Nani anakagua mitaala ya Uhandisi Vyuo Vikuu?

Nani anakagua mitaala ya Uhandisi Vyuo Vikuu?

Serikali iongeze miaka ya kozi zote za engineering kuwa 6 kutoka 4.. haiwezekani tuwe na engineers wengi hadi wanafanya kazi.za technicians.. sasa ivi hakuna tofauti kabisa kati ya technician na engineer..
sidhani, miaka wanayosoma ni mingi sana sasa hivi, mi naona engineering ingeanza straight baada ya mtu kumaliza form 4 na iwe ya vitendo vingi, elimu yetu naona mtu anazunguka hadi form 6 halafu haisaidii aisee
 
Basically ukisoma Engineering husomi technology, unasoma the science behind it. Mfano thermodynamics ni ile ile duniani kote, unavyoitumia kufanya modern air conditioning hapo ndio vyuo/ nchi wanatofautiana ( state of the art laboratories). So kwa mhitimu wa Bongo anachokosa ni hicho tu. Huyu akipata mafunzo ya vitendo atakua sawa na Engineer wa nchi yoyote ile.
kweli bro nakubaliana na wewe, niliposema mtaala nilimaanisha package yote hadi kwenye vitendo na vifaa tunavyotumia kwenye vitendo, mimi nimesoma advanced physics lakini nikaona hakuna future kwenye hii mambo kutokana na maabara zetu zilivyo ukilinganisha na mabadiliko yanayotokea duniani...
 
Usha enda huko unakosifia ukajua wanasoma nini. Usilopoke tu bila ya kufanya research. Pengine kwa ushauri tu 90% ya graduate engineer huwa wanapataka kaz. Job market yao huwezi linganisha na mtu alie soma political science au socialigy

Tuliza mihemko na uandike vizuri utaeleweka mkuu. Hazungumzii mtu kupata kazi ila suala la competence pamoja na ubunifu. Kwa idadi ya ma engineer tulionao mpaka sasa tulipaswa tuwe tunaunda bidhaa nyingi .
 
Tuliza mihemko na uandike vizuri utaeleweka mkuu. Hazungumzii mtu kupata kazi ila suala la competence pamoja na ubunifu. Kwa idadi ya ma engineer tulionao mpaka sasa tulipaswa tuwe tunaunda bidhaa nyingi .
sisi tunajadiliana vitu namna ya kuifanya elimu yetu iwe na tija kwa wahitimu na kwa taifa mtu analeta ushabiki wa kulinganisha kozi....duh
 
Tuliza mihemko na uandike vizuri utaeleweka mkuu. Hazungumzii mtu kupata kazi ila suala la competence pamoja na ubunifu. Kwa idadi ya ma engineer tulionao mpaka sasa tulipaswa tuwe tunaunda bidhaa nyingi .
Mkuu swala la kuunda bidha linawezekana kabisa. Lakin nchi yetu kipoumbele sio elimu kwani swala la kufanya research kubwa serikali haigharamii chochote. Na kumbuka watoto wengi wanatoka katika familia za kawaida sana. Usha jiuliza kwenye bajeti yetu ni kiasi gani cha hela hutengwa kwa ajili ya kufanya utafiti?. Kama umesona mwanzo nime andika clear kabisa kuhusu umuhimu wa kufanya research kwa ma engineer na wanasayansu. Kwa staili hii ya kusubili misaada ya research toka kwa wahisan tutasubili sana. Kwanza huyo mtu anayekupa huo msaada anatafuta sehemu ya kuuzia bidhaa yake we unaxani atakupa kiwango cha pesa cha kutosha kukamilisha mambo yako?.
 
sisi tunajadiliana vitu namna ya kuifanya elimu yetu iwe na tija kwa wahitimu na kwa taifa mtu analeta ushabiki wa kulinganisha kozi....duh
Umepanic bro! Hakuna ushabiki ni fact tu
 
