Nani amewahi kula hii kitu?

Nani amewahi kula hii kitu?

Yaani umenikumbusha zamaniii. ..... basi tuu siku nikienda kutembea nyumbani ...... nawataarifu mapemaa waniwekee madikodiko ya kinyamwezi nikitoka huko nimenonaaa hehehe.

Sasa hivi wewe si mambo yako Steers, Nando, Mc Donald..haya mambo tuachie sie. Nsansa na nswalu naweza maliza ugali kilo mbili peke yangu. Alimradi kuwe na mtindi pembeni.

Nakutakia mapumziko mema rafiki
 
Madikodiko ya kinyamwezi.... basi watu huwa hawaelewi.... hapo hujalambishwa asali....
Asali nilikua napiga na ugali ingawa siku hizi imenikataa....nikilamba asali inakua majanga tumbo linakata
 
Asali nilikua napiga na ugali ingawa siku hizi imenikataa....nikilamba asali inakua majanga tumbo linakata

Ooh polee

Yawezekana uliramba asali feki... au ulipata ile yenye nicotine na siajabu hiyo ndo una allege nayo.

Jaribu ile ya nyuki wadogo.... aidha ya chuo cha SUA ni asali asili kabisa isiyo na sumu.

Try that.
 
Ooh polee

Yawezekana uliramba asali feki... au ulipata ile yenye nicotine na siajabu hiyo ndo una allege nayo.

Jaribu ile ya nyuki wadogo.... aidha ya chuo cha SUA ni asali asili kabisa isiyo na sumu.

Try that.
Natumia asali original kutoka Kigoma na Tabora
 
Niliwahi kula mara moja nikatapika sana na kichwa kuniuma, nikiuona napita mbali.
 
Umenipeleka moja kwa moja hadi usandaweni, pale KwaMtoro.
Bibi alkuwa ananijulia sana kwa hyo kitu.
 
Kipindi nafanya kazi bukoba nyuma ya Nyumba niliyokuwa naishi vilikua vinaona vingi kweli.... Walikua wanavigombania sana eti ni vitamu kweli mi nawashangaa..... Hata uyoga ule mkubwa mimi sipendi eti wengine wanafananisha na nyama duh!!



Cc Smart911
 
Kipindi nafanya kazi bukoba nyuma ya Nyumba niliyokuwa naishi vilikua vinaona vingi kweli.... Walikua wanavigombania sana eti ni vitamu kweli mi nawashangaa..... Hata uyoga ule mkubwa mimi sipendi eti wengine wanafananisha na nyama duh!!



Cc Smart911
nikweli mtamu sana zaid ya kuku
 
Back
Top Bottom