Mkiambiwa mkae mbali na mambo ya kitaalamu na msiwe na viherehere hamsikii tu.
Kisaikolojia alichokifanya jana Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa timu ya Taifa Stars muda mfupi kabla ya kwenda uwanjani hakikutakiwa na alikosea kwani kilichangia kuharibu maelekezo ya kiufundi ya kocha na akilini mwao wakawa wanawaza kumfurahisha Rais badala ya kuufikiria zaidi mchezo husika.
Endeleeni tu kuhusianisha timu ya taifa stars na Chama cha Mapinduzi na Serikali badala ya kuiacha iwe na sura halisi ya watanzania wote ili ipate baraka zao na siyo ichukiwe kama inavyochukiwa sasa na watu wasiopenda unafiki cognizant nikiwa ni miongoni mwao.
Haya mwambieni na tarehe 21 taifa stars ikicheza na Zambia muda mchache kabla hawajaenda uwanjani awapigie tena simu wachezaji wa taifa stars huku akiviita vyombo vya habari vimpige picha akiwa kaketi katika sofa lake akiongea nao sawa?
Kila la kheri Chipolopolo (Zambia) na Leopard (Congo DR) katika mechi zenu zijazo ambazo mtacheza na Taifa Stars (Tanzania) na cognizant nawaombeni mtufunge ili tutoke haraka na turejee ili ligi kuu yetu iweze kuendelea
Kisaikolojia alichokifanya jana Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa timu ya Taifa Stars muda mfupi kabla ya kwenda uwanjani hakikutakiwa na alikosea kwani kilichangia kuharibu maelekezo ya kiufundi ya kocha na akilini mwao wakawa wanawaza kumfurahisha Rais badala ya kuufikiria zaidi mchezo husika.
Endeleeni tu kuhusianisha timu ya taifa stars na Chama cha Mapinduzi na Serikali badala ya kuiacha iwe na sura halisi ya watanzania wote ili ipate baraka zao na siyo ichukiwe kama inavyochukiwa sasa na watu wasiopenda unafiki cognizant nikiwa ni miongoni mwao.
Haya mwambieni na tarehe 21 taifa stars ikicheza na Zambia muda mchache kabla hawajaenda uwanjani awapigie tena simu wachezaji wa taifa stars huku akiviita vyombo vya habari vimpige picha akiwa kaketi katika sofa lake akiongea nao sawa?
Kila la kheri Chipolopolo (Zambia) na Leopard (Congo DR) katika mechi zenu zijazo ambazo mtacheza na Taifa Stars (Tanzania) na cognizant nawaombeni mtufunge ili tutoke haraka na turejee ili ligi kuu yetu iweze kuendelea