Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,912
- 31,752
na wakati wa shule?Aah wapii watoto wa jirani naskia wanacheza Playstation wakati wa likizo na wanakesha kabisa. Wazazi hawana noma
na wakati wa shule?Aah wapii watoto wa jirani naskia wanacheza Playstation wakati wa likizo na wanakesha kabisa. Wazazi hawana noma
TVT au TBC maana wengine tunaikumbuka ya kwanza hapo, nikikuambuka kwa karibu kulikuwa na Jini kabula ila Kuna nyingi tu nyuma nimezi Sahau majina. Wakina kanumba na Johari.. Kina doctor cheni... Mzee magari, na wengineoMimi naijua mama dodo iliyo kuwa una rushwa TBC1 nilikuwa nacheka sana
TbcTVT au TBC maana wengine tunaikumbuka ya kwanza hapo, nikikuambuka kwa karibu kulikuwa na Jini kabula ila Kuna nyingi tu nyuma nimezi Sahau majina. Wakina kanumba na Johari.. Kina doctor cheni... Mzee magari, na wengineo
Millenial moja mkuuSure thing si tuliokuwa watoto au wewe sio millenial?
Kipindi inarushwa ndo nilijifungua mtoto wangu wa kwanzaUlikuwa una jitambua kipindi Zina rushwa au umeskia wakubwa zako wanapiga zogo?
Hilo dude +254 walilisuka mamaé ila ikawa ndefu mpaka ikapoteza mvutoNi kali kushinda TAUSI?
Wala ila mm hivyo vitu sio vitu vyangu nilikuwa naona ndugu zangu wana fwatilia mm mizengwe ndio nilikuwa na fwatilia sasa ni juma pili saa tat af huo mda natikwa niwe nimelala kesho shule pale ndio tulikuwa tuna gombana sana na wazeeeBasi wewe ni recent sana
Mimi mizengwe ndo ulikuwa hunitoi kabisa yule jamaa wakujiita mkwere pamoja na combination ya muhogo Mchungu waliniacha hoi sana.Wala ila mm hivyo vitu sio vitu vyangu nilikuwa naona ndugu zangu wana fwatilia mm mizengwe ndio nilikuwa na fwatilia sasa ni juma pili saa tat af huo mda natikwa niwe nimelala kesho shule pale ndio tulikuwa tuna gombana sana na wazeee
Naongelea ile tausi ya mwaka 1999 kabla hujazaliwaTausi nahisi ziko nyingi hiyo ilikuwa ya kina nani? Na ni ya miaka hiyo au unasemea hizi mpya?