutumia rasilimali za Kongo kuendesha nchi jasusi hakusema Hayo badala yake aliona rwnda inamajasusi wa kimkakati na kwamba rwanda Ni kanchi amabcho kinaendeshwa kiujanja ujanja tu hakana jipya

Kimsingi tusitishwe na hiz prapaganada za kututisha kuwa tuna hujumiwa
Bandari ya bgmy ilitaka kuleta ukoloni mwa wachina Hapa
Na jasuus anadanga kuwa eti itakuwa kitovu Cha dunia na kwamba dubai itasubiri siyo kweli kbsa
 
Bagamoyo ingekuwa Dubai ya Afrika!?.....uliuona huo mkataba !? JPM aliusoma (aliusoma kweli na akaufafanua)... Kweli ujasusi unahitajika.. Huezi fanya uwekezaji wavviwanda kama hauna UMEME wa uhakika na wa kutosha... Ni kweli majeshi yetu yangeekeza kwenye kulima kisasa kwenye mabonde makubwa ya Tanzania - chakula ndio uchumi / vita ya kweli inayoenda kukabili Africa na dunia kwa sasa... Tukiwa na chakula cha kutosha basi tutakuwa tunaweza kutawala kupitia chakula ...UMEME WA BWAWA LA JKN ndio ukombozi wa kweli - majasusi waanzie hapa
 
Kipindi nikiwa secondary nilisoma kitabu cha John Perkins kinaitwa economic hit man

Kwenye hicho kitabu kumejaribu kueleza naman mataifa yalio endelea yanatumia mikopo na ushawishi wao kwenya makundi mbalimbali kutawala mataifa yanayoendelea

Hapa kimea jaribu kueleza nchi kama marekani, china inavyo tumia majasusi wao (ambao ni wachumi) kufanya ushawishi kwa viongozi wa hinzi nchi za dunia ya tatu kuchukua mikopo ambayo hailipiki ili hizo nchi ziwe china ya utawala wa hayo mataifa


Angalia nchi kama uganda hapa wamesha chukua airport, huko malawi sijui zambia sina haja ya kuongea.

Kitu nichacho tuhujimu ni kukosa TISS ambayo in multipurpose, Angalia kwenye kamati ya kumshauri raisi mambo ya uchumi TISS yupo mmoja. Mambo ya kiuchumi TISS hawachukulii seriously sana wamejaza ma agent wao kwenye ma benk lkn mm naona haina maana sana.

kila siku tunaandika barua sa kuomba misaada, tunapokea mikopo mipya kila kukicha .

Mm nawaambieni tusipo kuwa makini ile bandari ya dar, airport au mbomba ya gesi vitakuja kuchukuliwa na hawa DONOR'S COUNTRY BY 2040

Asante sana kwa nakala ya kitabu.
Ukimkuta mwandishi huyu anaipamba Urusi na kufurahia mauwaji ya innocent people ndio utaujuwa undumilakuwili wa Watanzania.
Lakini kitendo cha waukraine walioua raia wenzao kwa zaidi ya miaka saba na kisha kuwazuia raia wenzao kwa kuwapiga risasi na kuwachora alama za swastika tumboni kwa kutumia kisu cha moto tena wanafanya hivyo kwa akina mama waliokuwa wanajaribu kukimbia asipatwe na madhara ya operation ya kijeshi na wengine tu kuzungumza kirrusia hilo sitatizo kwako.

Uache uoga akuna atakayekunyang'anya green kadi yako ama lotary card!
 
Yericko Nyerere.

Kazi yenu kubwa chadema ni kusifia nchi jirani bila Tafakuri.
Mkiamini katika nyinyi pekee kuyaona maono hayo.

Na kudharau wasio upamde wenu ki itikadi.

Umeisifia sana Msumbiji ya Philipo Nyusi iliyojaza majasusi Dunia nzima ila imeshindwa kupigana na kundi la Islamic state walioivamia na kulikalia jimbo la Cabo Delgado.

Nchi yenye majasusi Duniani kote ila imeshindwa kulinda uwekezaji mkubwa wa uchimbaji gesi uliowekezwa nchini kwake.

Nchi yenye majasusi kote duniani lakini imepigwa na magaidi hadi ikaomba msaada wa nchi ndogo ya Rwanda ili kujiokoa.

Umeisifia Rwanda kwa kujenga kiwanda cha uchenjuaji madini wakati haina madini yoyote ardhini kwake.

Ila hukutaka kuutumia ujasusi wako kueleza kwamba kiini cha machafuko nchini Congo DRC.

