Mr. Mwalu
JF-Expert Member
- Feb 4, 2010
- 1,057
- 565
Asante boss, so eneo la kituo ni mali ya simu2000 na sio halmashauri si ndio?
lilikuwa eneo la posta na simu ( tp&tc) likatwaliwa na simu 2000 sasa linamilikiwa na manispaaa kinondoni!
Asante boss, so eneo la kituo ni mali ya simu2000 na sio halmashauri si ndio?
vibaka walikuwa wakikwapuo simu kule ubungo stand wanakimbilia kwenye hiko kituo na si unajua tena biashara ya mali ya wizi inapochelewa kununuliwa bei inavyoshuka mishowe simu ikaanza kuuzwa tsh 2000 ili kibaka akapate kete moja ya dawa ya kulevya.hivyo hapo simu ilikuwa ikiuzwa 2000.jibu safi na makini
whichever sounds convincing to you.Unauliza au unanijulisha zaidi.
INAFAA PAITWE MAWASILIANO........M/SILIANO K/KOO
SI VIBAYA IKAPELEKWA HOJA BUNGENI
Cc.. MBUNGE WA UBUNGO.
lilikuwa eneo la posta na simu ( tp&tc) likatwaliwa na simu 2000 sasa linamilikiwa na manispaaa kinondoni!
Safi sanaa na inaonekana unajua mengi kuhusiana na eneo husika, basi saidia kuwaeleza wapaite MAWASILIANO au SIMU ita sound vizuri.
Basi kuna daladala leo limeandikwa Simu 2000/ kkoo, kila mtu analishangaa pamoja na kwamba limesimama kwenye kituo chenyewe.
eneo lilikuwa bado chini ya serikali, simu 2000 ltd haipo siku hizi, halmashauri pia ni serikaliAsante boss, so eneo la kituo ni mali ya simu2000 na sio halmashauri si ndio?
eneo lilikuwa bado chini ya serikali, simu 2000 ltd haipo siku hizi, halmashauri pia ni serikali
tatizo ni ndugu zako wa sumatra wanaolazimshaa paitwe hivo,pia wanasiasa wanalumbana paitweje ila jina sahii ni SINZA A, wanaogopa wakipaita hivyo watampa promo diwani wa hapo kutoka chadema ukawaSawa sasa kwanini upaite sasa jina hilo wakati coy lenyewe alipo, na lilifisadi tuuu mali ya uma unafundisha nini vizazi vya sasa.
Wambie wapaite MAWASILIANO.
Unasikia?
Sasa nimeona gari wameandika SIMU2000 nikashanga sanaaaa, ata uzinduzi walisema hilo jina.
okay nimeanza kuelewa kwanini panaitwa hivyo kwasababu ya huyu pamba...ata pata promo, na makonda ndio naona wanazidi kupaita mawasiliano...tatizo ni ndugu zako wa sumatra wanaolazimshaa paitwe hivo,pia wanasiasa wanalumbana paitweje ila jina sahii ni SINZA A, wanaogopa wakipaita hivyo watampa promo diwani wa hapo kutoka chadema ukawa
ndio maana jina la SIMU 2000 Linalazimishwa liendelea kudumisha historia ya CCM kuhusu sera za ubinafsishaji (privatezation)
Kwahiyo na serikali nayo imebariki na kuenzi maovu yaliyokuwa yakifanyika hapo pamoja na hilo jina la a.k.a walilokuwa wakitumia kuita hao mapusha na vibaka?
Hapo serikali Wamechemka kama sio kutokota kabisa kwa jina la ajabu ajabu namna hiyo.
Ingefaa paitwe ESCROW jina zuri kabisa hilo. Kama ni dala dala la kwenda Tegeta utakuta limeandikwa TEGETA ESCROW