Nani Alihamia CCM akafanikiwa?

Nani Alihamia CCM akafanikiwa?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,211
Reaction score
99,960
Kila mtu sasa anajua kile kinachooendelea, sio siri tena kwamba kuna kila juhudi za kuwapata wana-CDM wahamie CCM. Sio kificho tena kuwa juhudi hizo zinafanyika kwa siri na kwa uwazi. Katika tafakuri yangu nikajikuta najiuliza swali hi; JE NI NANI ALIHAMIA AU PENGINE ALIRUDI CCM AKAFANIKIWA? Mafanikio haya ni ya kisiasa na sio kiuchumi. na ni kwa nchi yake sio kwake binafsi!!!!

Nani ameweza kuwa mzalendo wa kweli CCM ambaye alitoka Upinzani? Kwahio, kwa vijana wenzangu wenye kutafuta future ya maisha yao ya baadae, nawashauri waangalie upepo unakoelekea. Ila kama una mtu unamfahamu alihama upinzani na kufanikiwa basi tumtaje hapa jukwaani. Atajwe kwa jina na wote tukubali, kama hakuna tujiulize mara mbili mbili na sio kuwashauri wenzetu wahame!!!

Na pia baada ya kuwataja, kama kweli wapo tupime na ratio yaani waliohama ni wangapi na kati yaho waliofanikiwa ni wangapi!!!
 
Napenda chama kinachoweza kuchukua maamuzi magumu, kuhama kwangu sio issue. Zitto anajulikana toka chuo ni mnafiki, watu wakipanga mgomo viongozi wa kitaifa wakija yeye anawageuka wenzake na kukaa na viongozi bila hata madai kusikilizwa. Big up CHADEMA, CCM take your best buy.
 
Tambwe Hiza :biggrin1: :biggrin1: :biggrin1:
 
Kila mtu sasa anajua kile kinachooendelea, sio siri tena kwamba kuna kila juhudi za kuwapata wana-CDM wahamie CCM. Sio kificho tena kuwa juhudi hizo zinafanyika kwa siri na kwa uwazi. Katika tafakuri yangu nikajikuta najiuliza swali hi; JE NI NANI ALIHAMIA AU PENGINE ALIRUDI CCM AKAFANIKIWA? Mafanikio haya ni ya kisiasa na sio kiuchumi.

Nani ameweza kuwa mzalendo wa kweli CCM ambaye alitoka Upinzani? Kwahio, kwa vijana wenzangu wenye kutafuta future ya maisha yao ya baadae, nawashauri waangalie upepo unakoelekea. Ila kama una mtu unamfahamu alihama upinzani na kufanikiwa basi tumtaje hapa jukwaani. Atajwe kwa jina na wote tukubali, kama hakuna tujiulize mara mbili mbili na sio kuwashauri wenzetu wahame!!!

"Kufanikiwa" kisiasa ni nini?
 
Kila mtu sasa anajua kile kinachooendelea, sio siri tena kwamba kuna kila juhudi za kuwapata wana-CDM wahamie CCM. Sio kificho tena kuwa juhudi hizo zinafanyika kwa siri na kwa uwazi. Katika tafakuri yangu nikajikuta najiuliza swali hi; JE NI NANI ALIHAMIA AU PENGINE ALIRUDI CCM AKAFANIKIWA? Mafanikio haya ni ya kisiasa na sio kiuchumi.

Nani ameweza kuwa mzalendo wa kweli CCM ambaye alitoka Upinzani? Kwahio, kwa vijana wenzangu wenye kutafuta future ya maisha yao ya baadae, nawashauri waangalie upepo unakoelekea. Ila kama una mtu unamfahamu alihama upinzani na kufanikiwa basi tumtaje hapa jukwaani. Atajwe kwa jina na wote tukubali, kama hakuna tujiulize mara mbili mbili na sio kuwashauri wenzetu wahame!!!
Wasira tokea NCCR-Mageuzi
 
Usipindishe mjadala, tulia kwanza ntarudi kwako

Kufanikiwa uandike wewe, mimi nnapouliza "Kufanikiwa" kisiasa ni nini? useme kuwa nnapindisha mjadala. Wewe upo sawa kweli?

"Kufanikiwa" kisiasa ni nini?
 
Wakienda CCM leo hakuna na mkakati wa ushindi huko. watatakiwa kuchagua bega tu - Lowasa, Sita au Membe.
Mambo ya "mikakati ya siri" huko utaishia kung'olewa meno au Jicho.
 
Usipindishe mjadala, tulia kwanza ntarudi kwako

Hapana mkuu inabidi ufafanue zaidi.
Unaposema kufanikiwa ni individually au kuleta mafanikio ktika chama alichohamia?
Kama ni individually inawezekana wapo akiwemo Wasira ambaye kama angeendelea kuwa chadema, mpaka leo asingepata kuwa waziri. so yeye na familia yake wananeemeka.

Kuhusu kuleta mafanikio katika chama chake na serikali kwa ujumla mmmh! sidhani zaidi ya kujiunga katika mtandao wa kifisadi na kufanikisha kunyofoa meno na kucha za watu wanaoonekana ni kikwazo kwao.
 
Nimekuelewa, kama hujui basi hii thread haikuhusu, hamia nyingine. Usiache nikutukane bureee please nakuomba sana
Kufanikiwa uandike wewe, mimi nnapouliza "Kufanikiwa" kisiasa ni nini? useme kuwa nnapindisha mjadal. Wewe upo sawa kweli?

"Kufanikiwa" kisiasa ni nini?
 
Kufanikiwa uandike wewe, mimi nnapouliza "Kufanikiwa" kisiasa ni nini? useme kuwa nnapindisha mjadal. Wewe upo sawa kweli?

"Kufanikiwa" kisiasa ni nini?

acha kudurufu maswali. si umeuliza hapo juu?! ya nini kuuliza tena? tulia amesema atarudi kwako, mbona una mcheche?!
 
Hapana mkuu inabidi ufafanue zaidi.
Unaposema kufanikiwa ni individually au kuleta mafanikio ktika chama alichohamia?
Kama ni individually inawezekana wapo akiwemo Wasira ambaye kama angeendelea kuwa chadema, mpaka leo asingepata kuwa waziri. so yeye na familia yake wananeemeka.

Kuhusu kuleta mafanikio katika chama chake na serikali kwa ujumla mmmh! sidhani zaidi ya kujiunga katika mtandao wa kifisadi na kufanikisha kunyofoa meno na kucha za watu wanaoonekana ni kikwazo kwao.

Hio ya pili ndio ninamaanisha kama nilivyoandika wazi juu pale kwamba sio mafanikio ya kifedha wala rasilimali
 
Back
Top Bottom