Narumu newz
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,319
- 4,961
Viongozi wa ccm ndio wanataka kuleta machafuko. Wanajificha kwenye amani ya mdomoni, huku wanaikwepa haki.Katika hali ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya uchaguzi, bila shaka anayeiharibu amani ni viongozi wa CCM wanaotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende wanavyotaka hawa ndio adui namba moja wa amani ya taifa letu.
wapumbavu wanadhani amani ikitoweka wao watabakia salama?Viongozi wa ccm ndio wanataka kuleta machafuko. Wanajificha kwenye amani ya mdomoni, huku wanaikwepa haki.
We punguani sana, ni lini huyo Lissu aliwahi kutumia maneno ya hekima na busara kama hayo unayobandika hapo?? Kila akihutubia ndani ya sekunde 10 anatamka "Mapambano, Uasi, Kukinukisha" lini aliwahi kusema anataka kukaa mezani!!? Wacha likae mahabusu, ujanja wa kujipiga virisasi vya kuwindia kware umeshajulikana.Katika hali ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya uchaguzi, bila shaka anayeiharibu amani ni viongozi wa CCM wanaotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende wanavyotaka hawa ndio adui namba moja wa amani ya taifa letu.
Kwa viwango vyovyote wewe huna AKILI TIMAMUWe punguani sana, ni lini huyo Lissu aliwahi kutumia maneno ya hekima na busara kama hayo unayobandika hapo?? Kila akihutubia ndani ya sekunde 10 anatamka "Mapambano, Uasi, Kukinukisha" lini aliwahi kusema anataka kukaa mezani!!? Wacha likae mahabusu, ujanja wa kujipiga virisasi vya kuwindia kware umeshajulikana.
Kama wewe na bosi wako Lissu mwenye faili mirembe.Kwa viwango vyovyote wewe huna AKILI TIMAMU
Huyo ndio alitakiwa awe jela kwa kuongea uongo mbele ya kamera,lakini kwa sababu wanalindwa anapeta tuAmosi MAKALA
Bado hajasema EBOLA na MPOX Virusi vyake Vinauzwa duka gani na shilingi ngapi?
Bado hajasema endapo vikiingizwa nchini vitamshambulia nani na kumuacha nani na kwanini?
We punguani sana, ni lini huyo Lissu aliwahi kutumia maneno ya hekima na busara kama hayo unayobandika hapo?? Kila akihutubia ndani ya sekunde 10 anatamka "Mapambano, Uasi, Kukinukisha" lini aliwahi kusema anataka kukaa mezani!!? Wacha likae mahabusu, ujanja wa kujipiga virisasi vya kuwindia kware umeshajulikana.
Kweli kabisa . Lakini haishangazi sana kwani hata MAHITA aliyekuwa IGP alishawahi kutokeza mbele ya vyombo vya habari akiwa na visu Vyenye ALAMA nyekundu( rangi mojawapo) ya bendera ya CUF . Alidai CUF wameingiza bqndarini MAKONTENA ya VISU na MAJAMBIA ili wavuruge Amani ya nchi.Huyo ndio alitakiwa awe jela kwa kuongea uongo mbele ya kamera,lakini kwa sababu wanalindwa anapeta tu
Kama lisu Ana faili mirembe wewe la kwako lipo AKHERA MOTONI!?Kama wewe na bosi wako Lissu mwenye faili mirembe.
Wanaoharibu amani ni viongozi wa serikali ya CCM wanaotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende wanavyotaka.We punguani sana, ni lini huyo Lissu aliwahi kutumia maneno ya hekima na busara kama hayo unayobandika hapo?? Kila akihutubia ndani ya sekunde 10 anatamka "Mapambano, Uasi, Kukinukisha" lini aliwahi kusema anataka kukaa mezani!!? Wacha likae mahabusu, ujanja wa kujipiga virisasi vya kuwindia kware umeshajulikana.
Wanasema muda wa kufanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi hautoshi??? Lakini muda wa KUMPONGEZA MAMA HAUNA KIKOMO!!!Anayeharibu amani ni serikali ya CCM inayotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka.
Mkuu ccm ni Chama Cha Mashetani. Wanapenda Amani lakini wanaichukia Haki hadharani.Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema jamani turudi mezani ili tuangalie mifumo yetu ya uchaguzi, bila shaka anayeiharibu amani ni viongozi wa CCM wanaotumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende wanavyotaka hawa ndio adui namba moja wa amani ya taifa letu.