Ngwathra
Platinum Member
- Jul 11, 2007
- 5,910
- 11,091
Wanaboadi, hii kitu imekua kimya na huisikii popote tena baada ya taifa la shithole kukopa matrilioni ya pesa ambazo kenge tutalipa maisha yetu yote hadi vitukuu vyetu. Hatusikii kwenye bajeti, TRA, dira ya dunia ya bongo wala wapi!
Mchango wake ni nini? Nani anapata maslahi yake? Nani analimiliki? Hesabu zake ziko wapi? Nani anaaudit huu mradi mkubwa wa kimkakati na kusema tunapata faida au hasara?
Tuache siasa za majichoo tuhoji haya mambo makubwa ya nchi yaliyotekelezwa kwa maumivu makubwa ya sisi kenge wa mama? Majeshi na vifaru vilipelekwa kuufanikisha kumbukeni
Tusaidieni majibu na tuelewesheni, kama ni ubia wa mchina na familia ya msoga pia tujulishwe ili tujue ni mradi binafsi tukome kuuliza mali za watu
Je ni Kagoda, Meremeta, au IPTL ingine nk?
Mchango wake ni nini? Nani anapata maslahi yake? Nani analimiliki? Hesabu zake ziko wapi? Nani anaaudit huu mradi mkubwa wa kimkakati na kusema tunapata faida au hasara?
Tuache siasa za majichoo tuhoji haya mambo makubwa ya nchi yaliyotekelezwa kwa maumivu makubwa ya sisi kenge wa mama? Majeshi na vifaru vilipelekwa kuufanikisha kumbukeni
Tusaidieni majibu na tuelewesheni, kama ni ubia wa mchina na familia ya msoga pia tujulishwe ili tujue ni mradi binafsi tukome kuuliza mali za watu
Je ni Kagoda, Meremeta, au IPTL ingine nk?