NANI ANAKUMBUKUMBU KWAMBA HUKU NDO TULIKOTOKA

TLAWI AKONAAY

Senior Member
Sep 16, 2016
110
62
nilipoona hii picha nilikumbuka mbali sana. tulipokuwa wadogo mamangu alikuwa anasaga unga kwa kutumia jiwe kama inavyoonekana katika hii picha.ndo tupate uji, na ugali. mama apewe heshima ake.mungu akubariki kwa kunikuza kwa nguvu zako mama.
1485657212312.jpg
 
Mkuu unasema "HUKU NDO TULIKOTOKA"? Hayo bado ni maisha HALISI ya watanzania wengi tu kwa taarifa yako.
 
nilipoona hii picha nilikumbuka mbali sana. tulipokuwa wadogo mamangu alikuwa anasaga unga kwa kutumia jiwe kama inavyoonekana katika hii picha.ndo tupate uji, na ugali. mama apewe heshima ake.mungu akubariki kwa kunikuza kwa nguvu zako mama.
Na hii ndio ilikuwa njia salama kwa matumizi ya kuandaa chakula kwa binadamu
 
Mkuu bibi yangu alikuwa anatumia kusagai kahawa,dawa za kienyeji na
Vitu vingi tu.Mpaka leo inatumika.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom