Nani anakosa uhondo?

Nani anakosa uhondo?

Ya sheikh ipo juu sana, maana ktmt ina close substitute.
 
tena sheikh anafaidi zaidi kwani anaweza kuwa na hata wa4
 
Teh... Teh... Teh!.. Yaani Shekhe anamsubstitute mkewe na nyama ya NGURUWE???... This's xo funny!...
 
Padri na shekhe walikutana kwenye ndege, Padri akamkaribisha shekhe kitimoto,shekhe akasema si hatulagi, padri akasema mnakosa uhondo.
Wakati wa kushuka shekhe akamwambia padri msalimie mke wako,padri akajibu sisi hatuoi, shekhe akasema mnakosa uhondo. Je kati ya shekhe na padri nani anakosa uhondo?

Hapo kwenye NYEKUNDU hivi kweli hivi vitu unavyovilinganisha mbona wala havifanani hata kidogo. kingine ni chakula na kingine si chakula, havifanani kwa hiyo havina sifa ya kulinganishwa.
 
Maamuzi tu, wakitaka hakuna anayekosa uhondo. Hivyo vitu vinapatikana nje ya Msikiti na Kanisa.
 

Hapo kwenye NYEKUNDU hivi kweli hivi vitu unavyovilinganisha mbona wala havifanani hata kidogo. kingine ni chakula na kingine si chakula, havifanani kwa hiyo havina sifa ya kulinganishwa.

Vyote ni vitamu ndo maana vinalinganishwa na shekhe anapata kimoja na kukosa kingine halikadhalika kwa padri.
 
tena sheikh anafaidi zaidi kwani anaweza kuwa na hata wa4

wanne tu, Padri analamba masister wote walioko parokiani, hata kama wako mia. anawapa zamu tu kwa pretext ya kuwa mafungoni nje na mapokia.
 

Hapo kwenye NYEKUNDU hivi kweli hivi vitu unavyovilinganisha mbona wala havifanani hata kidogo. kingine ni chakula na kingine si chakula, havifanani kwa hiyo havina sifa ya kulinganishwa.
mkuuu mbona vyote ni vyakula mkuu!
 
Back
Top Bottom