Uloze, ila mie siyapendagi nikila natapika
Umenikumbusha mbali sana...kitu cha nsansa na dona.Wanyamwezi tuna mboga yetu inaitwa nsansa na nyingine nswalu hizi nyingine huwa zinachanganywa na uyoga aiseeh zikipikwa huwa ni tamuu hasa ikiungwa na karanga weeh ugali wa dona uliochanganywa na Muhogo iiggh acha tuu tuambiwe tunabeba mizigo mizigo maana tunakula vinono.
Mwaah wanyamwezi wenzangu aka wakadama.
Kasie nsansa au nswalu nazielewa, imwagiwe karanga au maziwa mabichi utavimbiwa. Pembeni kuna mtindi na nyama choma ugali sio wa kwenye sahani, unaletwa kwenye chungu kutoka jikoni...we acha tu.
Umenikumbusha mbali sana...kitu cha nsansa na dona.
Mzigo mzito mpe mnyamwezi..... najivunia kuzaliwa mnyamwezi.
Madikodiko ya kinyamwezi.... basi watu huwa hawaelewi.... hapo hujalambishwa asali....
Ahahahahhaaa niliufuma goweko station mkavu nikanunua debe zima sasa kila anayekuja kusalimia kuficha siwezi kumpa sitaki najidai nina uyoga kidogo yaani hata kukupa siwezi utasikia nipe hivyo hivyo mwisho ukaisha kwa kugawaWanyamwezi tuna mboga yetu inaitwa nsansa na nyingine nswalu hizi nyingine huwa zinachanganywa na uyoga aiseeh zikipikwa huwa ni tamuu hasa ikiungwa na karanga weeh ugali wa dona uliochanganywa na Muhogo iiggh acha tuu tuambiwe tunabeba mizigo mizigo maana tunakula vinono.
Mwaah wanyamwezi wenzangu aka wakadama.
Ahahahahhaaa niliufuma goweko station mkavu nikanunua debe zima sasa kila anayekuja kusalimia kuficha siwezi kumpa sitaki najidai nina uyoga kidogo yaani hata kukupa siwezi utasikia nipe hivyo hivyo mwisho ukaisha kwa kugawa
Akipikwa kuku analetwa mzimamzima kuanzia kichwa hadi makanyagio kwenye chungu. Amepigwa samli harufu mtaa mzima. Ndio maana hakuna magonjwa ya ajabu ajabu enzi hizo. Kemiko itoke wapi wakati ukimaliza unashushia togwa ya baridiiiiiii
Mimi yangu nsonga hadi hapa nilipo nazipanda zinaota na kustawi vizuri sana pika na karanga zidisha nyanya kidogo uuuwiii niniauMuntua unaniangusha. Sasa kama hii inakushinda ndalu na kuluga utaweza kweli?
Halafu Sasa kila jioni Ni taarifa kesho umealikwa wapi ahahahaaa lwa midebe mchuzi kwenye ndooo, Kasie naumia sana kutokujua kuongea kabila langu pendwa naumia sana kwa kweliYaani umenikumbusha zamaniii. ..... basi tuu siku nikienda kutembea nyumbani ...... nawataarifu mapemaa waniwekee madikodiko ya kinyamwezi nikitoka huko nimenonaaa hehehe.
Halafu Sasa kila jioni Ni taarifa kesho umealikwa wapi ahahahaaa lwa midebe mchuzi kwenye ndooo, Kasie naumia sana kutokujua kuongea kabila langu pendwa naumia sana kwa kweli
Domo lishakuwa zito ukiongea ni sawa na kiswahili tuHahahahaaa hujachelewa best hata kama una miaka 40 ukitaka kujifunza utajifunza na utaongea tuu. Elimu haina mwisho...
Domo lishakuwa zito ukiongea ni sawa na kiswahili tu