Ni kwa sababu Rwanda inatumika na mataifa makubwa ya nje ili kupora madini ya Congo DRC!.

Umeshindwa kutumia ujasusi wako kutueleza kiini cha majeshi ya kulinda amani nchini Congo DRC (Monusco).

Yamekuwa yakijiingiza kwenye utoroshaji wa madini ya nchi hiyo kwa miongo kadhaa,badala ya kutimiza wajibu wao uliowapeleka huko.

Pia umesifia majasusi wa Kagame walivyojaa Dunia nzima.
Lakini hukutwambia jinsi anavyowatumia kuwaua political opponents wake pamoja na kuwateka popote pale Duniani.

Huku hao mabingwa wa Demokrasia wa Dunia wakikaa kimya.
Sababu ya kutotaka kumuudhi mtoto wao Kagame anayewasaidia kuiba raslimali za Congo DRC!

Umeisifia Uganda kwa uwekezaji mkubwa ilioufanya kwa kuanza kutengeneza magari yenye teknolojia ya Solar nk.

Lakini umesahau kutuambia ni kwa nini waganda hao hao wanavyomkataa museveni kwa ukiukaji mkubwa wa Demokrasia nchini mwake huku mataifa hayo makubwa yakifumbia macho.

Tofauti na wanavyotupigia kelele sisi Tanzania kwa mambo ambayo kimsingi ni madogo kabisa kulinganisha na kinachotokea Rwanda na Uganda.

Umesifia Kenya kwa kuikaribisha Microsoft kuwekeza nchini humo,lakini hujatuwekea mfano hata mmoja wa faida ilizozipata Kenya kwa kuwa mnufaika mkuu wa uwekezaji huo.

Umesifia uwekezaji uliokuwa umepangwa wa Bandari ya Bagamoyo na ukasitishwa na Magufuli kwa sababu ambazo umeziita za kipuuzi.

Sasa ebu tumia Ujasusi wako mkubwa kwa sasa na umshawishi mama Samia aulete Bungeni huo mkataba ujadiliwe kipengele kwa kipengele na ikibidi wananchi tuupigie kura kabla ya kuingizwa mkenge kama tulivyofanywa kwenye Gesi na Mafuta.

Niishie kukupa taarifa kwamba,hata Magufuli aliona mbali kuhusu madini yetu na ndio maana aliamua kujenga masoko ya madini nchi nzima nahivyo kuondoa urasimu katika sekta ya wachimbaji wadogo wadogo wamadini..

Ili wananchi wauze madini kwa kulipa kodi halali na kwa bei halali ya Soko huku akiondoa utoroshaji wa madini kwenda nchi kama Rwanda na Kenya uliokuwa umekithiri.
Kwa kupitia walanguzi haramu wa Madini nchini kwa ushirika na mtandao wa nje.

Pia Magufuli aliona mbali kwa kuanza kujenga hizo refineries sehemu mbalimbali nchini na baadhi tayari zinafanya kazi.
Ikiwemo mojawapo kubwa iliyoko mwanza na inachenjuwa dhahabu kwa kwenda mbele.

Pia umesahau kutumia ujasusi wako kutufahamisha kwamba Angola inafanyauwekezaji mkubwa.

Katika jimbo la Cabinda kwa kutumia bandari ya Lobito,wanajenga reli ya kisasa ambayo itakuja mpaka kusini mwa Congo DRC.

commonmwananchi
10101.

Nchi hii haijapungukiwa na Akili Kubwa na Wazalendo ila wanafifishwa kulinda wale wa mbereko. Voicer wewe ni Akili kubwa.
 
Hatuwezi kwenda kama headless chicken kwa kuangalia nchi jirani inafanya au imefanya nini. Sasa kazi ya akili zetu ni nini? Inaonekana Yeriko katumwa tu kuutetea mradi wa Bandari ya Bagamoyo. Sijui kama amelipwa au hajalipwa.
Ujenzi wa kimkakati wa SGR, JNHPP, uanzishwaji wa sheria za kulinda rasilimali zetu, uanzishwaji wa masoko ya madini katika maeneo yanapotoka, kurejewa kwa mikataba ya madini na makubwa makubwa yalikuwa baadhi ya hatua mihimu zilizoanzishwa na serikali ya Tanzania ili nchi ipige hatua bila kukopi kutoka kwa jirani.
Lakini kina Yeriko na wenzake wengi walifikiwa bei na kuamua kupinga kila hatua kisa tu mikutano ya kisiasa ilikatazwa.
Basi SIASA ina NGUVU kama alivyosema mwenyewe.
 
Back
Top Bottom