Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,656
- 13,480
kijana anashitakiwa mahakamani na baba yake mzazi kwa kosa la kufanya mapenzi na bibie yake (mama wa baba yake), mambo yanakuwa hivi mahakamani!!
mahakama:kijana ni kweli ulifanya mapenzi na bibi yako? (mama wa baba yako)
kijana: ndiyo
mahakama: kwanini ulifanya hivyo,una cha kujitetea?
kijana: ndiyo,ninalo la kujitetea!mi namshangaa sana baba, kweli mkuki kwa nguluwe kwa binadamu mchungu! yeye baba kila siku analala na mama yangu,mi kulala na mama yake siku moja tu imekuwa tabu,hata sijui nimueleweje!!
mahakama: mmmh!naomba mkayamalize nyumbani!!
wadau nani wa kumuomba msamaha mwenzie!!!
mahakama:kijana ni kweli ulifanya mapenzi na bibi yako? (mama wa baba yako)
kijana: ndiyo
mahakama: kwanini ulifanya hivyo,una cha kujitetea?
kijana: ndiyo,ninalo la kujitetea!mi namshangaa sana baba, kweli mkuki kwa nguluwe kwa binadamu mchungu! yeye baba kila siku analala na mama yangu,mi kulala na mama yake siku moja tu imekuwa tabu,hata sijui nimueleweje!!
mahakama: mmmh!naomba mkayamalize nyumbani!!
wadau nani wa kumuomba msamaha mwenzie!!!