Naombeni kufahamishwa nani anakagua mitaala na mitihani ya vyuo vikuu especially engineering. Nimeamua kuuliza hivi kwasababu vimekuwepo vyuo vingi vinavyotoa engineering courses lakin wamekuwa na mitaala mibovu ambayo inawafanya ma engineer wetu wasiwe wabunifu na wasiweze kushindana sokoni.
Mfano kuna vyuo vinatoa computer engineering lakini wanafunzi wake mwaka wa tatu hawajui ata kutengeneza straight through ethernet cable...seriously?
mwingne wa electronics engineering same year kashindwa ata kusoma uwezo wa capacitor??? haaah
Ombi langu;
1: wanafunzi wa engineering wataftiwe field kama ilivyo madoctor wakafanyie field taaluma zao na sio kutumia tu pesa za loan bila kutoa jasho
2: Mitaala ya elimu ya vyuo vyote iwe upgraded kila mwaka kwa course zote ili iendane na ukuaji wa technolojia...naomba apa waweke mtaala mmoja kwa wote, sio kama ilivyo sasa kila chuo kinajifundishia.
3: Wanafunz wapige project mbili..mini project mwaka wa tatu na final project mwaka wa nne.
unatakiwa kupatiwa tuzo kwa hilo nakupa pongezi.
 
Naombeni kufahamishwa nani anakagua mitaala na mitihani ya vyuo vikuu especially engineering. Nimeamua kuuliza hivi kwasababu vimekuwepo vyuo vingi vinavyotoa engineering courses lakin wamekuwa na mitaala mibovu ambayo inawafanya ma engineer wetu wasiwe wabunifu na wasiweze kushindana sokoni.
Mfano kuna vyuo vinatoa computer engineering lakini wanafunzi wake mwaka wa tatu hawajui ata kutengeneza straight through ethernet cable...seriously?
mwingne wa electronics engineering same year kashindwa ata kusoma uwezo wa capacitor??? haaah
Ombi langu;
1: wanafunzi wa engineering wataftiwe field kama ilivyo madoctor wakafanyie field taaluma zao na sio kutumia tu pesa za loan bila kutoa jasho
2: Mitaala ya elimu ya vyuo vyote iwe upgraded kila mwaka kwa course zote ili iendane na ukuaji wa technolojia...naomba apa waweke mtaala mmoja kwa wote, sio kama ilivyo sasa kila chuo kinajifundishia.
3: Wanafunz wapige project mbili..mini project mwaka wa tatu na final project mwaka wa nne.
shida ni hawa hawa wanaosoma sasa baadae wanakuja kuharbu mfumo wa elimu afu tna lalamika ni shiiida.
 
Naombeni kufahamishwa nani anakagua mitaala na mitihani ya vyuo vikuu especially engineering.

Ukiacha TCU hivi ERB hawana role yeyote? Najua kwa programu kama veterinary medicine TCU na Veterinary Council of Tanzania (VCT) vyote vina manadate kisheria. Hivyo kama VCT hairidhiki na training inawea kuingilia kati na hata kusimamisha training. Kumbuka saga la Kampala International University na Pharmacy Board (PB) na TCU. Kama PB haitambui programu basi wahitimu wanakuwa hawatambuliwi na sitashangaa kama PB wanaweza kusimamisha programu.
 
Ukiacha TCU hivi ERB hawana role yeyote? Najua kwa programu kama veterinary medicine TCU na Veterinary Council of Tanzania (VCT) vyote vina manadate kisheria. Hivyo kama VCT hairidhiki na training inawea kuingilia kati na hata kusimamisha training. Kumbuka saga la Kampala International University na Pharmacy Board (PB) na TCU. Kama PB haitambui programu basi wahitimu wanakuwa hawatambuliwi na sitashangaa kama PB wanaweza kusimamisha programu.
apo umenena vyema naona ERB washirikiane na TCU...mana tunawapa wanafunzi hawa pesa za kujikim na mengineyo inabid wafanye kazi ..ni kodi zetu zile
 
