Nani anaifadhili CHADEMA?

Nani anaifadhili CHADEMA?

Naona CHADEMA bila ruzuku bado kinafedha za kuandaa mikutano ya adhara, ufafhili wao upo chini ya nani? Mbona vyanzo vya mapato havipo wazi?
Mkuu Resilience , tuko baadhi yetu tunamjua mfadhili mkuu wa Chadema, kwa vile wenyewe hawamtaji na mfadhili mwenyewe ni muungwana sio mtu wa kujitapa, naomba na mimi nisimtaje.

Hapa nimemdokeza https://www.jamiiforums.com/threads...-zaidi-ya-mshambuliaji.2059203/#post-45063875

Na hapa nimefafanua https://www.jamiiforums.com/threads...li-na-watanzania.1702195/page-6#post-45066996
But you have to connect the dots!.

P
 
Naona CHADEMA bila ruzuku bado kinafedha za kuandaa mikutano ya kadhara, ufafhili wao upo chini ya nani? Mbona vyanzo vya mapato havipo wazi?
Sasa watu hawalipi kaki kaki, hawabebi raiya kupeleka mkutanoni, hawanunulii wanachama wake chochote, sasa garama ya jukwaa ata Sugu anamudu izo garama. Sasa brow ufazili wa nini. Iyo chama ni noma wadau wake wameipenda wengewe ni noma sana
 
Mkuu Resilience , tuko baadhi yetu tunamjua mfadhili mkuu wa Chadema, kwa vile wenyewe hawamtaji na mfadhili mwenyewe ni muungwana sio mtu wa kujitapa, naomba na mimi nisimtaje.

Hapa nimemdokeza https://www.jamiiforums.com/threads...-zaidi-ya-mshambuliaji.2059203/#post-45063875

Na hapa nimefafanua https://www.jamiiforums.com/threads...li-na-watanzania.1702195/page-6#post-45066996
But you have to connect the dots!.

P
Hivi wewe uliacha lini kuifadhili? Najua wewe ni mtu usiyependa kujitapa na hupenda kutoa kwa mkono wako wa kulia huku ukihakikisha mkono wako wa kushoto hauoni,hiyo ndiyo difa yako iliyokufanya uifadhili Chadema bila kujulikana.
 
Sisi wanachadema tunachangia chama chetu tofauti na wanaccm wanategemea makombo toka meza za vigogo wao
 
Back
Top Bottom