GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,721
- 109,155
"Tumeweka historia kwa mara ya kwanza Tanzania (Taifa Stars) kutolewa AFCON na kupata alama mbili kwani huko nyuma haikuwa hivyo," amesema Chawa Mwandamizi wa Mama aitwae Mwijaku.
Chanzo: Leo Tena ya Clouds FM hivi punde.
GENTAMYCINE nilikuwa sijaelewa kumbe pesa zote zilizochangwa, Hamasa kubwa na Serikali chini ya Rais Samia na kuwapigia kote kule simu Lengo Kuu lilikuwa ni Tanzania (Taifa Stars) kumaliza na Alama (Points) mbili tu?
Ninachukia mno watu wapumbavu.
Chanzo: Leo Tena ya Clouds FM hivi punde.
GENTAMYCINE nilikuwa sijaelewa kumbe pesa zote zilizochangwa, Hamasa kubwa na Serikali chini ya Rais Samia na kuwapigia kote kule simu Lengo Kuu lilikuwa ni Tanzania (Taifa Stars) kumaliza na Alama (Points) mbili tu?
Ninachukia mno watu wapumbavu.