Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,699
Hilo la vibaka ni chai iliyokolea tangawizi
Post namba 2, ameeleza/amejibu ukweli.Mm nlimuuliza konda mmoja WHY SIMU200 akanambia vibaka wa pale hata uwe na 2k wanakuuzia simu! Though nlikosa ushahidi hiyo simu ya 2k ikoje!
😃😃😃😃😃 chai hiiLile ni eneo ambalo vibaka wa Ubungo Darajani na ubungo mataa walikuwa wanajificha...Siku polisi wameenda kupiga msako wakakuta simu ndani ya vichaka,baada ya kuhesabu zikawa simu 2000 ikiwemo ya Kamanda Tibaigana aliyoibiwa akiwa kwenye foleni ya kusubiri mataa ya Ubungo,toka hapo pakaitwa Simu 2000