Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Jamani mimi kichwa kinanizunguka hapa baada ya kusoma hii habar. Mi nimesha panda fast jet from dar to mwanza kwa elfu tisini. Yani narudia kwa ulfu tisini. (90,000). Huyu from mwanza to dar kwa lakinane ni nani uyo? Ni shirika gani la ndege lilikuwa limefika uko?