Mkuu swala la kuunda bidha linawezekana kabisa. Lakin nchi yetu kipoumbele sio elimu kwani swala la kufanya research kubwa serikali haigharamii chochote. Na kumbuka watoto wengi wanatoka katika familia za kawaida sana. Usha jiuliza kwenye bajeti yetu ni kiasi gani cha hela hutengwa kwa ajili ya kufanya utafiti?. Kama umesona mwanzo nime andika clear kabisa kuhusu umuhimu wa kufanya research kwa ma engineer na wanasayansu. Kwa staili hii ya kusubili misaada ya research toka kwa wahisan tutasubili sana. Kwanza huyo mtu anayekupa huo msaada anatafuta sehemu ya kuuzia bidhaa yake we unaxani atakupa kiwango cha pesa cha kutosha kukamilisha mambo yako?.


Mkuu nakubaliana na wewe kwenye baadhi ya maeneo hasa katika techolojia zile complex, ila kwa mfano vitu kama kutengeneza nondo, misumari, sindano, bulb, socket etc je kuna utafiti gani hapo unahitajika?
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwenye baadhi ya maeneo hasa katika techolojia zile complex, ila kwa mfano vitu kama kutengeneza nondo, misumari, sindano, bulb, socket etc je kuna utafiti gani hapo unahitajika?
Mkuu, ukizungumzia teknolojia huwezi kuacha utafiti. Mabadiliko ya teknolojia duniani yanakwenda kwa kasi sana. Vitu ulivyovitaja na vingine almost vyote kwa sasa vinazalishwa na teknolojia za kisasa ambazo bila utafiti ni kazi bure. Hata kama unaona nondo ni ile ile ya 90's lakini composition yake na kiwango cha uzalishaji kwa siku vinabadilika kila muda...matokeo ya utafiti!
 
Tatzo wengi combi zinabalance mnashindwa ku follow dream zenu inawabidi mkalili tu ..hivi kweli mwanafunzi wa BACHELOR degree wa COMPUTER ENGENERING inasubiri mwalimu akufundishe kutengeza strait through cables?? Ha ha ha you can't be serious ...hapo ulitakiwa usome BA AU EDUCATION ukariri as you did from O LEVEL TO A level ...
 
Mkuu, ukizungumzia teknolojia huwezi kuacha utafiti. Mabadiliko ya teknolojia duniani yanakwenda kwa kasi sana. Vitu ulivyovitaja na vingine almost vyote kwa sasa vinazalishwa na teknolojia za kisasa ambazo bila utafiti ni kazi bure. Hata kama unaona nondo ni ile ile ya 90's lakini composition yake na kiwango cha uzalishaji kwa siku vinabadilika kila muda...matokeo ya utafiti!


Sikatai hilo la utafiti na kubadilika kwa technology. Ila pia kuna vitu flan elementary ambavyo mngeweza kuviunda. Kwa mfano projects zenu zinakuwa na mambo mazuri ila complex na zenye kuhitaji fedha nyingi. Hebu na walimu wakati wa projects wafocus katika vitu rahisi vinavyotekelezeka katika mazingira yetu na vyenye gharama ndogo
 
st.joseph hata kama umesoma HKL unaweza kusoma course yoyote Engineering.. sijui wanatumia kogezo gani hawa jamaa..
 
st.joseph hata kama umesoma HKL unaweza kusoma course yoyote Engineering.. sijui wanatumia kogezo gani hawa jamaa..
 
st.joseph hata kama umesoma HKL unaweza kusoma course yoyote Engineering.. sijui wanatumia kogezo gani hawa jamaa..
MrMondo unaushahidi na hili au story za vijiweni hizi?????
 
nina ushahidi asilimia 100 nimewahi kufika hadi chuoni pale kibamba na vipeperushi vyao walinipa nilikua namuhangaikia mdogo wangu
 
Back
Top Bottom