Nani anafaa kuwa Mrithi wa IGP Simon Sirro?

Nani anafaa kuwa Mrithi wa IGP Simon Sirro?

1. Lissu kupigwa risasi na Watu Kutekwa na kupotea. Hii imechafua sana Nchi yetu. Hii hali ilimchafua hadi rais kwani Uzembe wa Sirro kufanyakazi, kumefanya watu wadhani kwamba Watekaji wanalindwa. Hii kosa alitakiwa ajiuzulu. Ila amshukuru rais alimvumilia.

=== Cha kujitoa Ufahamu katika Suala la Lissu Kupigwa Riasi

2. Kuna Sakata la sare za Polisi. Rais Magufuli aliibua Sakata la sare za Polisi ambazo ulifanyika ufisadi wa karibia Bil 60, akamuagiza afanyie kazi, lakini hafanyi chochote. Alitakiwa ajiuzulu.

=== Hapa sina Neno, ila hata Kama alifanyiwa kazi ulitaka aje ku report kwako ?

3. Sakata la Lugumi. Kuna ufisadi wakaribia Bilioni 34 za kifunga mitambo ya alama za Vidole ambalo liliibuliwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

==== Hili liko tokea enzi na enzi

4. Majeshi yote ya Tanzania yana miradi ya maendeleo ili kupunguza utegemezi kwa Serikali. Lakini kwa Miaka mitano ameshindwa kubuni miradi hata ya kuwasaidia Askari.

=== Principal Duty ya Police ni Kulinda Raia na Mali zao,Muda wa ku Focus kwenye Miradi wautoe wapi ? Hizo resources watatoa wapi ?

NB
Nakubaliana na wewe, Siro ana hofu ya Mungu
 
Sirro is among of the fewer professional police we have.
Sirro ni viwango vya Donald Rumsfeld aliyekuwa waziri wa ulinzi wa Marekani 2001 hadi 2006.
Sirro hajawahi kushindwa kwenye kazi, waulize majambazi waliovamia watalii mbugani watakuambia Sirro ni nani.
Jiulize kwa miaka hii ya Sirro wale majambazi waliokuwa wakitamba wako wapi?
Sirro chapa kazi baba.


Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app


Vipi wale wanajeshi wa Burundi waliovalishwa sare za polisi wa TZ ??? walimsaidia Sirro katika kuuuwa na kuiba kura ??
 
Said mwema ndie igp bora kwa kipindi nilichokishuhudia lakini ndio hivyo umri wa kustaafu.

Omari mahita nae alikua na ubora wake japo kipindi kile kulikua na changamoto sana za uhalifu. Ubora wake unatokana jinsi alivyopambana na huo uhalifu kwa nyakati zile.

Kwa Sasa arudishwe tu Ernest mangu amalizie muda wake kwa kweli.
 
SmartSelect_20201118-225608_Twitter.jpg
 
Wewe huyu asistaafu asubiri kwanza kwenda The Hague abaki kwenye cheo chake hivyohivyo hatujamalizana nae , msianze kumkwepesha kijanja anahitajika Sana ICC .
Lakin mkuu ICC hata Kama umestahafu, ngoma inakufata hukohuko, labda Kama uhusiki kwenye madai kesi usika
 
Mponjoli alishastaafu muda sana
Kwasasa nawaona wawili tu wenye hekima za kutosha kuongoza jeshi la polisi
1. Salum Rashid Hamdini (RPC Arusha)
2. Ladson Mwabulambo Mponjoli (RPC Geita)

Lakini kwakua mheshimiwa mwenyekiti anapenda wateule makondoo, basi sitoshangaa kumwona Mambosasa akiukwaa u IGP.
 
Wewe huyu asistaafu asubiri kwanza kwenda The Hague abaki kwenye cheo chake hivyohivyo hatujamalizana nae , msianze kumkwepesha kijanja anahitajika Sana ICC .
Watanzania tunahitaji kumgawana Sirro kwa uchafuzi alioufanya kwenye uchaguzi mkuu. Kwenda ICC the Hague hakuepukiki
 
Said mwema ndie igp bora kwa kipindi nilichokishuhudia lakini ndio hivyo umri wa kustaafu.
Omari mahita nae alikua na ubora wake japo kipindi kile kulikua na changamoto sana za uhalifu. Ubora wake unatokana jinsi alivyopambana na huo uhalifu kwa nyakati zile.

Kwa Sasa arudishwe tu Ernest mangu amalizie muda wake kwa kweli.
Mwangosi, kubenea tindi kali, dk ulimboka
 
Afande Simon Sirro is the best at present moment, utake usitake kajitahidi sana, majambazi yamemalizwa, vibaka kwisha, nchi atleast imetulia na hii ndio kazi kubwa alipewa na Mh. Rais JPM, lingine Afande Sirro is an intelligent guy ukatae ukubali, Sirro knows well his job, he is a really professional police, mchapa kazi sana, pia ni msikivu sana, well mannered, hajivuni, mtenda haki, in general, he is the best IGP niseme ukweli, sioni dalili zozote zile za wanaomuombea mabaya ili Mh. Rais ambadilishe, naona Mh. Rais atamaliza na Afande Sirro hadi 2025. Niseme tu, Dua ya kuku ( kuku = Chadema) haimpati mwewe.

Afande Sirro you are the best IGP, period, keep going..!!
 
Majibu ya hoja yako namba 4. Jeshi la polisi lina mradi mkubwa sana linaoufanya kwakushirikia na Tume ya uchaguzi. Mradi huo ni kuhakikisha CCM ngazi zote wanabaki madarakani na kuhakikisha wapinzani wote wanabambikiwa kesi ambazo hazina dhamana. Pia kuhakikisha wakosoaji wote wanaswekwa ndani na kupewa kesi ambazo hazina dhamana.
Ukweli unaufanya utani.
 
Kwasasa nawaona wawili tu wenye hekima za kutosha kuongoza jeshi la polisi
1. Salum Rashid Hamdini (RPC Arusha)
2. Ladson Mwabulambo Mponjoli (RPC Geita)

Lakini kwakua mheshimiwa mwenyekiti anapenda wateule makondoo, basi sitoshangaa kumwona Mambosasa akiukwaa u IGP.
Kama anayo kadi ya ccm atatufaa sana.
 
Hao majambazi wataiba nini zama hizi za tecnolojia. Kuna vitu kwa kadri tecnolojia inavyokua lazima vipungue automatic.

Dunia ya sasa sehemu iliyobaki yenye lundo la ma pesa ni kwenye mabank nako toka kitambo uvamizi ulikua wakiwango chakawaida.

Kwahiyo sio kweli kwamba usalama umeimarika kiasi hicho unachotaka kutuaminisha bali maisha ndiyo yaliyobadilika. Vyakuiba ndio hakuna. Simple like that.
Afande Simon Sirro is the best at present moment, utake usitake kajitahidi sana, majambazi yamemalizwa, vibaka kwisha, nchi atleast imetulia na hii ndio kazi kubwa alipewa na Mh. Rais JPM, lingine Afande Sirro is an intelligent guy ukatae ukubali, Sirro knows well his job, he is a really professional police, mchapa kazi sana, pia ni msikivu sana, well mannered, hajivuni, mtenda haki, in general, he is the best IGP niseme ukweli, sioni dalili zozote zile za wanaomuombea mabaya ili Mh. Rais ambadilishe, naona Mh. Rais atamaliza na Afande Sirro hadi 2025. Niseme tu, Dua ya kuku ( kuku = Chadema) haimpati mwewe.

Afande Sirro you are the best IGP, period, keep going..!!
 
Back
Top Bottom