Nani anakagua mitaala ya Uhandisi Vyuo Vikuu?

Nani anakagua mitaala ya Uhandisi Vyuo Vikuu?

nina ushahidi asilimia 100 nimewahi kufika hadi chuoni pale kibamba na vipeperushi vyao walinipa nilikua namuhangaikia mdogo wangu
Mdogo alisoma hkl??? Je aliipata hiyo nafasi pale??? Je ulifanya hata research ndogo kuwauliza wanafunzi wa pale kama kuna ambaye amesoma hizo kumbinesheni? Au wewe uliwahi soma pale kwa hizo combination???
St joseph wana matawi mengi lile la dsm likiwa ndio tawi kuu whatif walikuwa wakitangaza matawi mengine ambayo yanahitaji hao watu mfano tawi la iringa, mwenge, arusha?????
 
India wanazalisha wahandisi twice ya idadi ya china na USA kwa mwaka ila only 20% ndo huwa wanasatsify the job market requirements Na sisi tunaelekea huko tusipo kuwa makin wanaojiajir pia bado ni kiduchu
 
sio
st.joseph hata kama umesoma HKL unaweza kusoma course yoyote Engineering.. sijui wanatumia kogezo gani hawa jamaa..

si kweli bhana mi nasoma st joseph na cheti changu cha advance nina div 2 d flat,o level div 1,,,na nimepitia central admission ya tcu,,engineering hapa 90+ tunapitia central system ya tcu na weng wanakuwa na qualification lakin inaweza by anyway ikawa ndogo kuliko quali...inahitajika udsm..... the problem ni kwamba wahindi wanapenda hela so wanaofanya direct/hand application wanapokelewa hata wakiwa na qualifications ndogo(business)...

About topic husika ni kwamba sasa vyuo sasa zinaona kuanza vyuo mpaka kugraduate ni kawaida tu kwa hiyo wameacha kukazia baadhi ya instincts,kwa mfano mkazo kwenye mini-projects, projects,research,practical works na lab.... na pia bodi za elimu ya juu,ERB nao sasa hawafuatilii kwa umakini kuhusu ufundishwaji,mitaala na projects za kozi za engineering....kwa msingi huu tutazalisha maengineer wa jina tu huku wakina hawana ujuzi wowote au Engineers ambao hata hawawezi kufundishika kirahisi makazini....
 
sio


si kweli bhana mi nasoma st joseph na cheti changu cha advance nina div 2 d flat,o level div 1,,,na nimepitia central admission ya tcu,,engineering hapa 90+ tunapitia central system ya tcu na weng wanakuwa na qualification lakin inaweza by anyway ikawa ndogo kuliko quali...inahitajika udsm..... the problem ni kwamba wahindi wanapenda hela so wanaofanya direct/hand application wanapokelewa hata wakiwa na qualifications ndogo(business)...

About topic husika ni kwamba sasa vyuo sasa zinaona kuanza vyuo mpaka kugraduate ni kawaida tu kwa hiyo wameacha kukazia baadhi ya instincts,kwa mfano mkazo kwenye mini-projects, projects,research,practical works na lab.... na pia bodi za elimu ya juu,ERB nao sasa hawafuatilii kwa umakini kuhusu ufundishwaji,mitaala na projects za kozi za engineering....kwa msingi huu tutazalisha maengineer wa jina tu huku wakina hawana ujuzi wowote au Engineers ambao hata hawawezi kufundishika kirahisi makazini....
Thanks atleast umeongea kitu ambacho ni researched
 
sio


si kweli bhana mi nasoma st joseph na cheti changu cha advance nina div 2 d flat,o level div 1,,,na nimepitia central admission ya tcu,,engineering hapa 90+ tunapitia central system ya tcu na weng wanakuwa na qualification lakin inaweza by anyway ikawa ndogo kuliko quali...inahitajika udsm..... the problem ni kwamba wahindi wanapenda hela so wanaofanya direct/hand application wanapokelewa hata wakiwa na qualifications ndogo(business)...

About topic husika ni kwamba sasa vyuo sasa zinaona kuanza vyuo mpaka kugraduate ni kawaida tu kwa hiyo wameacha kukazia baadhi ya instincts,kwa mfano mkazo kwenye mini-projects, projects,research,practical works na lab.... na pia bodi za elimu ya juu,ERB nao sasa hawafuatilii kwa umakini kuhusu ufundishwaji,mitaala na projects za kozi za engineering....kwa msingi huu tutazalisha maengineer wa jina tu huku wakina hawana ujuzi wowote au Engineers ambao hata hawawezi kufundishika kirahisi makazini....
Tnx mkuu, lakin tukubali au tukatae hichi chuo cha st. Joseph kwa kiasi kikubwa kinachangia kushusha kiwango cha elimu nchini, na kwa kakutolea mfano tu ni kwamba wanatoa kozi ya uhandisi wa kilimo lakini bodi ya wahandisi haiwatambui hawa wanafunzi kama wahandisi to be! (Rejea kisanga cha Kampala uni. na bodi ya wafamasia)
 
Tnx mkuu, lakin tukubali au tukatae hichi chuo cha st. Joseph kwa kiasi kikubwa kinachangia kushusha kiwango cha elimu nchini, na kwa kakutolea mfano tu ni kwamba wanatoa kozi ya uhandisi wa kilimo lakini bodi ya wahandisi haiwatambui hawa wanafunzi kama wahandisi to be! (Rejea kisanga cha Kampala uni. na bodi ya wafamasia)

Really? mbona sijawah kusikia wanamgogoro na Bodi?
 
Really? mbona sijawah kusikia wanamgogoro na Bodi?
Mwaka huu ndio watatoa batch ya kwanza ya hao wahandisi wa kilimo mkuu, lakini ishatambulika wazi kua bodi haiwajui. ..
Na sio hivyo tu ukifanya interview na hao wahitimu to be utajua kua st. Joseph ni jipu uchungu
 
Back
Top Bottom