frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Sijaelewa mantiki ya kuita kituo cha daladala eti SIMU 2000 Kisa pale kulikuwa na coy husika na aliyo fisadi mapesa kibao enzi za Mkapa.
Unavyoanzisha jina la biashara au sehemu linatokana na urahisi wa kutamkwa na watu wa pale, wazawa n.k, leo nilikuwa kwenye NIDA kuchukua national ID, idadi ya watu wasiojua kusoma na kuandika ni kubwa sana.
Hoja yangu kwanini kituo husika wasikite MAWASILIANO kama watu na makonda wengi wanavyokiita wao. Leo nilikuwa Ubungo muda nimewasikia sana baada ya kupata news ya kusitishwa mdahalo nikiwa nimefika, wakiite kama ilivyokuwa Makumbusho au wakiite TANESCO majina mepesi kuliko jina hili ambalo alina mvuto eti "simu elfu mbili".
Pia kituo kiko poa sanaaa, ila maingilio yake toka Shekilango na Mandela road kuna vumbi ya maana.
Nawasilisha.
Unavyoanzisha jina la biashara au sehemu linatokana na urahisi wa kutamkwa na watu wa pale, wazawa n.k, leo nilikuwa kwenye NIDA kuchukua national ID, idadi ya watu wasiojua kusoma na kuandika ni kubwa sana.
Hoja yangu kwanini kituo husika wasikite MAWASILIANO kama watu na makonda wengi wanavyokiita wao. Leo nilikuwa Ubungo muda nimewasikia sana baada ya kupata news ya kusitishwa mdahalo nikiwa nimefika, wakiite kama ilivyokuwa Makumbusho au wakiite TANESCO majina mepesi kuliko jina hili ambalo alina mvuto eti "simu elfu mbili".
Pia kituo kiko poa sanaaa, ila maingilio yake toka Shekilango na Mandela road kuna vumbi ya maana.
Nawasilisha.